Chuo cha masheikh

Chuo cha masheikh

Ndugu zangu kwa nia njema kabisa naomba vilipo vyuo vya kuchukulia mafunzo ya u sheikh au hata u ustaadh au u maulamaa.
Natanguliza shukrani povu sitaki
Vyuo vya ISLAMIC STUDIES vimejaa dunia nzima ulaya na hata marekani vipo SEARCH ktk mtandao vimeja teleee binafsi niliwahi kupata admission ktk chuo kimoja kipo London uengereza kwa ajili ya kufanya M.A Ktk ISLAMIC STUDIES

South Africa vipo vyuo hivyo
Nigeria vimejaa Mashariki ya kati
Mashariki ya mbani
Malaysia Indonesian nk nk
Any way inaonesha Mtoa Mada wewe ni BANDALESS na unabeba chuki toka MAKANISA YA UFUFUO NA UZIMA
Mnakonyiswa JIK ili muokoke pole yako!!!!
 
Ndugu zangu kwa nia njema kabisa naomba vilipo vyuo vya kuchukulia mafunzo ya u sheikh au hata u ustaadh au u maulamaa.
Natanguliza shukrani povu sitaki
Hakuna Chuo hapo nikujilazimisha tu kuongea kiarabu broken unatunukiwa faster

kahtaan Adiosamigo Kikwajuni One (subiri uwaone watakavyoacha kupiga porojo barazani na kukurupuka kuja kunijibu)
 
Sawasawa nilikua najiuliza sana. Kama sheikh ni cheo cha kidini iweje wengi ni washenzi tu hawafuati maadili ya kidini. Kumbe hata mimi naweza kujiita sheikh Deceiver.
Nafunga mjadala
Wewe utakua MSHENZI usioelea chochote mjinga mpotofu unashindwaje kushindwa hata kwenda net ukajua ukweli
Kwa taarifa yako wee MBURU MATARI kuna wakristo wanasoma UISLAM kwa kufuata fursa kuna topic e.g. ISLAMIC BANKING ambazo wahitimi wake wanakamata ajira ktk mabank ambazo sasa hiv karibu bank nyingi wanacho hiko kitengo cha ISLAMIC wewe endelea kininginiza govi lako tuu
Kuna ma profesa wanaofundisha ISLAMIC STUDIES hali wenyewe si waislam wanaendelea kukamata mshiko kama kawaida
Pole yako wakati mwengine usijiweke uchi kichwa chako kwa kuleta UZI WA KIJINGA KM HUU
Weka chuki pembeni jitafutie elimu
Nimesahau kukuliza vile tayari ushaokoko na unashiriki maombi ya kufufua wafu??
 
Wewe utakua MSHENZI usioelea chochote mjinga mpotofu unashindwaje kushindwa hata kwenda net ukajua ukweli
Kwa taarifa yako wee MBURU MATARI kuna wakristo wanasoma UISLAM kwa kufuata fursa kuna topic e.g. ISLAMIC BANKING ambazo wahitimi wake wanakamata ajira ktk mabank ambazo sasa hiv karibu bank nyingi wanacho hiko kitengo cha ISLAMIC wewe endelea kininginiza govi lako tuu
Kuna ma profesa wanaofundisha ISLAMIC STUDIES hali wenyewe si waislam wanaendelea kukamata mshiko kama kawaida
Pole yako wakati mwengine usijiweke uchi kichwa chako kwa kuleta UZI WA KIJINGA KM HUU
Weka chuki pembeni jitafutie elimu
Nimesahau kukuliza vile tayari ushaokoko na unashiriki maombi ya kufufua wafu??
mbona hasira sasa mkuu?
 
Ndugu zangu kwa nia njema kabisa naomba vilipo vyuo vya kuchukulia mafunzo ya u sheikh au hata u ustaadh au u maulamaa.
Natanguliza shukrani povu sitaki
[
Tunaangalia uwezo wako wa kuhifadhi Qur'an na kivip unaitumikia.
 
Ndugu zangu kwa nia njema kabisa naomba vilipo vyuo vya kuchukulia mafunzo ya u sheikh au hata u ustaadh au u maulamaa.
Natanguliza shukrani povu sitaki
Ushekhe kigezo mojawapo ni umri. Yaani uzee kwa hiyo subiri tu umri.hayo mengine subir wafuasi wa makka waje
 
Wewe utakua MSHENZI usioelea chochote mjinga mpotofu unashindwaje kushindwa hata kwenda net ukajua ukweli
Kwa taarifa yako wee MBURU MATARI kuna wakristo wanasoma UISLAM kwa kufuata fursa kuna topic e.g. ISLAMIC BANKING ambazo wahitimi wake wanakamata ajira ktk mabank ambazo sasa hiv karibu bank nyingi wanacho hiko kitengo cha ISLAMIC wewe endelea kininginiza govi lako tuu
Kuna ma profesa wanaofundisha ISLAMIC STUDIES hali wenyewe si waislam wanaendelea kukamata mshiko kama kawaida
Pole yako wakati mwengine usijiweke uchi kichwa chako kwa kuleta UZI WA KIJINGA KM HUU
Weka chuki pembeni jitafutie elimu
Nimesahau kukuliza vile tayari ushaokoko na unashiriki maombi ya kufufua wafu??
Swali langu ni simple sana. Naomba kujua chuo cha masheikh na mimi nikadsome nislim.....SIMPLE povu la nini?
 
Kama unataka kusoma islamic studies vyuo vipo vingi tu kama markaz ya Chang,ombe,Muslim university of Morogoro.
Huko nje ndio usiseme.
Ila sheikh kuna maana mbili.
Maana ya kwanza kilugha ni mtu aliyeenda kiumri.
Maana ya pili ni mtu aliyekuwa kaenda mbali kidogo ktk masuala ya elimu ya dini sio ya kiislam tu nop ya dini yeyote.
Maana hata makuraish waabudu masanam walikua wana masheikh wao ktk masuala yao ya kuabudu masanam.
Kwahiyo hata ww waweza jiiita sheikh kaka.
Lakini atakayefika mbali ktk masuala ya Islamic knowledge huwa anaitwa ulamaau ama ustaadh.bimaana mwanachuoni(ulamaau) au professor(ustaadh).
Ndugu zangu kwa nia njema kabisa naomba vilipo vyuo vya kuchukulia mafunzo ya u sheikh au hata u ustaadh au u maulamaa.
Natanguliza shukrani povu sitaki
 
Tushawazoea nyie wachafua dini ya kiislam.
Na wala hakuna atakayekuuliza baki na fikra zako za kipuuzi kichwani mwako.
Ndg yangu ni bora ustake kufukunyua hivyo vyeo vinavipatikana. Kuna mambo ya ajabu Sana. Staki maswali.
 
Swali langu ni simple sana. Naomba kujua chuo cha masheikh na mimi nikadsome nislim.....SIMPLE povu la nini?
NDIO NISHAKUJUZA DUNIA NZIMA VIPO SASA UNATAKA NIKULIPIE ADA NAULI AU UNATAKA MSAADA GANI KUWA MUWAZI AU USHAKUNYWA MBEGE? Kwa maana sikufahamu
 
Inaitwa Markaz Ibn Taymiyyah ipo katika mkoa wa Tanga

Curriculum yao(Minhaj diraasy) inachukua miaka sita mfululizo(Full time) ukifundishwa vitabu kama mia mbili (around vitabu 200)
 
Bado sijapata jibu sahihi.
Kwa ivo hata mume wa Amber Rutty anaweza kuwa sheikh kama atavaa kanzu na kofia na atafuga midevu
Hatukuelewi ujue.
Unajua kuvaa kanzu na kufuga ndefu haiashirii eti huo ndio uislam.
Hapana ndugu hata Oman nchi iliyochafuka.kwa upuuz warab wanavaa kanzu na kuzama disco.
Kanzu ni vazi la kitamaduni la kiarabu kama ilivyo sari kwa wahindi na punjabi kwa wahindi punjab.
Hata huyo mme wa ambaruti akivaa kanzu ni yeye kaamua maana atakua amevaa vaz la tamadun ya kiarabu sio vaz la kiislam .
Ni nimekuambia mkuu kwa lugha ya kiarabu sheikh ni yule mtu aliyekuwa na umri mkubwa ama mwenye kiasi flan kikubwa cha elimu ya dini hata ya kipagani sio ya kiislam tu.
Wafaa huelewe hapo.
Hat padri kwa uarabuni na makanisani ya uarabun watamuita sheikh.
Kwasababu ana elimu kubwa kwa kiasi ktk masuala ya dini ya kikristo.
 
Back
Top Bottom