dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,754
- 18,776
Ni Kweli nape Ana fom four ya 30 Sasa mm nitashindwa nn na two yangu ya ole levelNo, siyo kwamba anachukiwa. Watu wenye akili wanajaribu kupima hivi vyeo anavyopata haraka namna hiyo ni kweli anavistahili au ni kwa vile baba yake ndio watawala wa nchi hii! Tukichukua vyeti vyake vya shule, je anaufaulu outstanding to deserve such accelerated promotions to those levels?
Sawa na Ridhiwani Kikwete, amepata ubunge siyo kwa vile alishindanishwa, ni kwa vile influence ya baba yake played the whole part. Kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, siyo kwa vile ana merit ya kuwa pale, ni influence ya baba yako!
Sawa na NAPE, ana sifa kweli za kuwa pale? Mtu Form four failure, tena div 4 point 30! Huyu ataandamwa kwa vile yuko pale kwa kujuana, siyo merit!
Kwahio unaonaje akipewa nchi kwaujimla?Anajua kule ni wajinga na waoga
Ni hatari sana kwa kweliWao wanawaza kula tu basi kwa siku moja
😉😉😉😉🤔Ni Kweli nape Ana fom four ya 30 Sasa mm nitashindwa nn na two yangu ya ole level
Nina wasiwasi makamba akiingia ikulu ataihamisha Tena serekali kwenda magoginiJanuary yupo kwenye Vita tangu aingie 5 bora Urais 2015.
Anaonekana ni threats kwa wenzake kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Ujao.
Wapo wanaotoa hoja kuwa hana Uwezo wa kuongoza ndiyo maana Wizara kadhaa alizoziongoza zimemshinda.
Kitu ambacho hawajui kuwa, Urais wa Tanzania sio kazi ya kubeba Zege kwamba inahitaji Ubaunsa.
Rais ni Taasisi, ndani ya Urais kuna Mainjini, Madaktari, Wanasheria, Maafisa Mipango, Wachumi n.k
Ni suala la mifumo kuachwa kufanya kazi.
Then yeye anachotakiwa kuwa nacho ni Ujasiri tu wa kufanya maamuzi kama alivyokuwa Ben Mkapa ama JPM lakini kwa kufuata Sheria na Katiba ya Nchi.
Hata mwenye Kidato cha Nne anaweza kuongoza Nchi hii iwapo ataacha mifumo iwe inafanya kazi.
=======
Tatizo la Nchi hii sio January, Mwigulu ama Biteko
Kama CCM itaendelea kuongoza Nchi hii hata aje Mtume M.S.W ama Yesu Kristo wa Nazareth kuongoza kupitia Chama hicho basi nao hawatatufaa
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Kabla ya hapo alikuwa betrice shelukindo alikuwa Hapo kwa Muda mrefu je yey alifanya nn Cha maaananenda jimboni kwake bumbuli ndio utaelewa Kuwa huyu jamaa hafai hatakuwa mjumbe wanyumba kumi.
Miaka karibu ishirini hajajenga hata hatuamoja yalami ambavyo akienda kuwaomba ubunge anawaahidi kuwajengea lamí[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
February ni corrupt sana. Hana maana.Kampeni za mitataoni zinaendeshwa na genge moja linalotaka urais. Wanamuona January Makamba kama tishio. Hivyo wanataka kumdhoofisha kwa kuwaaminisha watu kuwa hafai. Na wengine wanafuata mkumbo bila kujua kilichoko nyuma ya hizo tuhuma.
January ni presidential material.
Ushahidi unaanzia hapa:January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
I wish I could be a president aisee wangepata tabu mno waziri unaonga Hadi v8 kwa mshahara upi lzm ningelala nae mbeleHayo mengine sijui ninachojua position alipo ni ya kuchota mahela,
Kazaa na Barbara former CEO wa Simba kamnunulia GXR 2023.
View attachment 2734259
Nilileta Uzi hapa kuhoji je Nani mwenye kalbar ya kimagufuli tumpe nchi 2025Haijalishi kuwa wewe ni Dogo, Braza au Dingi, au Kikongwe.... Cha msingi jua kuwa Mzee wa Chato alikuwa Rais bora, imagine miaka 5 tu, Bongo ilianza kutoka kwenye ubongonyoso, tukaanza kuingia kwenye ubongoraha... Tukaanza kuwa Recognized, Watalii wakaanza kutua, Miradi ikaanza kutembea, Serikali ikaamia Dodoma, Treni ya SGR na Bwawa la umeme likaanza kujengwa, Daraja refu Afrika mashariki pale mwanza, Meli kubwa ziwa Victoria, MV hapa kazi tu... Rushwa ilianza kupotea maana, mchizi wangu mmoja naye alikamatwa kwa rushwa, ata mwananchi wa kawaida akaanza kuheshimika... Yule mwamba apumzike tu... Ukipinga huu ukweli, wewe unatakiwa ukapimwe akili uenda akili zako ni moja kasoro robo
Makamba Jr hana tofauti na JK, na kwa taarifa za ndani baada ya Marope anayefuata na Riz.Nina wasiwasi makamba akiingia ikulu ataihamisha Tena serekali kwenda magogini
Mungu atatuleteaaa mtu tofauti na hayo majamaaMakamba Jr hana tofauti na JK, na kwa taarifa za ndani baada ya Marope anayefuata na Riz.
Tuendelee kunywa mtori
Sidhani kama Msoga watakubali yatokee kama ya 2015.Mungu atatuleteaaa mtu tofauti na hayo majamaa
Kaka mtoto wa nyoka ni nyoka tu...elewa neno nyoka"...kengine ni kwamba wizara zake babaaaa wizara babbaaaa anazoongoza....mbona watanzania bado tupo na ulembukeni hvi au unaona Ile baby face yake basiii!! Unaona fresh mwadilifu sio. Magufuli alimpumzisha aujui kwanin alifanya hivyo...sabuni kipnde 700 dawa ya mswaki ndogo buku na 200 mafuta juzi yamepanda Bei tukienda Kwa mabenk ndo usiseme...na maisha yetu ayapandi..Bora na hela ingekuwa tunapata kiurahisi basi ...yani Amna ata ajira za kudumu elimu yetu imesimama Amna kipya mashuleni sylabuss ya mzungu hehehehe sema Wacha tukae tu ..we are africansJanuary Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Ni mwizi. Hata mtoto mdogo anajuaJanuary Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Chuki dhidi ya Jan Makamba inathibitisha msemo "hasidi hana sababu".January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Singida
1. Ana uwezo mdogoJanuary Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.