Chuo gani kizuri kwa kusomea ualimu

Wakuu habari zenu.

Naomba msaada kujua chuo gani kizuri kwa kusomea ualimu kwa ngazi ya degree kwa mkoa wa Dar es salaam.

Natanguliza shukran .
Kwa Nini unataka kusomea ualimu mkuu,

Watu walikuwa wanasomea ualimu kwa sababu ya urahisi wa ajira

ila kwa Sasa ubao unasoma bilabila

Kila program ni ngumu kuajirika

Bora uchague program ambayo utapata shida ya ajira ila ukiipata angalau maisha yaende (salary & working environment)
 
Wakuu habari zenu.

Naomba msaada kujua chuo gani kizuri kwa kusomea ualimu kwa ngazi ya degree kwa mkoa wa Dar es salaam.

Natanguliza shukran .
Niamini Mimi: ualimu ni kazi ya kufanya kwa miaka isiyozidi mitano,

Hivyo ni matumizi mabaya ya muda, utumie miaka 3 kusoma program ambayo ukijitahidi kuofurahia kazini, haitozidi miaka mitano

Utakuwa unaenda kazini kutimiza wajibu tu

Hapo ndio utashangaa kwa nini baada ya miaka mitano walimu wazuri huwa walimu wa mwendokasi
 
Watoto wa wamiliki wa shule binafsi wanasoma kwa taarifa yako wawe walimu na viongozi kwenye shule zao

Kundi.kubwa la walimu wako mbioni kustaafu na shule nyingi.zinajengwa mbeleni huko ajira zitakuwepo
Acha propaganda
 
Wakuu habari zenu.

Naomba msaada kujua chuo gani kizuri kwa kusomea ualimu kwa ngazi ya degree kwa mkoa wa Dar es salaam.

Natanguliza shukran
emoji120.png
emoji120.png
.
Mafunzo ya ualimu hayahitaji kuwa serious sana maana 70 ya vitu vinavyofundishwa hauendi kuvitumia

Hivyo ikikubidi, tafuta chuo Cha kawaida tu usome kwa amani bila stress huku unafanya mambo yako ya maisha mtaani

Kwenda kusoma ualimu vyuo vikubwa Kama UDSM, SUA, UDOM, DUCE ni nk ni kujipa stress zisizo na ulazima tu

Maana huko unaenda kukalikishwa tu manadharia yasiyo na uhalisia
Vp kwa physics na math?
Vigezo hubadilika kila siku

Huko nyuma ualimu ulikuwa hauna shida kwenye ajira

Watu wakasoma Sana ualimu

Mara walimu wa arts wakawa wengi, wakawa hawana ishu

Mara walimu biology, chemistry, wakawa wengi, hivyo wakawa hawana ishu


Mara walimu wa maths nao wakawa hawana kipaumbele


Kwa sasa walimu wa physics tu ndio Wana uhakika angalau wa ajira za serikalini

Miaka 3 ijayo nao itakuwa hawana ishu



UDOM peke yake inazalisha walimu wa degree 3000+ kwa mwaka, hao ni degree tu
 
Dah walim mnawaponda kweli mara wavaa kadet zilizopauka ila good nao wana maisha mazur kuliko wengi mtaani mana mtu kuwa na uhakika wa maisha kila mwezi na mwalimu kujenga jiji ka la dar au mwanza au arusha na usafir juu unamzarau vp mtu ka huyo kiwanja tu milion nane ivi mtu asiye na uwezo anaweza jenga hayo maeneo jamaa we somea ualimu wasikuzingue kuhusu ajira n afya na elimu tu ndo ajira zinatangazwa serikalin ss si bora hao kada gani nyengine wanatangaza so ukiwa na zali lako unapata
 
Watoto wa wamiliki wa shule binafsi wanasoma kwa taarifa yako wawe walimu na viongozi kwenye shule zao

Kundi.kubwa la walimu wako mbioni kustaafu na shule nyingi.zinajengwa mbeleni huko ajira zitakuwepo

Watoto wa wamiliki wa shule binafsi wanasoma kwa taarifa yako wawe walimu na viongozi kwenye shule zao

Kundi.kubwa la walimu wako mbioni kustaafu na shule nyingi.zinajengwa mbeleni huko ajira zitakuwepo
Weka statistics per year wanastaafu wangap vs wanaomaliza ualimu ambao n almost 150000+ ......
Kuhusu watoto wa wamiliki wa shule private kusomea ualimu sjawahi kuona yaan boss amsomeshe mtt wake kuwa ticha wakati huko unaweza kuajiri headmaster kwa salary ya laki 5...
Kwa faida yako tuu kwa sasa walimu wametosha hasa wa arts kwa karibia miaka 10 hakutakuwa na uhitaji wa mwalim wa arts... maybe in minor cases
 
Dah walim mnawaponda kweli mara wavaa kadet zilizopauka ila good nao wana maisha mazur kuliko wengi mtaani mana mtu kuwa na uhakika wa maisha kila mwezi na mwalimu kujenga jiji ka la dar au mwanza au arusha na usafir juu unamzarau vp mtu ka huyo kiwanja tu milion nane ivi mtu asiye na uwezo anaweza jenga hayo maeneo jamaa we somea ualimu wasikuzingue kuhusu ajira n afya na elimu tu ndo ajira zinatangazwa serikalin ss si bora hao kada gani nyengine wanatangaza so ukiwa na zali lako unapata
Alafu masomo yake mazuri yanabamba yakibabe.
 
Kuhusu watoto wa wamiliki wa shule private kusomea ualimu sjawahi kuona yaan boss amsomeshe mtt wake kuwa ticha wakati huko unaweza kuajiri headmaster kwa salary ya laki 5...
Kwa faida yako tuu kwa sasa walimu wametosha hasa wa arts kwa karibia miaka 10 hakutakuwa na uhitaji wa mwalim wa arts... maybe in minor cases
Labda nikueleze kitu

Shule nyingi waliosomea ualimu na walimu Tanzania hawajui kugeuza ualimu wao kuwa biashara

Mfano mzuri ni Uganda. Uganda walimu wazuri wa masomo tofauti huungana pamoja na kufungua shule ya Private

Wao wenyewe wanakuwa wamiliki na walimu.Uganda shule nyingi za private zinamilikiwa na walimu sio watu wa mitaani

Mfumo huo Hapa kwetu unakuta shule inamilikiwa na darasa la saba kaajiri walimu

Sisi elimu ya kujiajiri hata hatujui maana yake.Mfano wahindi na waarabu kama ana biashara inategemea kama ni ya usafirishaji anapeleka watoto kwenda kusoma digrii kama za Transport management, Business administration, Mechanical Engineering nk related subjects.

Kama ana hospital anapeleka watoto kusoma course related na hospital kama medicine,pharmacy nk

Kama mkulima anapeka watoto.kusoma digrii za kilimo nk

Sisi ndio maana biashara za kiswahili hufa mwenyewe akifa.Mtu ana malori na mabadi anampeleka mtoto kusomea udaktari kisa ohh akimaliza apate ajira serikalini anasahau ana biashara yake inahitaji mtu wa ku take over

Ona kampuni kama ASAS mzee alikufa siku nyingi kampuni inakwenda vizuri watoto wame take over

Azam pia mzee wa watu darasa la pili aliishia ila watoto kawapigisha shule hasa za biadhara Azam inapaa

Mo Dewji baba yake alimsomesha mno mambo ya biashara ona kampuni inavyoenda

Matajiri waswahili hawajui hilo
Wanawaza cheap labor tu badala ya kuingiza kwenye kampuni mtoto wako mwenyewe aliyesoma vitu vipya aendeshe hiyo kampuni kisasa na aweza jituma mno sababu ni mmojawapo wa wamiliki wa kampuni

Waswahili hawatoi hisa kwa watoto
 
Back
Top Bottom