Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 2,437
- 2,135
Du afadhali mi naishi huko Mtwara kwa kweli kulikuwa na ukame sana wa mademu watoto wakimakonde hawako sharp wala nini ngoja nikirudi kubeba box nikamate hao wakuja kama 4 hivi kwa mpigo.
Utakamata hao uende kuwafanya. Mkishakamuana, jamii inawaita hao wanafunzi wa kike, "wachafu, mafuska" n.k. This is not fair at all. Uchafu ni pamoja na wanaume wanao "wafanya". Kama wanaume wasingekuwa wanataka hii kitu, basi hao wadada wasingekuwa hivyo. Wanaume nao wanatakiwa kulaumiwa!!!