kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,276
- 3,058
Kwa Nini unataka kusomea ualimu mkuu,Wakuu habari zenu.
Naomba msaada kujua chuo gani kizuri kwa kusomea ualimu kwa ngazi ya degree kwa mkoa wa Dar es salaam.
Natanguliza shukran .
Watu walikuwa wanasomea ualimu kwa sababu ya urahisi wa ajira
ila kwa Sasa ubao unasoma bilabila
Kila program ni ngumu kuajirika
Bora uchague program ambayo utapata shida ya ajira ila ukiipata angalau maisha yaende (salary & working environment)