Chuki ni sumu

Chuki ni sumu

Kwa story uliyosimulia kuhusu ex-wife wako mpaka mnafikishana barazani na kuachana mahakamani, ni wazi anachuki iliyokomaa sana juu yako, ni kana kwamba ni mtu ambaye kuna uovu mkubwa uliwahi kumfanyia, dah holding grudges ni kitu ambacho siwezi nina ex-girlfriend aliniachaga tena kwa matusi nikamwambia poa, sikumchukia badae tukawa tunatafutana kwa sms niliona tu sitaki mbichi hizi nikachange line asinipate.
Ahahaha..hapana.
Sijawah mfanyia kitu kikuubwa hivyo ila nafikiri she is that way. Kuna mambo niliyapuuzia sana toka mwanzo. But the woman ni mtu ambaye moaka namuoa, nilimkuta na nimemuacha bado anachuki hata juu ya baba yake mzazi!. Hata kwenye harusi yetu wala sendoff yake hakuhudhuria.

Nafikiri ana shida tu hiyo
 
Ahahaha..hapana.
Sijawah mfanyia kitu kikuubwa hivyo ila nafikiri she is that way. Kuna mambo niliyapuuzia sana toka mwanzo. But the woman ni mtu ambaye moaka namuoa, nilimkuta na nimemuacha bado anachuki hata juu ya baba yake mzazi!. Hata kwenye harusi yetu wala sendoff yake hakuhudhuria.

Nafikiri ana shida tu hiyo
Hahah kumbe ni mambo ya laana za ukoo wake, ana chuki na gubu kajitwika mizigo mizito sana!
 
Ni kweli aisee. Juzi kati ilitokea nikalazimika kuongea na ex-wife kuhusu masuala ambayo ilikua lazima tuzungumze.

Aisee, she sounded so very bitter, very angry, she blasted very nasty words on me, mpaka nikajiuliza huyu mama ndio kusema kajeruhika na hii ishu ambayo ni yeye ali initiate. Mimi niliyeumizwa na kuoita kwenye phase mbali mbali (anger, resentiment, chuki, kuhisi kisasi) mpaka nikapona kwa kuamua kuachilia vyote inakuaje am soo cool namna hii halaf yeye kapanic hivi??

Nikagundua huyu chuki inamtesa sana. Nikamwambia kwaheri, nikakata simu baada ya kuwa straight kwenye kile nilichompigia na kuongea nae.

Chuki inatesa wakuu nakubaliana na wewe.
shida moja ya wenye chuki huwa wanakuwa na furaha pale atakapo hakikisha unadhalilika ila mambo yakienda nje ya matarajio yake chuki huzidi mara dufu.
Isingekuwa suala la watoto ungebadilisha laini.
 
Ni kweli aisee. Juzi kati ilitokea nikalazimika kuongea na ex-wife kuhusu masuala ambayo ilikua lazima tuzungumze.

Aisee, she sounded so very bitter, very angry, she blasted very nasty words on me, mpaka nikajiuliza huyu mama ndio kusema kajeruhika na hii ishu ambayo ni yeye ali initiate. Mimi niliyeumizwa na kuoita kwenye phase mbali mbali (anger, resentiment, chuki, kuhisi kisasi) mpaka nikapona kwa kuamua kuachilia vyote inakuaje am soo cool namna hii halaf yeye kapanic hivi??

Nikagundua huyu chuki inamtesa sana. Nikamwambia kwaheri, nikakata simu baada ya kuwa straight kwenye kile nilichompigia na kuongea nae.

Chuki inatesa wakuu nakubaliana na wewe.
Chuki ni mbaya ila usivumilie udhaifu binadamu hawana huruma watakuua huku wanatabasamu😁
 
Nasoma comments tyuuh mie. Ila naunga mkono hoja.
 
Poor br
Hata humu jf kuna mijitu ina chuki .
Kuna mtu niliwahi gombana nae et kisa kila comment naweka emoj ya kucheka...

End of day nikaja kummega ndo hapo kasheshe ikaanza zaidi

Poor brain kwenye moja na mbilii😂😂😂😂
 
For sure, maosha wakati mwingine yanahitaji jino kwa jino.Usinizoee wala usiniletee unafiki,ujinga na usiingie anga zangu kama uliwahi nifanyia ubaya na nikaujua,ohooo nakumaliza.
Auaye kwa upanga,atakufa kwa upanga.Sasa jifanye mwema wa kusamehe,wa kuacha yu watu wanakuumiza,wanakufanyia chinichini halafu wewe unakuwa Yesu.
Dunia haina watu wema tena,ila usiache kutenda wema.
Chuki ni mbaya ila usivumilie udhaifu binadamu hawana huruma watakuua huku wanatabasamu😁
 
For sure, maosha wakati mwingine yanahitaji jino kwa jino.Usinizoee wala usiniletee unafiki,ujinga na usiingie anga zangu kama uliwahi nifanyia ubaya na nikaujua,ohooo nakumaliza.
Auaye kwa upanga,atakufa kwa upanga.Sasa jifanye mwema wa kusamehe,wa kuacha yu watu wanakuumiza,wanakufanyia chinichini halafu wewe unakuwa Yesu.
Dunia haina watu wema tena,ila usiache kutenda wema.
Dunia ya sasa hasa nchi za kiafrika ukiangalia kwa jicho la tatu tupo km wildlife mwenye nguvu ndie ana survive

Sasa we jifanye mwanafunzi wa Yesu
Watakopa pesa hawatarudisha
Watamuita wife shem then watamtomba😅

Choose your circle wisely and suspect each other
 
Chuki ni mzigo usioonekana unaokula nafsi kimya kimya

Kuna uchungu wa aina fulani huwezi kuupiga picha. Uchungu wa mtu anayebeba chuki moyoni...

Chuki haina kelele, lakini ina sumu...

Ni moto unaowaka ndani kimya kimya, ukiunguza kila chembe ya amani uliyonayo.

Ukimchukia mtu si yeye anayeteseka ni wewe...

Yeye anaendelea na maisha yake, anacheka, anafurahi, hata hajui unavyohisi..

Lakini wewe... kila ukimuona, moyo unaenda kasi Ukisikia jina lake, hasira inakujaa.
Ukiona mafanikio yake, unajisikia uchungu na mpweke.

Chuki haimbadilishi yule unayemchukia. Inakubadilisha wewe. Inakufanya ushindwe kupumua kwa amani.
Inakufanya ushindwe kusamehe. Inakufunga kwenye gereza la hisia zako mwenyewe.

Ni kama kunywa sumu na kutarajia mtu mwingine afe.

Mioyo yetu haiwezi kuhifadhi chuki kwa muda mrefu bila kupasuka.

Kwa hiyo, unapobeba chuki ni nafsi yako unaiadhibu, naua furaha yako, unasumbua akili yako, unachelewesha safari yako.

Wengine wanaweza wasistahili msamaha wako. Wewe unastahili amani yako.

Na mara nyingine, njia pekee ya kuipata… ni kuacha kubeba chuki. isiyo na maana
Abuuabdillah ✍️
0744883353
Sure sure
 
Chuki ni mzigo usioonekana unaokula nafsi kimya kimya

Kuna uchungu wa aina fulani huwezi kuupiga picha. Uchungu wa mtu anayebeba chuki moyoni...

Chuki haina kelele, lakini ina sumu...

Ni moto unaowaka ndani kimya kimya, ukiunguza kila chembe ya amani uliyonayo.

Ukimchukia mtu si yeye anayeteseka ni wewe...

Yeye anaendelea na maisha yake, anacheka, anafurahi, hata hajui unavyohisi..

Lakini wewe... kila ukimuona, moyo unaenda kasi Ukisikia jina lake, hasira inakujaa.
Ukiona mafanikio yake, unajisikia uchungu na mpweke.

Chuki haimbadilishi yule unayemchukia. Inakubadilisha wewe. Inakufanya ushindwe kupumua kwa amani.
Inakufanya ushindwe kusamehe. Inakufunga kwenye gereza la hisia zako mwenyewe.

Ni kama kunywa sumu na kutarajia mtu mwingine afe.

Mioyo yetu haiwezi kuhifadhi chuki kwa muda mrefu bila kupasuka.

Kwa hiyo, unapobeba chuki ni nafsi yako unaiadhibu, naua furaha yako, unasumbua akili yako, unachelewesha safari yako.

Wengine wanaweza wasistahili msamaha wako. Wewe unastahili amani yako.

Na mara nyingine, njia pekee ya kuipata… ni kuacha kubeba chuki. isiyo na maana
Abuuabdillah ✍️
0744883353
Asante kwa ujumbe huu mkuu
 
Back
Top Bottom