Chuo cha Utumishi Mtwara: Ufuska, ngono, uchangudoa na uchafu mtupu

mwenye maamuzi ya kukataa ni mwanamke,ni wanaume wachache sana wenye uwezo wa kusema NO mbele ya mwanamke (ndio maana siku zote sisi wanaume tunwafuata nyinyi wanawake na kuwatongoza) hiyo ni nature na ndivyo ilivyo leo hii yule ambaye ukimuhitaji lazime uonyeshe nia kwa zaidi ya miezi miwili mfululizo,unamkuta tayari yupo barabarani ni wewe tu na pochi yako...mtu anayetumia mwili wake kupambana na hali ngumu ya maisha badala ya ubongo ni hasara kubwa...sasa kama yeye mwenye elimu anafanya hivyo yule ambaye hajaenda shule kabisa afanye nini?...Na infact sio kwamba wana hali ngumu ni tamaa tu na kuendekeza starehe (kupenda vya bure mchezo),so ladies wakiamua kuanzia leo hatuuzi tena wala hatutoi bure,na hatumuonjeshi mtu mpaka tuolewe...aaah tutaskia labda kesi ya kubaka na bila shaka muhusika atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria

Kwa hiyo kwako wewe, huwezi kubaka kwa vile unaogopa sheria.
Ila unaweza kununua ngono kwa vile sheria ya kuzuia biashara ya ngono labda haipo au haina nguvu, si ndio?
It is being naive na nikujiendekeza tamaa zako za mwili, ni uchovu wa akili na kukosa ujasiri, unapo-conclude kuwa mwanaume hawezi kumkataa mwanamke. Urijali ni pamoja na ujasiri wa kupambana na tamaa za ngono, sio kupigisha pigisha tu fimbo yako.

Bado msimamo wangu ni kuwa hao wasichana wanaouza miili pamoja na wanaume wanaonunua wote wanatakiwa kulaumiwa. Nchi za wenzetu, ukikamatwa unanunua ngono nje ya eneo linalohusika, wote mnapelekwa kortini. Na nchi zingine, ni marufuku kabisa suala la kuuza mwili kwa ajili ya ngono. Ningekusifia ungekuwa unapendekeza kuwa sheria ziongozewe nguvu zaidi kuwazuia wanunuaji na wauzaji. Kuuza bangi na kununua bangi, yote ni makosa. Sasa iweje kuuza ngono ndio kosa saana halafu eti mnunuaji hana kosa na asilaumiwe?... holy crap!
 
Hii thread imenifanya niwaze mambo mengi: 1) Nilifikiri elimu humfanya mtu kuondokana na mambo ya kipuuzi kumbe sivyo 2) Hivi wanavyuo wa vyuo vingine vya Afrika mashariki nao wana tabia kama hizi au wa Tanzania wana mambo yao ya kipekee?

Kuna Wazazi walikuwa ( sijui bado mpaka sasa ) wanawapeleka watoto wao Uganda,
ukisikia habari zao utasikitika.
 
Nilipofika Mtwara hivi karibuni nilifurahi sana kuona watu wengi sana wanafanya kazi huku..unajua hata mimi kabla niliwahi kupewa kazi kuja huku nikaipotezea?

Basi bwa nikafurahi tena kuona Kuna Vyuo vikuu vingi tu-SAUT,UTUMISHI,TIA,UALIMU,COTC,VETA ..Yaani nikafarijika kuwa wamakonde nao sasa wataelimika...japo nilikuja kugundua kuwa maofisi mengi wamakonde ama ni walinzi,wafagizi au wapishi..akijitahidi sana ni dereva!

Jioni moja niajumuika na wananchi hawa wa Mtwara 'wa Kuja' kuburudika pale Litingi..mmh mambo niliyoyaona we acha tu wazazi kwa kweli fumbeni macho mnapowapa wanenu hasa wa kike fadha kuwa wanakuja shule.......laiti ukija ukagongana naye njiani akitoka Litingi au Makonde Hall...unaweza kuahirisha kutoa fedha yako!

Siku ya Pili nikapumzika sehemu yaitwa Gimbu...mmh kumbe hapo ndo kuna Machangua Doa Kibao! Nikamuuliza Mshikaji wangu mmoja jirani akasema...'MWE WE ACHA TU HAWA WANAVYUO NDIYO KAZI YAO HASA WALE WA CHUO CHA UTUMISHI"

Ikanibidi kesho yake nitafiti zaidi Kujua Ukweli wa Mambo na Ukweli ni Huu

1. Wanafunzi wa Kike wa Chuo Cha Utumishi wa Umma huku Mtwara ndio wanaoongoza Kwa Ngono,Uchangudoa na Uchafu wa aina zote.....

2.Hawa ndiyo wanakuja kuutumikia Umma lakini ndio wauzaji wakuu wa Ngono Mkoani Mtwara

3. Wamejaaliwa maumbo mazuri na mvuto na ni Waremba lakini kwao kuuza ngozi ni kazi moja kwenda mbele

Nikakutana na jamaa mmoja ambaye alikuwa na Girlfriend wake wa Utumishi lakini akashindwa Gharama za Kumhudumia (30-50 alfu kwa siku) na siku moja akaamua kwenda Gimbu achukue CD wa kujipoza naye akaopoa kitu saaaafi.

Kufika ndani mwake si ni yule yule girlfriend wake wa Utumishi na leo dau lilikuwa alfu Kumi!!!


Mmmh yangu Macho
Hapo kwenye Red si useme tuu ni wewe ndo yalikukuta? Yanini kumsingizia huyo jamaa?
 
Kaka umenikuna saana maana hapa Mtwara kwa kweli sasa panatisha..Na Hawa jamaa wafanyakazi wa Mashirika ya Mishahara minene na Mabenki wanawafaidi kweli kweli..si ajabu kwa Mfanyakazi wa benki kuwa nao 10..tena na kumbi za starehe zinavyozidi kufunguliwa..we acha tu. Kuna dada mmoja wa Utumishi amefukuzwa CHUO kwa kuwa alikuwa akifanya mapenzi na jamaa akawa anapiga kelele usiki wa manane hadi majirani wakaenda Polisi.....Lets just pray for these LOST souls!
Mkuu anaepiga kelele ni mwanamme au mwanamke? kwa nini? sikaelewa
 
Du afadhali mi naishi huko Mtwara kwa kweli kulikuwa na ukame sana wa mademu watoto wakimakonde hawako sharp wala nini ngoja nikirudi kubeba box nikamate hao wakuja kama 4 hivi kwa mpigo.

wamakonde wanavaa shanga balaa ndugu
 
Haohao mwisho wa picha wanakuja kutafuta wanaume kwenye mitandao na vigezo kibao kumbe kababuliwa Ile mbaya.
 
Hii thread imenifanya niwaze mambo mengi: 1) Nilifikiri elimu humfanya mtu kuondokana na mambo ya kipuuzi kumbe sivyo 2) Hivi wanavyuo wa vyuo vingine vya Afrika mashariki nao wana tabia kama hizi au wa Tanzania wana mambo yao ya kipekee?
Nimejifunza kitu mkuu usije ukajaribu kuoa msomi itakula kwako
 
Ukisikia nimetembelea mikoa ya kusini hapo lazima nifike ni kama Mbuga ya wanyama japo huwezi kula nyamapori wote angalau kuangalia inapendeza macho.
 
Kwa Braza yusuf a.k.a braza y pana wamakonde kibao....mtwara kuchele aisee maeneo ya pale cesi pub enzi hizo palikuwa pamechangamka sana kwa watoto ila wanafunzi wa utumishi wanaponzwa na njaa sana
 
Saut mwanza ndo sheeeeda watu wanaenda adi geita uko mgodini kujiuza yaniii nikufuru,nakule mgodini ni fire tu kunawasukuma wazee wa 1.yakuongelea tu nakupa laki 2.nauli laki3.game laki 2.studee akitoka geita GGM anapesa haipungui million coz atatembea mtu kibao. Basha wake wa chuo anakalia kubet mikeka tu nayo skuizi inachanika tuuu
 
Ukiondoa kwa Brother Y.... nieneo gani lingine nawezapata ngozi za kimakonde kule Mtwara?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom