Leo umekuja na maneno ya Mungu.
Luka 19: 40 Akajibu, akasema, Nawaambia ninyi, wakinyamaza hawa, mawe yatapiga kelele
Baada ya Wahusika yaani manabii, mitume kunyamaza Mungu katuinulia
Mshana Jr anahubiri sasa.
Ila nyie watani zangu kweli Mbinguni hamfiki, yaani umejifanya kusahau WIZI yaani, ukataja haya kweli.
UZINZI, ULEVI, KIBURI, UCHAWI, UASHERATI, ULAWITI, UFIRAJI, UJAMBAZI, USENGENYAJI
By the way, chumvi sasa inakolezwa kuzidi.
Taa ya ulimwengu, tuwe taa na nuru ili wengine waone kwetu,
eti eeh?