Chris Lukosi akitema yai.....

Chris Lukosi akitema yai.....

daaah!! we jamaa kumbe unabebwa bebwa na dada ako huko ulipo?. Mnaishi na shemeji yako pamoja na sister wako?

wewe unataka ban kwa hyo unamaanisha shemeji akinyimwa na dada inakuaje sasa
 
hongera sana mkuu, tupo nyuma yenu ndugu zenu huku bongo, maisha ni popote, waache wabongo ni kawaida yao kusema sema sana , kazi sifuri...
 
Hivi watanzania waliopo nje ya nchi nao ni blah blah nyingiii na kulalamaaaaa.......
 
ukisema sana utaambiwa cdm!
sijui huwa akiongea anamwiga Nyerere!Maana Nyerere alikuwa akiongea anacheka lakini anaongea points,sasa huyu anacheka tu halafu hamna point kama anapiga soga vile
 
Naona nyani anatafutia watu ban hahhhhahhhhhhahhh
 
Mkuu na hapo nilipigwa majungu vibaya sana.

Nakumbuka kuna bosi wangu mmoja alikuwa anaitwa TWAHA wakati huo mkuu wa kituo nusu anitoe roho kwa sababu ya baiskeli tu..

I wish nitakutana nae siku moja mitaani nimkumbushe..
Kumbe lisemwalo lipo naona unakiri kidogokidogo ukifika na pale kwenye vvu useme ukweli pia
 
Inakuaje Chris Lukosi ni Mtanzania halafu anajibu maswali kwa Kiingereza? Huyu jamaa ni mshamba sana.
 
Ila ndoa za jinsia moja zimehalalishwa UK who knows mwaka unaweza usipite bure akapunguza ukali wa maisha!
 
Ni wapumbavu tu wanaoweza kucheka watu wenye ukimwi dunia ya leo.

Lakini sishangai kwa sababu wapumbavu nao ni sehemu ya idadi ya watu waliopo duniani...

kuna wimbo unasema
"waache waseme,mwisho watachoka,ngoma ya sikinde tunaiendeleza" maana binadamu hawaishi kusema na kikawaida ukifanya jambo kumridhisha binadamu kamwe huwezi kutimiza malengo yako
mkuu,songa mbele kama asemavyo Rose Mhando
 
Back
Top Bottom