johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,151
- 142,244
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongolo amesema mchakato wa kuwashughulikia kinidhamu viongozi wa CCM wanaopinga chanjo kinyume na maelekezo ya chama umeshaanza na karibu utakamilika.
Mtasikia hivi karibuni hatua tulizowachukulia amesema Chongolo.
Chanzo: Channel ten
Mtasikia hivi karibuni hatua tulizowachukulia amesema Chongolo.
Chanzo: Channel ten