Diplopoda
Member
- Dec 25, 2020
- 45
- 41
Wanakishusha wasio kijua unapo ongea distance learning fresh from school ni kazi kubwa kwake hivyo nawashukuru sana walio kianzisha kwani wanatusaidia tulio kazin kusoma bila presha na kwa kutaka mm mda gani niandike mtihan hakuna jambo lisilo kua na changamoto ata udsm toka ikiwa campus ya makerere mpaka leo bado nacho changamoto nyingi hivyo usiangalie chuo angalia unapata nn na hicho unacho kipata kina msaada gani kwako asante mtoa maadaKweli mkuu ni chuo kizuri kwa Aina yake licha ya wengi kukishusha