Wanatoa unaweza tembelea website yao utapata kila kitu.kama wanatoa mastazi ya public administration naomba mwongozo wao tafadhali
Hizo ni story za kwenye vibanda umiza aisee asikidanganye mtuIpo vizuri kwenye soko la ajira
Sawa.Huu uzi unaweza usifikishe hata comment 5 huu mwaka
andika vizuri mkuu, mengine watakusaidiaHabarini?,napenda kuwauliza kwa mwenye uelew juu ya hicho chuo tajwa,je nawez soma diploma ya ualimu wa sekondari kwa kutumia cheti cha 4m6 kwa miaka miwil na je ada n kias gan na kuna koz ngap/uniti ad nahtim?
Anajua sana tu ila amewasoma akili zao akaamua kuandika vile kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupaMingi umeongea mazuri. Ila hakuna Jamhuri ya watu wa Zanzibar duniani kama ilivyo kwa Jamhuri ya Tanganyika tangu 26 Apr 1964
Mkuu kwa msaada zaidi unaweza tembelea website yao ya www.out.ac.tz hapo utajua mengi zaidi.Habarini? Napenda kuwauliza kwa mwenye uelew juu ya hicho chuo tajwa, je nawez soma diploma ya ualimu wa sekondari kwa kutumia cheti cha 4m6 kwa miaka miwil na je ada n kias gan na kuna koz ngap/uniti ad nahtim?
FactMmh! Chuo ni kizuri ila wafanyakazi wake mtihani.
Watu wanapata vyeti degree, masters nk.
Za kununua.
Matokeo wasomi wengi lakini kiutendaji hawana kitu. Ingekuwa vyema wahusika makao makuu, wafuatilie kwa ukaribu matawi yao mikoani! Aibu na kashfa kubwa.
Chuo bora sana mrithi wa Prof Mmari , The Late Prof Mbwette aliinvest sana kwenye technology wanajitahidi sana pamoja na ukata walionaoFact