Chuo gani kizuri kwa kusomea ualimu

Chuo gani kizuri kwa kusomea ualimu

Nashauri kabla hajachukua maamuzi ya kwenda kusomea ualimu.. Mpwayungu village atoe maoni yake kwanza.[emoji1][emoji1]

Nakribisha maoni ya yeyote[emoji120][emoji120]
 
Ajira za mwaka huu zioizopita,ilikua kama wewe siyo sayansi,mwisho kuchukua ilikua 2016,2017 ni wachache.
Kaa ufikirie,utaajiriwa mwaka gani,umshirikishe na mzazi au mlezi wako kabisa,kua unakuja kwenye msululu mrefu wa wadau.
 
shida ni kwamba ukisomea ualimu hauwezi kujiajiri, kwanini labda usiangalie kitu kingine cha kusomea mdogo wetu, au lengo ni kuwa na degree, em soma vizuri guidebook.

Kujiajiri/kuajiriwa ni swala mtambuka sana.

Wapo walosoma ualimu wapo kazini wakati huo walosom MD, Enginer ,IT wapo mtaani.

Soko la ajira ni very dynamic hivyo ni ngumu kubet .
 
Ajira za mwaka huu zioizopita,ilikua kama wewe siyo sayansi,mwisho kuchukua ilikua 2016,2017 ni wachache.
Kaa ufikirie,utaajiriwa mwaka gani,umshirikishe na mzazi au mlezi wako kabisa,kua unakuja kwenye msululu mrefu wa wadau.

Vp kwa physics na math?
 
Udom haipo -DSM
Dodoma kipo, Dom kuzuri tu, nyepesi waliosomea pale wengi wanapenya sehemu fulani uliza wajuzi, nimekutonya kwa huruma tu, ukitaka chukua au potezea tu.
 
Umeamua kusomea umasikini?
Hiyo ada kwanini usitafute Chocho ukaanzishe biashara zako. Wenzio tulipoteza sana muda chuo. Saizi tungekua mbali
 
Kujiajiri/kuajiriwa ni swala mtambuka sana.

Wapo walosoma ualimu wapo kazini wakati huo walosom MD, Enginer ,IT wapo mtaani.

Soko la ajira ni very dynamic hivyo ni ngumu kubet .
angetafuta ujuzi veta, akajiendeleze baadaye
 
Back
Top Bottom