Chuo cha masheikh

Chuo cha masheikh

NDIO NISHAKUJUZA DUNIA NZIMA VIPO SASA UNATAKA NIKULIPIE ADA NAULI AU UNATAKA MSAADA GANI KUWA MUWAZI AU USHAKUNYWA MBEGE? Kwa maana sikufahamu
Mimi nauliza kwa hapa Tanzania. Chuo kipo wapi nikasomee ili na mimi nislimu?
 
vita inayoendelea hapa ni vikali sana,,,,,,,
 
Utofaut wa dini yetu na ya wanyweshwa jik ni kuwa.
Uislam swadaka zitolewazo ni kwaajili ya maendeleo ya taasis ya waislam na msikiti.
Na haruhusiwi kiongozi wa dini kula mali za swadaka km anavyotaka.Isipokuwa kamati ya msikiti inatakiwa itoe swadaka kwaajili ya sheikh.
Tofauti na nyie mnawaacha mapadri wanawala swadaka tu makanisani.
Ndio maana lolote lile asemalo padri mwakubali na mwatoa sadaka zikiliwa na Padri.
Mwishowe padri anaendesha v8 wafuasi mnatembea kwa miguu au vitz
Ila masheikh wengi huwa hawana magari sijui kwa nini, au ni kwa sababu waislamu mnatoa sadaka za Tsh. 100 hadi 500
 
Ndugu zangu kwa nia njema kabisa naomba vilipo vyuo vya kuchukulia mafunzo ya u sheikh au hata u ustaadh au u maulamaa.
Natanguliza shukrani povu sitaki
Deceiver! Kwenye Uislam kusoma ni lazima(elimu yenye manufaa(hapa inaingia elimu ya Kisekyula na ya Dini). Kwenye elimu ya Dini hakuna silsila ya kwamba nisome ili niwe Sheikh au Ulamaa. Hata ukitizama sira za Masheikh wakubwa hakuna ambaye alisoma akisema anataka kuwa fulani.

Ngoja niishie hapa! Haya mambo yana siri. Muhimu ni usome kwa vile ni amri kusoma.
 
Utofaut wa dini yetu na ya wanyweshwa jik ni kuwa.
Uislam swadaka zitolewazo ni kwaajili ya maendeleo ya taasis ya waislam na msikiti.
Na haruhusiwi kiongozi wa dini kula mali za swadaka km anavyotaka.Isipokuwa kamati ya msikiti inatakiwa itoe swadaka kwaajili ya sheikh.
Tofauti na nyie mnawaacha mapadri wanawala swadaka tu makanisani.
Ndio maana lolote lile asemalo padri mwakubali na mwatoa sadaka zikiliwa na Padri.
Mwishowe padri anaendesha v8 wafuasi mnatembea kwa miguu au vitz

Waislamu wabahili sana kutoa sadaka, alafu misikiti yao wanajitenga masikini wana yao na matajiri wana yao, wewe huwezi kusali msikiti wa matajiri hata siku moja
 
Hakuna Chuo hapo nikujilazimisha tu kuongea kiarabu broken unatunukiwa faster

kahtaan Adiosamigo Kikwajuni One (subiri uwaone watakavyoacha kupiga porojo barazani na kukurupuka kuja kunijibu)
Yani unakusudia Mtu akiongea kiarabu kibovu kisha kuwa Sheikh c ndio.

Tatizo hufahamu Uislam na Quran vizuri, Uislam uko tofauti na dini zingine kwa sababu, Uislam ni Adabu na Elimu ya kufikiria mwisho wako, Uislam hauhitaji uwe na PhD ya dunia kabla ya kuwa na Elimu alio ishusha Mungu.

Uislam hauna umri, wala utajiri, mdogo na masikini wnaweza kuwaongoza wakubwa kwenye kusali, kuhifadhi kitabu cha Mungu ni muhimu sana.

Kufikia kuwa Sheikh katika Uislam lazima uwe umekamilika kwa tabia na kwa elimu.

Elimu uwe umeihifadhi Quran vizuri na kuweza kuitafsiri, ujiepushe na machafu mfano usikaribie Zina, Riba, Kuteta watu, kulewa na kuachana na mambo yote mabaya alio kataza Mungu.

Uislam ni kuamrisha mazuri daima mfano kutoa sadaka, kusali, kuheshimu wazazi wako wawili na kuwafanyia mazuri yani yote mazuri ya dunia yafanye.

Yani ukifata hayo juu kwa kuyazingatia basi una haki ya kuitwa Sheikh.

Umeona tofauti ya Usheikh na Upadri, padri anaweza kuwa Padri hata kama mzinifu, mlevi na akawa na yote ya uchafu.

Padri we mbandike mshahara tu utaona anavyo foka kanisani na kuwapa masanamu mgongo, yani nyie abuduni tu sanamu yeye halitazami anawatazama wajinga tu
😂 😁
 
Waislamu wabahili sana kutoa sadaka, alafu misikiti yao wanajitenga masikini wana yao na matajiri wana yao, wewe huwezi kusali msikiti wa matajiri hata siku moja
WE NI MNAFIKI NA MUONGO.
THEN MM SIO MASIKINI KAMA UNAVYODHANI NAJIWEZA VEMA TU.
MSIKITI WOWOTE MTU UNAWEZA KUINGIA NA UKASWALI.
UKISEMA KUUNA MISIKITI YA MATAJIRI NA MASIKINI.
TAJIRI UNAMGUNDUA KIVP NA MASKINI UNAMGUNDUA KIVP ?
MAANA ADHANA IKIADHINIWA WATU HUJIKUSANYA MSIKITINI KWA MAKUNDI ASA UNATAKA KUSEMA IMAM ANAKAGUA VIPATO VYA WATU AMA?!
YANI NIMEKUTOA AKILI SANA KAKA ANGU.
KARIAKOO KUNA MSIKITI WA MTORO MKUBWA ULIOJENGWA NA BAKHRESA WANAINGIA WATU WA MAKABILA YOTE NA VIPATO VYOTE KUSWALI.
ULICHOKIONGEA HAKINA MANTIKI.MAANA HUWEZ UKASEMA WANAINGIA MATAJIRI TUPU ILHALI HAKUNA UKAGUZI WA MATAJIRI NA MASIKIN.
NAKUBALI KUNA BAADHI YA WAISLAM NI WABAHILI.
NA HII INATOKANA NA KWAMBA TUMEAMBIWA SWADAKA UNATOA KWA KIWANGO CHOCHOTE PASII NA KULAZIMISHWA.
ILA SIO KM NYIE MNAWEKA VIWANGO ETI HUKU ELFU KUMI HUKU ELFU HAMSINI.
SIKU NYINGINE ACHAGA KUROPOKA KAKA ANGU UTAJITIA AIBU
 
Ila masheikh wengi huwa hawana magari sijui kwa nini, au ni kwa sababu waislamu mnatoa sadaka za Tsh. 100 hadi 500
Watu wamegeuza Misikiti na Taasisi za Dini ni sehemu za ajira badala ya kumtumikia Mungu. Matokeo yake hawataki kujishughulisha na mambo mengine ya kujiongezea kipato.

Wakati Ukiwasoma maswahaba wa Mtume walikuwa njema. Imam Maliki alikuwa ana vaa kanzu iliyokuwa inafika mpaka dirham 800. Alikuwa ni mfanyabiashara aliishi karne ya 9 kama sijakosea.
 
Inaitwa Markaz Ibn Taymiyyah ipo katika mkoa wa Tanga

Curriculum yao(Minhaj diraasy) inachukua miaka sita mfululizo(Full time) ukifundishwa vitabu kama mia mbili (around vitabu 200)
Mkuu asante sana. Nita
Yani unakusudia Mtu akiongea kiarabu kibovu kisha kuwa Sheikh c ndio.

Tatizo hufahamu Uislam na Quran vizuri, Uislam uko tofauti na dini zingine kwa sababu, Uislam ni Adabu na Elimu ya kufikiria mwisho wako, Uislam hauhitaji uwe na PhD ya dunia kabla ya kuwa na Elimu alio ishusha Mungu.

Uislam hauna umri, wala utajiri, mdogo na masikini wnaweza kuwaongoza wakubwa kwenye kusali, kuhifadhi kitabu cha Mungu ni muhimu sana.

Kufikia kuwa Sheikh katika Uislam lazina uwe umekamilika kwa tabia na kwa elimu.

Elimu uwe umeihifadhi Quran vizuri na kuweza kuitafsiri, ujiepushe na machafu mfano usikaribie Zina, Riba, Kuteta watu, kulewa na kuachana na mambo yote mabaya alio kataza Mungu.

Uislam ni kuamrisha mazuri daima mfano kutoa sadaka, kusali, kuheshimu wazazi wako wawili na kuwafanyia mazuri yani yote mazuri ya dunia yafanye.

Yani ukifata hayo juu kwa kuyazingatia basi una haki ya kuitwa Sheikh.

Umeona tofauti ya Usheikh na Upadri, padri anaweza kuwa Padri hata kama mzinifu, mlevi na akawa na yote ya uchafu.

Padri we mbandike mshahara tu utaona anavyo foka kanisani na kuwapa masanamu mgongo, yani nyie abuduni tu sanamu yeye halitazami anawatazama wajinga tu
😂 😁
Sheikh umeanza vizuri sana. Infact umenena vizuri kuliko wote waliochangia kwa hilo Asante. Ispokua hapo mwisho umeanza povu kama vile wewe ni delicious aliyetongozwa na maulamaa au sheikh mnyonge.
 
WE NI MNAFIKI NA MUONGO.
THEN MM SIO MASIKINI KAMA UNAVYODHANI NAJIWEZA VEMA TU.
MSIKITI WOWOTE MTU UNAWEZA KUINGIA NA UKASWALI.
UKISEMA KUUNA MISIKITI YA MATAJIRI NA MASIKINI.
TAJIRI UNAMGUNDUA KIVP NA MASKINI UNAMGUNDUA KIVP ?
MAANA ADHANA IKIADHINIWA WATU HUJIKUSANYA MSIKITINI KWA MAKUNDI ASA UNATAKA KUSEMA IMAM ANAKAGUA VIPATO VYA WATU AMA?!
YANI NIMEKUTOA AKILI SANA KAKA ANGU.
KARIAKOO KUNA MSIKITI WA MTORO MKUBWA ULIOJENGWA NA BAKHRESA WANAINGIA WATU WA MAKABILA YOTE NA VIPATO VYOTE KUSWALI.
ULICHOKIONGEA HAKINA MANTIKI.MAANA HUWEZ UKASEMA WANAINGIA MATAJIRI TUPU ILHALI HAKUNA UKAGUZI WA MATAJIRI NA MASIKIN.
NAKUBALI KUNA BAADHI YA WAISLAM NI WABAHILI.
NA HII INATOKANA NA KWAMBA TUMEAMBIWA SWADAKA UNATOA KWA KIWANGO CHOCHOTE PASII NA KULAZIMISHWA.
ILA SIO KM NYIE MNAWEKA VIWANGO ETI HUKU ELFU KUMI HUKU ELFU HAMSINI.
SIKU NYINGINE ACHAGA KUROPOKA KAKA ANGU UTAJITIA AIBU

Muislamu ana wake wawili na watoto saba, ndio maana wengi sadaka hawatoi, suala la misikiti ya matajiri na masikini lipo wazi kabisa usijitoe ufahamu, wewe huyo Bakhressa umewahi sali nae msikiti mmoja, Vipi kwa nini Bakwata hamuwapendi sasa
 
Mimi nauliza kwa hapa Tanzania. Chuo kipo wapi nikasomee ili na mimi nislimu?
Umemaliza kiwango gani cha ELIMU isiwe tunapigishana kelele na mtu wa kumpeleka MIREMBE DODOMA!!
 
We nawe si umeshatajiwa kilipo au unataka ligi isiyokuwa na mpango apo.umeambiwa nenda Tanga kipooo
Mimi nauliza kwa hapa Tanzania. Chuo kipo wapi nikasomee ili na mimi nislimu?
 
Umemaliza kiwango gani cha ELIMU isiwe tunapigishana kelele na mtu wa kumpeleka MIREMBE DODOMA!!
Wewe niambie chuo kipo Tandika au Tabora au runzewe au Buguruni. Shida iko wapi? Chuo kipo wapi nikasome????
 
Ila masheikh wengi huwa hawana magari sijui kwa nini, au ni kwa sababu waislamu mnatoa sadaka za Tsh. 100 hadi 500
Suali zuri Masheikh wapo ki uchaji zaidi na hawawezi wakawadhulumu waumini wao bali wao wapo tayari kutoa kidogo walichonacho kuwasaidia wahitaji
Tafauti na Wachungaji wapo kidunia zaidi wanakuibieni kishaa wanaenda kutanua na vimada na clips wanakurushieni
Akina GWAJIBOY AKA MAUNO YA FENI
 
Ila masheikh wengi huwa hawana magari sijui kwa nini, au ni kwa sababu waislamu mnatoa sadaka za Tsh. 100 hadi 500
Mashekh huwa hawachukui pesa za kitapeli ndio maana,wao hupenda chumo la halali sio km kanisan watu wanatapeliwa eti kufufuliwa maiti mara wagonjwa kupona kumbe ni mitego ya kutapeli wapumbav km nyie msioelew mbele wala nyuma!
 
Imetosha. Uzi huu naufunga rasmi. Asanteni kwa ushiriki wenu.
 
Mashekh huwa hawachukui pesa za kitapeli ndio maana,wao hupenda chumo la halali sio km kanisan watu wanatapeliwa eti kufufuliwa maiti mara wagonjwa kupona kumbe ni mitego ya kutapeli wapumbav km nyie msioelew mbele wala nyuma!

Ila mbona masheikh wa uarabuni wana Ela Sana kuliko hawa masheikh wa Huku Chole na Msanga, nasikia waislamu wote msikitini sadaka huwa hazifiki 50000 kwa ibada
 
Back
Top Bottom