Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,041
- 2,417
Kula like ya maandishi mkuu.... na ndo maana JPM peke yake hataweza vunja huu mfumo ulio zoeleka na ambao ni rafiki kwa walio mzunguka, anahitaji sauti ya malaika kuweza pata ufunguo wa fumbo hili..... tatizo ni ccm kuliko mtu mmojaHivi huyu Kabwe hilo jiji la Mwanza alikuwa analiongoza peke yake kiasi ambacho kwenye clinic yupo, viwanja yupo, ferry za samaki yupo....
Hakuwa na wasaidizi? Hakuwa na wanasheria? Hakuwa na Baraza la madiwani? Hakukuwa na RC? haukuwa na maafisa ardhi?
Hivi ni kwa nini tusiseme na kukubaliana kuwa matatizo haya ni zaidi ya kumshambulia mtu mmoja
mmoja tu?
Haiwezekani kamwe na milele haya mambo yafanywe na mtu mmoja kama siyo special organized system!!
Kabwe ni muhanga tu.....tusipumbazane hapa. Ni sawa na Richmond vs Lowassa mwaka 2008, huyu mzee alikuwa ni muhanga tu!
The problem is bigger than we think and it goes beyond one person!!
mmoja.....