Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,088
- 72,505
Inakuaje Chris Lukosi ni Mtanzania halafu anajibu maswali kwa Kiingereza? Huyu jamaa ni mshamba sana.
Kwan aliulizwa kwa kiswahilii?????
Inakuaje Chris Lukosi ni Mtanzania halafu anajibu maswali kwa Kiingereza? Huyu jamaa ni mshamba sana.
Utachafua hali ya hewa? Utajamba au....?
Virusi mbona ninavyo vingi tu jamaa yangu..Kumbe lisemwalo lipo naona unakiri kidogokidogo ukifika na pale kwenye vvu useme ukweli pia
Sasa wewe jamaa yangu nimeulizwa swali kiingereza ulitaka nijibu kihehe au?ana na UBIMWI, Ukosefu wa Bia Mwilini, ndio maana anaukana Utanzania kwa kuongea Eng. wakati kuna Kiswahili, ulimbukeni tu
Kweli mkuu karibu familia nyingi either zina mgonjwa au zimepoteza mtu kwa HIV. Hili si suala la kumcheka mtu au kumfanyia mizaha bora wangeendelea na mizaha ya kisiasa lkn si magonjwa kwani hakuna anaeomba ugonjwa tena cha kushangaza huenda wanaofanya mizaha hii ni wagonjwa au wana watu wenye vvu wa karibu nao. Huwa sipendi kabisa kumdhihaki mtu kwa magonjwa kwani si kitu chema magonjwa mengi huwapata watu out of there willNi wapumbavu tu wanaoweza kucheka watu wenye ukimwi dunia ya leo.
Lakini sishangai kwa sababu wapumbavu nao ni sehemu ya idadi ya watu waliopo duniani...
Wee mario tulia wewe..Lukosi hasara tupu
Mkuu za wabongo zipo, ila zipo kifesibuku zaidi..
Mkuu mbona niko kwenye dozi siku nyngi tu.
Hapana sitakiVirusi mbona ninavyo vingi tu jamaa yangu..
Unataka nikugawie au??
Haviepukiki kama wewe ni rijaliHapana sitaki
Basi bwana nimenyoosha mikono naona leo umekuwa mpole sana .ila pole kama kweli unao mboga mboga kwa wingi mdogo mdogo utavuta sikuHaviepukiki kama wewe ni rijali
Utajuaje kama mwenzako ni mzima? au utakuwa unatembea na maabara kila uendako?
Wee mario tulia wewe..
Mkuu mbona niko kwenye dozi siku nyngi tu.
Vipi wewe mepima?