Chumvi imeharibika, itatiwa nini hata ikolee?

Chumvi imeharibika, itatiwa nini hata ikolee?

Na wote tuseme AMINA KWA neno lilosomwa na Mwashamu Baba Askofu Mshana Jr🤣🤣🤣
 
Watakatifu Bora si walio tangazwa baada ya kifo. Mtakatifu Bora Ni yule alieko hai, Alie kufa huyo katangazwa na mwanadamu Mungu halitambui Hilo la mwanadamu maana Kuna Siri anayo itambua yeye Mungu
Ni ngumu kuwa mtakatifu ukiwa hai...tunachofanya ni kutafuta njia ya utakatifu...na ukamilifu wake ni kigo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom