Chuki na husda dhidi ya wanaDiaspora

Chuki na husda dhidi ya wanaDiaspora

Ok hebu fikiria mtu akujibu hivi bila kujali undugu; dunia ya sasa ni utandawazi na utandawazi ni faida kwanza mengine baadaye,nyie mnataka uraia sawa sisi tunaendesha mambo yetu bila uwepo wenu na yanaenda sasa nyie mnaotaka kuja kwetu mtafaidisha nini katika sekta za uchumi,elimu,siasa,afya na miundombinu????!!!

Majoka ya mdimu nyinyi, "tunaemdesha mambo yetu" gani hayo zaidi ya ufisadi na wizi wa mali za ummah.
 
lakini Wahafidhina CCM wa Zanzibar ndio waliyoiwekea mguu kwa hofu eti Wa Zanzibari (Diaspora ya Arabuni) watarudi na mahela yao watakuja kumiliki kila kitu na kuchukua nchi na hili ni nyinyi hapo wa Tanganyika ndio munawaachia sasa ni kikulacho ki nguoni mwako. ]
Kama ni hivyo basi watakuwa wamekosea sana kwa sababu uraia pacha utakuja kuwasaidia sana Wazanzibari huko mbeleni (baada ya uzinduzi wa Tanganyika) hasa hasa katika suala la umiliki wa ardhi.
 
"wana-diaspora tunaonewa wivu kwa uwezo wetu wa kuandika na kujieleza kwa lugha za kizungu".haya si maneno yangu,ni ya mwana-diaspora mmoja niliyekutana naye siku chache zilizopita alipo rejea toka ng'ambo.
 
Msimsulubu Membe wasulubuni wahafidhina wa CCM na wenzenu wa Chadema (Islamophobics) wanaosaidia kujenga chuki Zanzibar kwani Membe amelipigia debe sana hili suala na alifika pahali bado implimentation tu lakini Wahafidhina CCM wa Zanzibar ndio waliyoiwekea mguu kwa hofu eti Wa Zanzibari (Diaspora ya Arabuni) watarudi na mahela yao watakuja kumiliki kila kitu na kuchukua nchi na hili ni nyinyi hapo wa Tanganyika ndio munawaachia sasa ni kikulacho ki nguoni mwako. Mchunga kupigwa na ngombe wake. Kujikaanga kwa mafuta yako mwenyewe.

Poleni sana.


gombesugu, kahtaan, wabara, THE BIG SHOW, Gavana, Boko haram, mipangomiji, mfumo


Umeongea kweli kabisa Mkuu

Tatizo ni manyani kutokuona ya kwao,wao wanayaona ya wenzao tuh

Mimi binafsi hawa nawaona ni wanafiki tuh,wengi wa wanasiasa wa bongo ni wanafiki,si wapinzani si chama tawala,hawa ndio wanaturudisha nyuma badala ya kutupeleka mbele
 
"wana-diaspora tunaonewa wivu kwa uwezo wetu wa kuandika na kujieleza kwa lugha za kizungu".haya si maneno yangu,ni ya mwana-diaspora mmoja niliyekutana naye siku chache zilizopita alipo rejea toka ng'ambo.

Sasa we umeandika kitu ghani?


Sent from Mchina
 
Kwa hiyo mlitaka watengeneze barabara za juu ndio muwafurahie kama hao Ethiopiaa uzuri ma viongoz karibia yote yana uraia wa nchi nyingi tu,na wamejenga majumba kibao nje
KITAELEWEKA TU
 
"wana-diaspora tunaonewa wivu kwa uwezo wetu wa kuandika na kujieleza kwa lugha za kizungu".haya si maneno yangu,ni ya mwana-diaspora mmoja niliyekutana naye siku chache zilizopita alipo rejea toka ng'ambo.

Labda alitokea Zimbambwe huyo
 
Ndugu yangu malcolmX

Unapaswa kutambua kilicho nyuma ya vikwazo vya suala hili si chuki na husda kama unavyodhani...

Tena umesema wanasiasa na matajiri ndio wenye chuki na husda dhidi ya diasporas je chuki na husda yao nini dhidi ya diasporas?

Kuanzisha mada kwa mrengo huo sidhani kama utapata uchangiaji mzuri toka kwa wadau..

jaribuni kujenga hoja zenye mashiko ambazo zitawashawishi ndugu zenu kulikubali hili suala..

Nimefuatilia mijadala mingi juu ya suala hili hapa jf na nje ya jf lakini sijawahi ona diaspora yoyote akitoa hoja ya mashiko ktk uchangizi wake zaidi ya kusema tunaonewa wivu...chuki..husda n.k n.k

mbaya zaidi hamuelezi hizo chuki..wivu..husda zinaletwa na nini hasa maana hao wanasiasa mnaowashutumu wengi wana ndugu na watoto nje ya nchi....

Kwanini msibadili aina hii ya mawazo na mje na hoja mujarabu?

Membe amepigania sana hii issue kwenye katiba mpya alikwama kwanini?

Kwenda kwa maneno mepesi namna hii katika issue nzito kama hii inayowaumiza itawagharimu wenyewe...

Jaribuni kubadilika maana mi sioni chuki..husda..wivu dhidi yenu unatoka wapi na kwanini ikiwa kwenda nje kila mtu akitaka anaweza kwenda kama wafanyavyo wengine sasa hapo sijui unaweza semaje..

Binafsi issue hii inanigusa pia kwakuwa nina ndugu na jamaa Nje ila tatizo kubwa lililopo kwetu ni uelewa juu ya jambo hili kwa wadau...

Kila la kheri..

Ndugu yangu usikae kutetea ccm tu daily think beyond kaka....kwa nini sasa dual citizenship iinawekewa vikwazo? sababu za msingi za kupinga uraia wa nchi 2 ni zipi? angalia hiyo chati hapo juu vizuri...mnapinga uraia wa nchi mbili halafu mnawaruhusu watoto wenu wenye uraia wa ughaibuni kuja kugombea ubunge kwa sababu tu ni watoto wa vigogo wa ccm...
 
Majoka ya mdimu nyinyi, "tunaemdesha mambo yetu" gani hayo zaidi ya ufisadi na wizi wa mali za ummah.

Ha ha haa tulia kwanza basi mambo yetu huku ni kusukuma gurudumu ingawa wanasiasa bado wanazingua kiaina ila sio mbaya uelekeo unaonekana yaweza chukua muda ila kitaeleweka na nyie si baadhi yenu mlikuwa wakija huko mnapiga nao picha na kuweka humu tena mkakubali kugawanywa kwa mujibu wa vyama!!!!


Kwani huko hamuendeshi mambo yenu????!!!
 
Ndugu yangu usikae kutetea ccm tu daily think beyond kaka....kwa nini sasa dual citizenship iinawekewa vikwazo? sababu za msingi za kupinga uraia wa nchi 2 ni zipi? angalia hiyo chati hapo juu vizuri...mnapinga uraia wa nchi mbili halafu mnawaruhusu watoto wenu wenye uraia wa ughaibuni kuja kugombea ubunge kwa sababu tu ni watoto wa vigogo wa ccm...

Mkuu kwenye hii ishu hakuna u CCM wala u CDM wote wanakumbwa na hili swala...
Kumbuka kuna wana CCM diasporas hii issue inawagusa pia..
 
Kimsingi hii mada in kaujinga kidogo.
Utakuwa na chuki na kitu ambacho wala hukijui.
Kumtaka Membe akutetee wakati unaweza kujieleza wewe mwenyewe ni infiority complex of thi highest order.

Mjipange kuweka mambo yenu sawa, sijasikia mhindi aliyejilipua akitaka udiaora wake.
Ukijilipua umejilipua , kaa huko and enjoy it.
Kama wataka kurudi huo ni uamuzi wako, kutaka utetewe ili uenjoy both worlds ni ujanja wako wa kuishi duniani.

Embu shirikisha ubongo kidogo. Unazania waindi wanajali bongo. Bongo ni pakujichumia na waindi wengi wakizipata hela wanakimbilia canada au kurudi kwao. Watu wanaotaka uraia pacha ni watanzania masikini walioenda nje kutafuta maisha ila wanaona bongo ni kwao na wanataka hela zao wazitumie kuendeleza kwao bongo.
 
Embu shirikisha ubongo kidogo. Unazania waindi wanajali bongo. Bongo ni pakujichumia na waindi wengi wakizipata hela wanakimbilia canada au kurudi kwao. Watu wanaotaka uraia pacha ni watanzania masikini walioenda nje kutafuta maisha ila wanaona bongo ni kwao na wanataka hela zao wazitumie kuendeleza kwao bongo.

:A S thumbs_up::A S thumbs_up:
 
Mkuu ukiangalia asilimia kubwa ni wale wanaoogopa kupoteza nafasi zao kisiasa iwapo walio nje wataruhusiwa.

Solution kwa mtu anaetaka kuwa mwanasiasa TZ ni kuukana uraia alionao sasa na kurudi nyumbani kugombea

Mimi ni mhehe wa Kalenga, baba katokea Kalenga na mama Katokea Tosa maganga, wanangu pia ni full wahehe, sasa kesho nirudi nyumbani nione kenge yeyote ananisumbua, kwanza wengine ni wanyarwanda na warundi tu..
 
But why this remittences doesn't reflect on this map?

View attachment 144694






Lyimo,
does it have to be on the map to make it Real?. It may just be the lack of information or its just relatively small compare to the countries author choose to include on the map. But kwikfit has shown how much Tanzania diaspora are adding to Tanzania economy. It may be relatively small compare to countries on the map which have relatively larger diaspora community compare to tanzania. But that does not diminish the significance of Tanzania's diaspora contribution and for that reason the deserve to be able to keep their Tanzania citizenship.
 
Watanzania ni porojo sana popote pale walipo, hawaishi kutafuta visingizio. Watu wenye nia ya kuwekeza nchini kwao hawaitaji uraia pacha kufanya hivyo. Tumewaona wapopo (wanaijeria) walioko kwenye nchi zinazokataa uraia pacha kama Norway, lakini wanaukana uraia wao na bado wanawekeza nyumbani. Acheni porojo, mjitume...ongezeni ujuzi mpate kazi za maana au muanzishe miradi yenu huko ughaibuni na mnaweza kuja huku nyumbani hata kama foreign investors (tena wengi hamjui tu, Tanzania inawajali foreign investors kuliko wazawa). Tatizo lenu wengi mmejikita kwenye "unskilled jobs" (kama vile kupiga "dish" subway, carpet cleaning, hotel room makers etc) halafu mnategemea uraia pacha utawaletea mabadiliko......no way, kama vipi mrudi tu nyumbani bado kuna ardhi kubwa tu yenye rutuba.


.. and yet bado hakuna valid reason ku deny dual citizenship. How will it hurt YOU to allow someone else this small right.
 
Diaspora-driven development: how to turn wealth to health in Bangladesh

Policymakers need to understand the diaspora and incentivise its involvement in the country's development



surma-river-007.jpg
Boats navigating the Surma river in Sylhet, where 95% of British-Bengalis are from. Photograph: Sean Smith for the Guardian

Sylhet division in north-east Bangladesh, where around 95% of all British-Bengalis trace their origin to, should in theory be the wealthiest and healthiest part of country. The region receives around US $1bn in remittances every yearfrom expatriate Bengalis in the UK alone.
However, wealth hasn't translated to health in Sylhet. According to theBangladesh Bureau of Statistics, Sylhet has worse literacy and school enrolment rates than all other regions, child malnutrition rates are well over the WHO emergency threshold of 15%, fertility rates are the highest in the country and expectant mothers are more likely to die during child birth in Sylhet than any other part of Bangladesh.
"While remittances play a significant role in Bangladesh's development, most of it is transferred to individual households rather than to charity or community development," ex-Bangladesh foreign minister Farooq Sobhan explains. "Amongst key concerns are issues of corruption and red tape, the political schism between the Awami League and the Bangladesh National Party, and resulting instability, insecurity and a feeling of not knowing how to help," said Sobhan, who currently heads the Bangladesh Enterprise Institute, a research and advocacy organisation that focuses on the growth of private enterprise in Bangladesh.
How then can policymakers respond to the commitment and resources of British-Bengalis, and shape them to meet local development targets?
Understand the challenges


"When you ask those in the Nigerian diaspora with a specific skillset, in the health care, for example, if they would give a year of their time to help develop the capacity of midwives in northern Nigeria so they can deliver babies safely, the answers are overwhelmingly positive," said John Minto, co-founder of Fund Finders Africa, an organisation that connects diaspora with their communities.
"As such, the diaspora needs to be profiled and targeted according to the specific backgrounds of the individuals, whether it be in health, IT, banking or education, so they can be linked to the needs of the communities abroad," said Minto.
Facilitate return economic migration


In November 2012, an estimated 23,000 British-Indians went back to live in their land of origin. India's booming economy – in the face of the current financial crisis – as well as better immigration policies for non-resident Indians (NRIs) are thought to be the major driving factors. "This should not be considered as a moral obligation; rather one that makes absolute social and economical sense," said Ayub Korom Ali, ex-councillor for the London borough of Tower Hamlets, and part of the "4 Bangladesh," a network of British-Bengali professionals who are interested in contributing to development in Bangladesh.
Korom Ali added: "In the current economical climate, the UK has a surplus of graduates who are looking for jobs. Bangladesh on the contrary has an increasing demand for these very same people. Why not take this opportunity to get some work experience, make some money and help people who need it."
But the support structures needed to encourage return migration matter. India's returning diaspora, or NRIs, were offered "visas for life" [pdf], a the Reserve Bank of India liberalised its policies towards NRIs and persons of Indian origin (PIOs) to promote easier foreign exchange transactions between India and its diaspora and a number of funds set up to aid Indian missions from abroad.
Similarly, the US government has introduced the African Investment and Diaspora Act 2011, which is expected to "facilitate broadened socio-economic relations between the US and the African continent" and "embraces the idea of helping African countries help themselves". A similar policy change in both the UK and in Bangladesh could help Britain's Bengali diaspora connect with their communities.
Reduce tax and transfer fees


A large number of Bangladeshi expatriates are unskilled labourers so cash transfers will still dominate the way they contribute to development back home. However, due to high tax on remittances and high money transfer fees, many chose to use informal channels. The Daily Star, a Bangladesh English language broadsheet reported that up to 24% of remittances are brought into the country through informal channels. Reducing tax, as well as transfer fees by organisations such as Western Union could encourage more people to use formal channels and hence increasing government revenues
Provide incentives


A survey funded by Comic Relief in 2012 showed that diaspora professionals in the UK were "hesitant to dedicate time and other resources on a volunteer basis". Policymakers – and NGOs – wanting to garner support from the diaspora must recognise the need to provide a reward for involvement.
Editor's note: do you know of any other national initiatives to engage diaspora communities? Tell us in the comment threads below, where they are and why they have been successful or not.
This content is brought to you by Guardian Professional. To get more articles like this direct to your inbox, sign up free to become a member of the Global Development Professionals Network


 
Back
Top Bottom