Asante CCM
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 346
- 1,301
"....CCM inawategemea ninyi vijana kukisemea na kuwalinda viongozi wake pasipo kubagua . Mkisimama kwenye msingi huo daima mtaendelea kufaidi fursa zaidi na zaidi."
"....kaweni viongozi wa watu na siyo kuwa viongozi wa kiongozi. Wengi wenu mnatumika na hao wanaokuja CCM na ndoto zao za kuwa viongozi na hapo ndipo mnapofeli kwa sababu huyo unayemtegemea akiondoka na wewe ndiyo mwisho wako."
"HUWEZI KUJA NA NDOTO ZAKO HAPA CCM UNATAKA UWE KIONGOZI NA UKAFANIKIWA. WOTE WALIOKUJA NA NDOTO ZAO HAPA WALIDONDOKA NA HISTORIA INATAMBUA HILO."
SG Chongolo.
"....kaweni viongozi wa watu na siyo kuwa viongozi wa kiongozi. Wengi wenu mnatumika na hao wanaokuja CCM na ndoto zao za kuwa viongozi na hapo ndipo mnapofeli kwa sababu huyo unayemtegemea akiondoka na wewe ndiyo mwisho wako."
"HUWEZI KUJA NA NDOTO ZAKO HAPA CCM UNATAKA UWE KIONGOZI NA UKAFANIKIWA. WOTE WALIOKUJA NA NDOTO ZAO HAPA WALIDONDOKA NA HISTORIA INATAMBUA HILO."
SG Chongolo.