crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,130
- 721
.....akaangalia chini halafu akawa kama anaandika kwa kidole akasema" Asiyekuwa na dhambi awe wa kwanza kurusha jiwe" Wakasemezana mioyoni mwao ,wakaanza kuondoka mmoja mmoja vijana kwa wazee. Akasema wako wapi waliokushitaki? Nami sikuhukumu, enenda zako usitende dhambi tena.