CIA imetimiza mission North Korea?

CIA imetimiza mission North Korea?

Walie fanikiwa kumuua ni yule ndg yake,waliyemuua pale uwanja wa ndege.
Kwa kuwa tumia wadada,waliokua hawajui chochote wakidhani mchezo,kumbe wanatekeleza mission.
Safari bado ndefu mengi yatasemwa.
 
Kama ni kweli wamemfanyia basi watakuwa wametimiza adhma yao ya muda mrefu. Hata hivyo wakitaka kukuua mara nyingi wanapitia mlemle kwenye historia yako ya kiafya ili kazi yao iwe soo clean, kama huna matatizo ya kihistoria ya afya yako basi hapo ndo wataumiza kichwa kutimiza lengo lao.

But i hope Mr. President yuko fine.
 
wewe jamaa ni mjinga sana kwa maana hiyo nje wapo na ndani wapo ila kajificha nyuma ya mlango

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna baadhi ya Mawaziri wapo kwenye payroll ya CIA, na TISS hawajui, unaijua kwa kina kazi ya Rostam Aziz?
Nikitulia nitakuja na uzi maalumu, jiulize, kwa nini Rostam ni rafiki wa kila Rais?
Kifo cha Mengi, kuna mengi yamejificha nyuma ya pazia, na hayati Mengi alikuwa adui mkubwa mno wa Rostam.
Niishie hapo kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walie fanikiwa kumuua ni yule ndg yake,waliyemuua pale uwanja wa ndege.
Kwa kuwa tumia wadada,waliokua hawajui chochote wakidhani mchezo,kumbe wanatekeleza mission.
Safari bado ndefu mengi yatasemwa.
Kwa mawazo yako mkuu unadhani huyo aliyeuliwa Malaysia kaka yake na Rais Kim, aliuliwa na CIA?
huyo aliuliwa na majasusi wa Rais Kim mwenyewe, yaani Kim alimuua kaka yake, fuatilia kwa kina ujue ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Back
Top Bottom