Mh mbona kichwa cha habari na contents ni tofauti au macho yangu?
Mh mbona kichwa cha habari na contents ni tofauti au macho yangu?
..Hebu edit hio heading ya thread yako basiSamahani wa jf kwa mkanganyiko huo. ila ninaanisha kuwa hawa jamaa wa ccm wanatumia ofise na ukumbi wa chuo hicho kilicho hapa Tengeru , A. mashariki kama zao vile. wakati karibu na hichi chuo kuna ofise zao ila nashangaa kwanini hawazitumii. je hilo ni sawa.
Samahani wa jf kwa mkanganyiko huo. ila ninaanisha kuwa hawa jamaa wa ccm wanatumia ofise na ukumbi wa chuo hicho kilicho hapa Tengeru , A. mashariki kama zao vile. wakati karibu na hichi chuo kuna ofise zao ila nashangaa kwanini hawazitumii. je hilo ni sawa.
Asiyejua haambiwi maana!.Hivi nyie magamba cell hamjaelewa nini?.Mbona iko fresh?Kama hamna cha kuchangia kaeni pembeni maana mnakuwa wagumu wa kuelewa na wepesi wa kusahau?.Achen utoto!!.Over.
umeishia darasa la ngapi wewe?