Chura ndo mpango?

Chura ndo mpango?

mchuziwapweza

Senior Member
Joined
Aug 19, 2018
Posts
107
Reaction score
149
Maisha yanaenda kasi sana, mabadiliko ni makubwa sana. Nimewasikia wanaume wengi wakisifia chura za wadada, sijajua ninyi wakaka mnapendea nini chura. Ukiachana na hayo mimi leo nataka niwashauri wadada wenzangu, naomba ifike muda tujitambue na tutumie uzuri wetu vizuri. Kwanini wakaka wengi wanaishia kutuchezea? Hivi sisi kupewa hizi chura imekua tatizo? Tusipobadilika tutaishia kuzalishwa tu, wanaume wengi wanaishia kutoka na sisi bila kujua hatima yetu. Tuseme basi yatosha!
 
Maisha yanaenda kasi sana, mabadiliko ni makubwa sana. Nimewasikia wanaume wengi wakisifia chura za wadada, sijajua ninyi wakaka mnapendea nini chura. Ukiachana na hayo mimi leo nataka niwashauri wadada wenzangu, naomba ifike muda tujitambue na tutumie uzuri wetu vizuri. Kwanini wakaka wengi wanaishia kutuchezea? Hivi sisi kupewa hizi chura imekua tatizo? Tusipobadilika tutaishia kuzalishwa tu, wanaume wengi wanaishia kutoka na sisi bila kujua hatima yetu. Tuseme basi yatosha!
Mnachezewaje ndugu hebu fafanua kidogo... maana raha mnapata wote
 
Wenye Chura weng hawana akili za Maisha, wengi wanajiweka kama wanawake wa kustarehe tu coz ndio maumbo tunavutiwa nayo na wao pia wanaona wako kwenye soko na sio rahisi kutulia, ila ikija kwenye maisha, mwenye chura vs mwenye umbo la kawaida na mwenye akili za Maisha , basi wanaume weng tutachagua mwenye upendo na akili za maisha.
 
Mleta post huna chura yeyote kujishauwa na ww upate pm nyingi
Prove me wrong?
 
Maisha yanaenda kasi sana, mabadiliko ni makubwa sana. Nimewasikia wanaume wengi wakisifia chura za wadada, sijajua ninyi wakaka mnapendea nini chura. Ukiachana na hayo mimi leo nataka niwashauri wadada wenzangu, naomba ifike muda tujitambue na tutumie uzuri wetu vizuri. Kwanini wakaka wengi wanaishia kutuchezea? Hivi sisi kupewa hizi chura imekua tatizo? Tusipobadilika tutaishia kuzalishwa tu, wanaume wengi wanaishia kutoka na sisi bila kujua hatima yetu. Tuseme basi yatosha!
Mamii ndo ww kwenye hyo avatar ?
 
Back
Top Bottom