Kwamaana hiyo Muhongo na Tibaijuka ni mafisadi ila bado mnawaamini kwa kuwa ni marafiki zenu?alijiuzulu uwaziri mkuu kwa sababu ya ufisadi wa richmond...huo ni ushahidi tosha
Kwamaana hiyo Muhongo na Tibaijuka ni mafisadi ila bado mnawaamini kwa kuwa ni marafiki zenu?alijiuzulu uwaziri mkuu kwa sababu ya ufisadi wa richmond...huo ni ushahidi tosha
Je sheria ya kumtumbua mtu hadharani imo kwenye sheria ipi ya kazi weka kifungu hapaSasa naanza kujua kwa nini , kama chama hamkujiushisha kuhakikisha Wenje anarudi bungeni! Mwanzisha mada hamkuridhishwa na maelezo ya Wenje juu ya Kabwe na ufisadi. Mmenishangaza sana!!!
alijiuzulu uwaziri mkuu kwa sababu ya ufisadi wa richmond...huo ni ushahidi tosha
muulize Dr Slaa na Tundu lissu walioandika list of shame watakupa majibu yote unayoyataka.. tusiandikie maji na wino upo. na ukitaka habari zaidi muulize Kubenea akupe magazeti yake ya Mwanahalisi ya miaka hiyo usome makala za ufisadi nchiniUmesahau kuwa tatizo lilikua ni uwaziri mkuu ile report mbona ilisomwa nusu iliachwa kwa maslai ya nani? Je ni wapi ilisema Lowassa kachukua hela? Wacha mizuka
Je sheria iliyomwajibisha mbele ya watu ndio sheria ipi na ipo chini ya kifungu kipiMkuu usifukue makaburi, Kabwe kafanya kazi yake amemaliza kazi yake duniani.
Hata hivyo conveniently huongelei sakata lililomtoa kafara mzee huyu.
Ni Ubungo.
Mbona huongele suala la tozo kwa basi moja linalolipiwa shs 8,000 lakini Jiji linalipwa nusu yake yaani shs 4,000, suala lililoibuliwa na Makonda.
Mnaweza kumlaumu Makonda kwa kutokuwa na uzoefu, lakini wizi wa wazi namna hiyo usio na maelezo ,kuuelezea kivingine ni unafiki.
Kwa hili Makonda si mnafiki.
Usiturudishe nyuma nimeshawajibu wamatopeni wenzako waulize watakwambia nawamekimbia threadmuulize Dr Slaa na Tundu lissu walioandika list of shame watakupa majibu yote unayoyataka.. tusiandikie maji na wino upo
Na wewe umetumbuliwa mkuluAsie kujua hakuthamini
R.I.P. Brother Kabwe.
Kazi uliyotumwa umeimaliza.
Wahanga tupo wengi, si wewe peke yako.
Alipoiba aliiba kwa mamlaka ya sheria ipi iliyompa madraka hayo?Je sheria iliyomwajibisha mbele ya watu ndio sheria ipi na ipo chini ya kifungu kipi
Udhibitisho kua alikua ameiba ni ipi?Alipoiba aliiba kwa mamlaka ya sheria ipi iliyompa madraka hayo?
majibu yalitokaje ?kupitia vyombo vya dola au. acha majibu rahisi rahisi kwa maswala magumuUsiturudishe nyuma nimeshawajibu wamatopeni wenzako waulize watakwambia nawamekimbia thread
Wacha kua kioja baada yakushindwa kujibu hoja rudi nyuma nimeshawajibu vilambalamba wenzako... jibu hoja sheria ya Ajira inasemaje kuhusu utumbuaji wacha kurukaruka kama maharage yaliyokosa moto uliokoleamajibu yalitokaje ?kupitia vyombo vya dola au. acha majibu rahisi rahisi kwa maswala magumu
Jibu swali chadema walimsimamisha kazi
Ile move wewe ulionaje?Kwani Makonda alimsimamisha????
Kwahiyo wako kwa numberNasikia anayefuatia sasahivi ni mwenyekiti wa kuvuruga uchaguzi chwaka.
Kwa staili ya Rais John Magufuli, bila kufanya utafiti alikubaliana na Makonda na kuamua kumsimamisha kazi Kabwe kwa tuhuma za kumdhalilisha, tena mbele ya umma.
Zijibu kama ni dhaifu usizunguke mbuyuHoja dhaifu sana zilizotajwa kwenye huu uzi
Mimi nataka kujua sheria za ajira zilifuatwa kwenye kumsimamisha?Wadanganye wasiomjua Kabwe. Kaiba Mwanza tena mchana kweupeeeeeee. Mnapoteza muda wenu. Makonda ni genuis. Na Mungu aendelee kuwa nae