Hizi siasa zingine za kipuuzi sasa, hivi Makonda amekosea wapi?
Mwanahabarihuru unngekuja hapa kupangua tuhuma zilizomng'oa na sio kuleta blah blah. Mtu mzima unapaswa kujiheshimu na uweke akiba ya maneno. Kuchaguliwa na marais wawili sio kigezo cha uadilifu. Labda una yako.
Kwa taarifa yako, kama kuna mtu nilikuwa simpendi basi ni Paul Makonda, lakini kama mtu anapiga bize kuna nini cha kunikataza kumwangushia mahaba? Muacheni Makonda asafishe jiji, huo sio upinzani, ni upuuzi. Eti mtu alambe 8000 aandike 4000 halafu wewe uje na ngonjera hapa