My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,930
- 13,333
- Thread starter
- #61
Kim hakuwa na matatizo makubwa ya moyo kiasi hicho, mtu mwenye heart problems hawezi ku attend uvurumishaji wa makombora.Eti CIA tehteh, baba yake nae pia alikufa kwa matatizo ya moyo pia ni CIA? yaani hawa ni wale wanaosema leo eti kuna taifa teule hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu Baba yake Kim hakufa kwa heart attack, alikuwa na Cancer ya muda muda mrefu sana na alikufa siku nyingi ila Taarifa zilifichwa na kisha Dunia ikatangaziwa eti alikufa kwa heart attack.
Chuki zako kwa Marekani hazikusaidii lolote, kweli iko pale pale US ni super power na Israel ni Taifa teule
Sent using Jamii Forums mobile app