Mkuu za wabongo zipo, ila zipo kifesibuku zaidi..
Angalia kuanzia dakika ya nane. Wabeba maboksi oyeeeeeee:usa2:
Halafu kumbe jamaa ni British-Tanzanian......teh teh teh
But why is he a foreigner in his own country? Au keshachukua uraia wa UK?
Yaani nimechoka kinoma mkuu,daaah!! we jamaa kumbe unabebwa bebwa na dada ako huko ulipo?. Mnaishi na shemeji yako pamoja na sister wako?
Yaani nimechoka kinoma mkuu,
Nisaidie basi walau niweze kurudi huko kuendeleza libeneke..
Kumbe ni mtu mzima kiumri? Huwa nadhania ni kijana aliye around 20's.
si alikuwa polisi wa kwanza Namanyere kumiliki baisikeli mpya ya Phoinex. LOL.
Kwani ana umri gani? Maana looks can be deceiving at times.....
Kijana jaribu kuwa na heshimaHe he he, sijui ila kwa kutumia kaboni 14 ya macho, naweza sema ni 35+
He he he, sijui ila kwa kutumia kaboni 14 ya macho, naweza sema ni 35+
Angalia kuanzia dakika ya nane. Wabeba maboksi oyeeeeeee:usa2:
Halafu kumbe jamaa ni British-Tanzanian......teh teh teh
But why is he a foreigner in his own country? Au keshachukua uraia wa UK?
Kijana jaribu kuwa na heshima
Mimi ni 52+
Kijana jaribu kuwa na heshima
Mimi ni 52+
Mkuu ngoma mbona ninayo kubwa tuuu?
kwangu ukimwi ni kama mafua tu..
Ni wapumbavu tu wanaoweza kucheka watu wenye ukimwi dunia ya leo.Mkuu Chris Lukosi kwa hili jibu ninakusifu sana. Ni waulize tu wale wanaopiga madongo watu wanaishi na VVU wao au ndugu zao hata wazazi na mababu na bibi zao wamepona? Kwa taarifa tu mtu anaishi na VVU for years na maisha anaweka sawa kabisa. Sasa wanaosema habari za VVU ngoja saratani iwapate tu halafu nione kama hata miaka mitatu wataishi. Watanzania tubadilike, tena tuwe na mawazo chanya. My aunt is living with VVU for the past 24 years, we love and support her from all angles of her life!!!! Chris utashangaa utaendesha biashara, you will reap billions if not trillions na wenye midomo yao watakuwa wanaipepesa mchana kutwa na watavuna watakachopanda. Keep it up!!! Maisha ni popote tu. Wala masuala ya Dual Citizenship yasiwanyime usingizi. Ningepata tu nafasi ya kuja huko miaka hiyo huku nisingerudi tena kamwe.
mkuu shida yangu ni kuujua wivu wa kike ukoje na wa kiume ukoje. nisaidie tafadhali.Wivu mwingine wa kike sana. Inashangaza sasa wanaume wa tanzania wamekuwa wambea na tabia zote za kike. Mtu anatafuta maisha anahitaji support na kumtia moyo. Nyinyi mbona kazi zenu hamsemi? Au mlitaka akae ndani acheze kidali poo na mamazenu.
Ni wapumbavu tu wanaoweza kucheka watu wenye ukimwi dunia ya leo.
Lakini sishangai kwa sababu wapumbavu nao ni sehemu ya idadi ya watu waliopo duniani...