Wewe huna akili kabisa unamwambia nani awe makini kama si wewe ndio uwe makini hata hhaya huna??? Unapigiwa simu number huijui unakuatana na mtu humjui the same day unakwenda kwake bila hata mshipa wa fahamu kushituka ama kweli akili ndogo sana hii....
Jamani amefanya nini ? Kwani ni nani am aye ni Msafi? Hukuwahi kukosea wewe? Hebu tusiwe tunahukumu watu ,kwa kuwa na wewe pia utahukumiwa. Anaye hukumu ni Mungu peke yake, Jamani hebu tujitahidi kutohukumu na kutoa sentensi zenye maumivu. Huyu Dada alikuja kushare na sisi ili tupate fundisho just incase kama na sisi yakija kutukuta . Sasa kosa lake liko wapi? Alishajua kuwa alikosea sehemu ,na hakutaka na sisi tuje kukosea, sasa tatizo liko wapi. Yaani mbona binadamu hatupendeki? Hebu tujirekebishe . Asante!