hakujiuzulu kwa sababu ye ndio alikuwa mpigaji wa hilo dili100% kwa kupewa maagizo na mkulu wake. Kama ni mawazo yangu nitalaumu au kujiuliza tu kuwa, kwa nini Lowasa hakujiuzulu alipoona mashinikizo yanazidi? Yaani naona angekataa na hata na iende mbali zaidi kujiuzulu kwa shinikizo hilo