Buji Buji huyo jamaa anakuja kufanya biashara USA, NENO LA MUNGU NI COVER tuu,Wakati fulani alikuja Stockhom Sweden akakusanya wabongo kibao kwa cover hiyo hiyo.Mwishowe akachukua contact mbali mbali na kumkaribisha mtu mmoja mmoja kujadili namna gani angeweza kumtumia katika biashara yake.:confused2:
umeona ehh
buji buji huyo jamaa anakuja kufanya biashara usa, neno la mungu ni cover tuu,wakati fulani alikuja stockhom sweden akakusanya wabongo kibao kwa cover hiyo hiyo.mwishowe akachukua contact mbali mbali na kumkaribisha mtu mmoja mmoja kujadili namna gani angeweza kumtumia katika biashara yake.:confused2:
He is an economist, maisha yake hayategemei safaka ndo maana humsikii anamfagilia muumini mwenye hela kama kina mama rwakatare. Ana ofisi (tasoet) na ameajiri watu na kuongeza ajira. Sasa kama ana opportunity ya kufanya biashara na wati wote wakanufaika, ama unataka aombe Mungu inyeshe mvua ya hela? At least sio omba omba wa sadaka.
ABEDNEGO ni mfuasi wa Mama Lwakatare
Bujibuji ufunguke wewe na ile namba ya TiGo ya mnigeria watakupa majibu.umeona ehh
umeacha maswali mengi humu ndani tunaomba uyajibuBujibuji ufunguke wewe na ile namba ya TiGo ya mnigeria watakupa majibu.
josephat
gwajima
wa
kawe.
Unahubiri DINI?
Mambo ya Mungu yanafaida na kuwahusu wale waaminio na kuelewa, kwa mtu asiyeamini halazimishwi.Buji Buji huyo jamaa anakuja kufanya biashara USA, NENO LA MUNGU NI COVER tuu,Wakati fulani alikuja Stockhom Sweden akakusanya wabongo kibao kwa cover hiyo hiyo.Mwishowe akachukua contact mbali mbali na kumkaribisha mtu mmoja mmoja kujadili namna gani angeweza kumtumia katika biashara yake.:confused2:
hivi ni nani anahubiri Mungu wa kweli?
Sio dini, NENO LA MUNGU ALIYE HAI.
MUNGU WA ISAKA, MUNGU WA YAKOBO, MUNGU WA ELISHA NA MUNGU WA ELIYA aliyemfufua Yesu Kristo kutoka kaburini.
hivi kakobe aliendaga wapi? Simsikii wala kumuona luningani these days.
ndio mungu wa Joe Davie pia ama?