Chozi la Kabwe kwa Makonda limekoma

Chozi la Kabwe kwa Makonda limekoma

Mkuu ufisadi wa Lowassa kamuulize Mnyika maana alijitanabaisha kuwa anaushahidi. Hata Lissu kamulize kama unamwogopa Mnyika maana Dkt. Slaa ndo kabisaaaa najua huwezi kumgusa. Pia kuhusu W. Kabwe kama ni alikuwa fisadi au la kamulizeni Wenji kwani aliwahi kumtuhumu bungeni kwamba W. Kabwe akiwa Mkurugenzi wa jiji la Mwanza alifanya ufisadi wa kutosha.
Naona mnataka kutotoa nje ya mada kwa faida ya mizuka wenzako ngoja nikujibu tu.. mnajua ccm mliaminisha umma wa Watanzania Lowassa ni fisadi bila kuwa na ushaidi kisa kikiwa ni uwaziri mkuu? Mbaya zaidi Watanzania wameshajua chuya na mchele ni upi usani na ukweli ni upi 2020 siyo mbali
 
alijiuzulu uwaziri mkuu kwa sababu ya ufisadi wa richmond...huo ni ushahidi tosha

ImageUploadedByJamiiForums1464513951.452125.jpg
 
Nasikia marehem alioa nyumba moja na mkulu mmoja... ya kweli hii?... kama ni kweli labda ni nepotism na sio utendaj ilio muweka pale... ila mimi simjui vizuri mkuu am just thinking louder....
 
Ngoja nipite tu maana siwezi kumuongelea mtu aliyepumzika milele, ila ni vizuri ripoti ya ufisadi wake itolewe hadharani ili kama ni ukweli au uongo ujulikane
 
Nasikia marehem alioa nyumba moja na mkulu mmoja... ya kweli hii?... kama ni kweli labda ni nepotism na sio utendaj ilio muweka pale... ila mimi simjui vizuri mkuu am just thinking louder....
Je utendaji wake ulikuaje alistahili kufanyiwa aliyofanyiwa?
 
Hili la kabwe kuwa fisadi mkubwa si lakubishania. Nenda mwanza uambiwe nini ufisadi wa Kabwe. Luchelele jirani kabisa na Saint Augustine University alifanya nini juu ya viwanja vile, uwekezaji mkubwa alioufanya Luchelele mabilioni hayo aliyatoa wapi? Zawadi aloitoa kwa kiongozi mmoja mkubwa wa Taifa hili, zawadi ilitoka pembezoni mwa ziwa Victoria kifisadi kabisa watu wa mwanza wanajua, aliitoa wapi pesa hiyo? Sio hapo tu, iliyokua clinic ya makongoro ambayo ilikua ikitoa Huduma kwa akina mama na watoto takribani mwanza yote, iko wapi sasa kama sio jitihada zakifisadi za kabwe, tusiwe wanafiki, tuongee ukweli.Kabwe alikua fisadi mkubwa tens mwenye kiburi. Kama kuna mwana JF mwenye mchango was Wenje unaohusu ufisadi wakabwe atuwekee hapa tafadhari.
 
Hili la kabwe kuwa fisadi mkubwa si lakubishania. Nenda mwanza uambiwe nini ufisadi was Kabwe. Luchelele jirani kabisa na Saint Augustine University alifanya mini juu ya viwanja vile, uwekezaji mkubwa alioufanya Luchelele mabiluoni hayo aliyatoa wapi? Zawadi aloitoa kwa kiongozi mmoja mkubwa wa Taifa hili, zawadi ilutoka pembezoni mwa ziwa Victoria watu wa mwanza wanajua, aliitoa wapi pesa hiyo? So hapo tu, iliyokua clinic ya makongoro iliyokua ikitoa Huduma kwa akina mama na watoto takribani mwanza yote, iko wapi sasa kama so jitihada za kabwe, tusiwe wanafiki, tuongee ukweli.
Alipelekwa Mahakamani? TAKOKURU WALIMCHUNGUZA?
 
alijiuzulu uwaziri mkuu kwa sababu ya ufisadi wa richmond...huo ni ushahidi tosha


Kagasheki alipojiuzulu katika operation kimbuka naona nae alihusika kubaka,kupiga watu,kuchoma vijiji na kupora mali za raia. Kujiuzulu ni moja ya kuwajibika kwa walichokosea wajuu yako au wa chini yako ndo mana serikali nyingi za kiafrika kujiuzulu inakuwa inshu pindi watu wengine wanapoharibu kazi kuhofia mawazo kama yako hayo kwamba wataonekana wahusika wa moja kwa moja mfano wazir alijuzulu korea kusin kivuko kilipozama je alikiwa nahodha yule wazir? Amka ww.
 
Mkataba wa bilioni 3 ukasababisha huyu mzee kusimamishwa kazi ktk mazingira ya kufedhehesha wakati kuna mikataba ya kifisadi ya kutisha ya mabilioni inayohusisha watumishi wa umma pia mtumbua maji kanywea kawa mdogo km piritoni ;

1. Lugumi 39bn watu wake wanapeta hadi leo

2. Tegeta/Escrow account over 300bn

3. EPA over 130bn

4. Meremeta,

5. Kagoda

6. Nyumba za serikali

7. Kivuko cha magogoni/Bagamoyo

8. Fedha za Radar na mengine kibao tu!!

Jibu ni moja tu.

Hakuna dhamira ya dhati bali ni usanii uleule kutoka kwa watu walewale. Yaani jamaa wanajifanya kupambana na uchafu lakini ukweli ni kuwa wanapumbaza watu na kusafisha njia za wao kuiba na kuitafuna nchi hii zaidi na zaidi!!

Zaidi sana ni visasi tu.

Na kwa mtindo huu Tanzania hii kamwe haiwezi kwenda mbele kwa viongozi wasanii na wanafiki kama hawa wanaotenda kwa visasi kama hawa kwa kivuli cha dhamira ya kuwaletea watanzania maendeleo!!
 
Mkataba wa bilioni 3 ukasababisha huyu mzee kusimamishwa kazi ktk mazingira ya kufedhehesha wakati kuna mikataba ya kifisadi ya kutisha ya mabilioni inayohusisha watumishi wa umma pia mtumbua maji kanywea kawa mdogo km piritoni ;

1. Lugumi 39bn watu wake wanapeta hadi leo

2. Tegeta/Escrow account over 300bn

3. EPA over 130bn

4. Meremeta,

5. Kagoda

6. Nyumba za serikali

7. Kivuko cha magogoni/Bagamoyo

8. Fedha za Radar na mengine kibao tu!!

Jibu ni moja tu. Hakuna dhamira ya dhati bali ni usanii uleule kutoka kwa watu walewale. Zaidi sana ni visasi tu.

Na kwa mtindo huu Tanzania hii kamwe haiwezi kwenda mbele kwa viongozi wasanii na wanafiki kama hawa wanaotenda kwa visasi kama hawa kwa kivuli cha dhamira ya kuwaletea watanzania maendeleo!!
Asante sana Mkuu
 
Back
Top Bottom