CIA imetimiza mission North Korea?

CIA imetimiza mission North Korea?

Kufanyiwa operesheni ya moyo Rais wa Korea kaskazini, na kisha hali yake kusemekana ni mbaya au pengine amefariki Dunia ila Siri zinafichwa kwanza, inasemekana ni njama za Marekani.

Kwa mujibu wa CNN TV hali ya Rais Kim Jong Un ni mbaya mno, yuko mahututi, all in all, hakuna kosa ambalo Rais Kim alilifanya Kama kukutana na Rais Trump.

Slogan ya CIA ni "Get them close to you in order to have your task easily executed ".

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nilisema mpaka niipate hii PUMBA na Nimeipata

Ahsante MKUU kwakutumezesha Matango Pori Ehe

CIA mnasemaje Huko Makao Makuu Yenu

Sent using My COVID-19
 
Kufanyiwa operesheni ya moyo Rais wa Korea kaskazini, na kisha hali yake kusemekana ni mbaya au pengine amefariki Dunia ila Siri zinafichwa kwanza, inasemekana ni njama za Marekani.

Kwa mujibu wa CNN TV hali ya Rais Kim Jong Un ni mbaya mno, yuko mahututi, all in all, hakuna kosa ambalo Rais Kim alilifanya Kama kukutana na Rais Trump.

Slogan ya CIA ni "Get them close to you in order to have your task easily executed ".

Sent using Jamii Forums mobile app
Kim amekuumbua na taarifa za uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufanyiwa operesheni ya moyo Rais wa Korea kaskazini, na kisha hali yake kusemekana ni mbaya au pengine amefariki Dunia ila Siri zinafichwa kwanza, inasemekana ni njama za Marekani.

Kwa mujibu wa CNN TV hali ya Rais Kim Jong Un ni mbaya mno, yuko mahututi, all in all, hakuna kosa ambalo Rais Kim alilifanya Kama kukutana na Rais Trump.

Slogan ya CIA ni "Get them close to you in order to have your task easily executed ".

Sent using Jamii Forums mobile app
aibu naona mimi mtu mzima wewe kuumbuka
 
Leo nilisema mpaka niipate hii PUMBA na Nimeipata

Ahsante MKUU kwakutumezesha Matango Pori Ehe

CIA mnasemaje Huko Makao Makuu Yenu

Sent using My COVID-19
Halafu huyu jamaa anayejiita "My Son Drink Water" ni mjuaji sana(much know). Anavyoelezea utafikiri alikuwepo kwenye Mpango Mkakati na hao CIA.
 
Halafu huyu jamaa anayejiita "My Son Drink Water" ni mjuaji sana(much know). Anavyoelezea utafikiri alikuwepo kwenye Mpango Mkakati na hao CIA.
Jamaa atakua ni Mwanachama wa CIA

Sent using My COVID-19
 
Kufanyiwa operesheni ya moyo Rais wa Korea kaskazini, na kisha hali yake kusemekana ni mbaya au pengine amefariki Dunia ila Siri zinafichwa kwanza, inasemekana ni njama za Marekani.

Kwa mujibu wa CNN TV hali ya Rais Kim Jong Un ni mbaya mno, yuko mahututi, all in all, hakuna kosa ambalo Rais Kim alilifanya Kama kukutana na Rais Trump.

Slogan ya CIA ni "Get them close to you in order to have your task easily executed ".

Sent using Jamii Forums mobile app
@Frank Wanjir
Come27
My Son drink water

Nawengineo kina mkwepu jr



mnahabari yakwamba jamaa jana kafungua kiwanda

Kwahio mnakubali kama huu uzi mlio u like pamoja namuandikaji wote mumeleta udaku hapa Jukwaani

Sent using My COVID-19
 
Kufanyiwa operesheni ya moyo Rais wa Korea kaskazini, na kisha hali yake kusemekana ni mbaya au pengine amefariki Dunia ila Siri zinafichwa kwanza, inasemekana ni njama za Marekani.

Kwa mujibu wa CNN TV hali ya Rais Kim Jong Un ni mbaya mno, yuko mahututi, all in all, hakuna kosa ambalo Rais Kim alilifanya Kama kukutana na Rais Trump.

Slogan ya CIA ni "Get them close to you in order to have your task easily executed ".

Sent using Jamii Forums mobile app
Updates please.
 
Back
Top Bottom