bily
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 8,029
- 5,813
Mkuu Ulukolokwitanga huku ni kukosea watu heshima sidhani kama unajua umuhimu wa Dual citizenship otherwise Leave stone as they are. Thanx.
Diaspora wa Tanzania mchango wao ni JF MMU pekee, kwenye uchumi na ujasiriamali hutowaona kamwe. Sana Sana wakichoka kuosha vyombo huko utawaona Chit Chat. Usitegemee remittance kutoka kwa mijitu ya aina hii...
Last edited by a moderator: