Naombeni kama kuna anayeweza kunisaidia utaratibu wa hiki chuo; mfano ada ni sh. ngapi kama nataka kusomea diploma na utaratibu wa malazi. Msaada kwa waliosoma au wanajua kuhusu hichi chuo. Naona hawana hata website.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.