Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,729
- 3,498
Maisha yanaenda kasi sana, mabadiliko ni makubwa sana. Nimewasikia wanaume wengi wakisifia chura za wadada, sijajua ninyi wakaka mnapendea nini chura. Ukiachana na hayo mimi leo nataka niwashauri wadada wenzangu, naomba ifike muda tujitambue na tutumie uzuri wetu vizuri. Kwanini wakaka wengi wanaishia kutuchezea? Hivi sisi kupewa hizi chura imekua tatizo? Tusipobadilika tutaishia kuzalishwa tu, wanaume wengi wanaishia kutoka na sisi bila kujua hatima yetu. Tuseme basi yatosha!
Jf kuna matapeli hamna mfano
Huyu ni mwanaume
Ukimfata pm atakuomba hella utaliwa na kupokea cm hatopokea mpaka akupigie
Baadae utagundua ni mwanaume ushaliwa
Mwanaume na mwanamke wanatofautiana maanishi
Especcially simple minded like you

