Tupe basi update? Au uliingizwa mkenge?Kufanyiwa operesheni ya moyo Rais wa Korea kaskazini, na kisha hali yake kusemekana ni mbaya au pengine amefariki Dunia ila Siri zinafichwa kwanza, inasemekana ni njama za Marekani.
Kwa mujibu wa CNN TV hali ya Rais Kim Jong Un ni mbaya mno, yuko mahututi, all in all, hakuna kosa ambalo Rais Kim alilifanya Kama kukutana na Rais Trump.
Slogan ya CIA ni "Get them close to you in order to have your task easily executed ".
Sent using Jamii Forums mobile app
