Career gani bora upande wa Information Technology?

Tariq f

JF-Expert Member
Dec 11, 2021
233
345
Habari wakuu,

Mimi ni mwanafunzi wa Chuo X hapa jijini Dar Es Salaam, nikisomea degree ya Information Technology.

Kiukweli Information Technology maarufu kama IT ni Interesting Course, hii kutokana na wigo mpana wa Careers zinazoweza kupatikana kwenye Programme hii.

Kwa sasa nipo njia panda, kuhusu Career gani bora ambayo kwa namna moja au nyingine inaweza nitoa kimaso maso hapa bongo, iwe kwa kujiajiri au kuajiriwa.

• Computer Security ( Cybersecurity)
• Graphic Design
• Web and mobile application development
• Computer Network

Kutokana na ukubwa wa Soko na jinsi soko lilivyo, je wakubwa mnaona ni upande gani sahihi wa mimi kujiandaa na kubase napo kutokana na Experiences zenu,

Msaada.
Shukrani
 
kama unae ndugu wa kukusaidia Computer Security ( Cybersecurity}

jeshi la polisi wana ihitaji sana hiyo taaluma
 
Habari wakuu,

Mimi ni mwanafunzi wa Chuo X hapa jijini Dar Es Salaam, nikisomea degree ya Information Technology.

Kiukweli Information Technology maarufu kama IT ni Interesting Course, hii kutokana na wigo mpana wa Careers zinazoweza kupatikana kwenye Programme hii.

Kwa sasa nipo njia panda, kuhusu Career gani bora ambayo kwa namna moja au nyingine inaweza nitoa kimaso maso hapa bongo, iwe kwa kujiajiri au kuajiriwa.

• Computer Security ( Cybersecurity)
• Graphic Design
• Web and mobile application development
• Computer Network

Kutokana na ukubwa wa Soko na jinsi soko lilivyo, je wakubwa mnaona ni upande gani sahihi wa mimi kujiandaa na kubase napo kutokana na Experiences zenu,

Msaada.
Shukrani
 
Habari wakuu,

Mimi ni mwanafunzi wa Chuo X hapa jijini Dar Es Salaam, nikisomea degree ya Information Technology.

Kiukweli Information Technology maarufu kama IT ni Interesting Course, hii kutokana na wigo mpana wa Careers zinazoweza kupatikana kwenye Programme hii.

Kwa sasa nipo njia panda, kuhusu Career gani bora ambayo kwa namna moja au nyingine inaweza nitoa kimaso maso hapa bongo, iwe kwa kujiajiri au kuajiriwa.

• Computer Security ( Cybersecurity)
• Graphic Design
• Web and mobile application development
• Computer Network

Kutokana na ukubwa wa Soko na jinsi soko lilivyo, je wakubwa mnaona ni upande gani sahihi wa mimi kujiandaa na kubase napo kutokana na Experiences zenu,

Msaada.
Shukrani
Unaweza coding? If yes komaa nazo sana uwe programmer.

Binafsi nina plan kuspeciliaze na. Networking. Nimegraduate last year.
 
Back
Top Bottom