Chuki na husda dhidi ya wanaDiaspora

Chuki na husda dhidi ya wanaDiaspora

Naona hujanielewa au labda ni mi sijakuelewa. Me sitaki kuongelea swala la nationality, my concern hapa ni citizenship. Na niseme tu naona unajikanganya, Unaposema mtu akitaka uraia wa Tanzania, na kama yeye ni mkenya itabidi aukane uraia wa Kenya. Ndio hasa ambacho si tunakitaka. We know these guys, bado hatujafikia hatua ya kuwa comfortable nao.

Na unaposema sheria ya inayopinga dual citizenship haimzuii mkenya kuwa na uraia wa Tanzania, me sielewi. Una maana kwamba mtu anaweza akaja Tanzania na kupata uraia bila kuukana uraia wa nchi yake. Kama ndio maana yako, basi nadhani unapaswa ku-revisit the facts.

Kama hujanielewa kwa mfano huo, basi sijui nikueleze nini ndugu yangu ili uelewe. Mdau hapo chini kishakujibu, na nchi karibu zote duniani kote citizenship ya kuzaliwa haipokonywi.

Nitasisitiza tena, Mkenya na mtu yeyote kutoka nchi zingine akija Tanzania akajifanya ana ukana uraia wake kwa kutumia sheria ya kinyanyembe iliopo, hapo ana wa mock tu na sheria yenu ya kinyanyembe. Kimsingi, anakuwa hajapoteza uraia wake wa kuzaliwa hii si kwa mkenya tu ni karibu nchi zote duniani ikiwemo korea kaskazini na Russia. Hivyo atajifanya anaukana uraia wake mnampa passport anarudi kwao anapewa passport nyingine.

Hivyo sheria hiyo ya kinyanyembe haimzuii mkenya kumiliki passport ya Tanzania na Kenya kwa wakati mmoja. Bali inamzuia Mtanzania wa kuzaliwa kumliki passport zaidi ya moja. Ni sheria kadamizi kwa watanzania wazawa tu, wakati inatoa loop hole ya dual kwa watu wasio wazawa. Sasa sheria ya Kinyanyembe na kilugaluga namna hii inalinda vipi masilahi ya Tanzania? ni sheria ya kijuha iliyopita viwango vyote vya kijuha.
 
_42481604_africa_migration416x363.gif


Hivi chuki dhuidi ya wana diaspora na hasa toka kwa wanasiasa na watu wenye hali nzuri za kimaisha hapa nyumbani inatokana na nini?

Cha ajabu ni kuwa mawaziri na viongozi kadhaa wa serikali ya nchi hii watoto wao wana uraia wa nchi mbili mbili japo sheria hiyo haipo. Mfano Waziri wa mambo ya nchi za nje ambaye diaspora iko chini yake, Bw Bernard Membe, watoto wake ni raia wa Canada, Sisemi kuwa kuwa na uraia wa nje ni dhambi lakini ungetegemea kuwa alikuwa na uwezo wa kuwaandikisha wanae kuwa ni raia wa Tanzania lakini alikubali waandikishwe kuwa ni raiua wa Canada. Cha ajabu ni kuwa Mheshimiwa Membe amekjuwa kimya sana huku watanzania ambao wako Diaspora wakiendelea kusulubiwa na wanasiasa na vyombo vya habari hii inanipelekea kulizia kuwa hivi chuki na husda dhidi ya wana Disapora (ambao wengi wao ni watoto wa maskini) inatokana na nini hasa?

Hivi vyama vya siasa vina maoni gani kuhusu hili suala?


Mkuu ni chuki ambayo sijui chanzo chake ni nini? Dunia ya leo yenye kujaa watu na ukosefu mkubwa wa ajira nchi nyingi zinaruhusu uraia pacha ili kuencouage watu kwenda kutafuta kwingine ili kuondoa pressure nchini kwao. Serikali imekazania wana diaspora hawajafanya lobbyng ya kutosha kuconvince watanzania wengi,jamani lobbying ya nini iwapo umuhimu unafahamika? Nchi za Kenya, Uganda na Rwanda hakuna lobbying iliyofanyika bali viongozi waliona muhimu wake na sio kila swala muhimu kwa taifa viongozi lazim watafute maoni kwa wananchi wa kawaida ndio maana ni viongozi. Hebu tujiulize kidogo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wananchi waliulizwa? Viti maalumu wanawake nani aliulizwa? Mfumo wa vyama vingi wananchi wengi walikataa serikali ikapitisha maana yake kuna mambo muhimu serikali hupitisha kwa manufaa ya nchi kwa hiyo swala la uraia pacha serikali haiitaji kufanyiwa lobbying maana hizi ni haki za watanzania walio nje ya nchi
 
Really? Mbona majibu yanatolewa kila siku lakini hamtaki kufungua masikio? Nikupe mfano mmoja tu. Kuna dada Mtanzania ambaye anafanya kazi NASA. Huwezi kupata kazi sehemu kama NASA kama hauna uraia wa Marekani. Huyu dada, ndugu zake WOTE wako Tanzania, lakini ilibidi apate kazi anayopenda na inayoendana na kisomo chake. Sasa, kama mtu huyu ambaye ana PhD ya aerospace engineering, Bongo arudi afanye kazi wapi? Je, na watoto wake ambao ni Watanzania-Wamarekani, nao ni "wasaliti" kama ambavyo mnajaribu kuwasulubu "waliojilipua"?

Sidhani kama Watanzania ni wajanja sana kuliko Wanyarwanda, Wakenya, Waganda, Waghana, na mataifa mengine sana ya Afrika ambao wanaruhusu uraia pacha. Kama kuna practical experience ya madhara ya uraia pacha, ningependa kusikia mfano. Vinginevyo hoja zinazotoka upande wa kupinga uraia pacha kama mada hii inayosema, zinaonekana kujaa uoga, chuki tu na husda, badala ya nondo za nguvu.
Mkuu you must have a crooked mind!
Huyo dada anaye fanya kazi NASA alitekwa nyara?
Hebu tuanzie hapo.
 
Mkuu you must have a crooked mind!
Huyo dada anaye fanya kazi NASA alitekwa nyara?
Hebu tuanzie hapo.

Do I have a crooked mind? Nah, far from it.

Mkuu, uliuliza swali - ngoja nirudie swali lako " Huo urai wa huko ughaibuni waliupata kwa minajili gani?", nikakupa jibu na mfano halisi. Lakini naona mwenzangu umeamua kuchanja mbunga kwenye personal attacks. Huyo dada hakutekwa, bali aliamua kufanya kazi anayoipenda, ambayo hawezi kuipata bila uraia wa Marekani na ni kazi ambayo Tanzania hakuna. Kama una hoja ya msingi ya kumlaani mtu kama huyu dada asipewe uraia pacha, ningependa kuisikia hiyo hoja yako. Ndiyo maana tuna mijadala kama hii ya wazi.


 
Do I have a crooked mind? Nah, far from it.

Mkuu, uliuliza swali - ngoja nirudie swali lako " Huo urai wa huko ughaibuni waliupata kwa minajili gani?", nikakupa jibu na mfano halisi. Lakini naona mwenzangu umeamua kuchanja mbunga kwenye personal attacks. Huyo dada hakutekwa, bali aliamua kufanya kazi anayoipenda, ambayo hawezi kuipata bila uraia wa Marekani na ni kazi ambayo Tanzania hakuna. Kama una hoja ya msingi ya kumlaani mtu kama huyu dada asipewe uraia pacha, ningependa kuisikia hiyo hoja yako. Ndiyo maana tuna mijadala kama hii ya wazi.




😛eace: well said. But you know there is something within our psychology as a people that is threatened by this kind of success story.

we all do it. all of us. i believe there was something that was inserted into our DNA when we were forged as a nation , to bind us together as one people.

this thing has positives like the rejection of tribalism and classism.

but it also creates a suspicion of ambition and individualism which our neighbours the kenyans celebrate and encourage.

its a fascinating dichotomy. any sociologists on here who can shed more light?
 
Back
Top Bottom