Chonde chonde chama changu CHADEMA

Chonde chonde chama changu CHADEMA

Mwaka wa nguvu ya umma, nyie watu wa Dar ni vilaza sana na ndio mnachelwesha maendeleo na mabadiliko ya nchi hii... Ngojeni kamanda wa ardhi LEMA awaonyeshe santuri za kucheza na hao watototo wa Said Mwema!!!
 
kaka ben huwezi fananisha ujerumani na tanzania kumbuka kule kulikuwa na utawala dhalimu,,,, mandela alipambana na wakoloni sasa sisi tuko huru tunajitawala wenyewe unajua kuruhusu maandamano hovyo inaweza kutokea ya misri nchi yetu ni changa sana kubeba madhila hayo ni bora tuone mbali bora ungefanyika mkutano bila maandamano
Miaka hamsini ya uhuru wewe bado unasema sisi ni nchi changa????na RWANDA utawaelezaje???tambua kuwa mabadiliko ya kuelekea kwenye ubora wa maisha yana gharama zake hasa kwa tawala kandamizi,uhuru unaosema wewe ni huo wa kutembea popote ilimradi huvunji sheria???kutobughuziwa mtaani kwako,kwenda kibaruani kwako na kurejea nyumbani bila adha???UHURU NI ZAIDI YA HAYO.Kama sio CDM kufichua mambo ya ufisadi mkubwa wa EPA wewe ungeyajulia wapi japo serikali kabla ya hapo iliyakanusha kwa nguvu zote???iwe ni kwa maandamano na mkutano wa hadhara twende temeke uwoga hautakusaidia wewe wala kizazi kijacho.Bunge haliwezi kuendeshwa kama mtu yuko kwenye familia yake.
 
tumeambiwa ni maandamano ya kuwapokea wabunge wetu toka dodoma

Unaweza kuwaambia watu hapa, sheria ipi ya nchi au kifungu kipi cha katiba kinavunjwa kwenye mapokezi ya kesho kuwapokea wabunge wa upinzani.
 
Mwaka wa nguvu ya umma, nyie watu wa Dar ni vilaza sana na ndio mnachelwesha maendeleo na mabadiliko ya nchi hii... Ngojeni kamanda wa ardhi LEMA awaonyeshe santuri za kucheza na hao watototo wa Said Mwema!!!
hahaha tofauti yangu mi na wewe ni kwamba wewe umeshajikinai
 
Unaweza kuwaambia watu hapa, sheria ipi ya nchi au kifungu kipi cha katiba kinavunjwa kwenye mapokezi ya kesho kuwapokea wabunge wa upinzani.
mkuu hakivunjwi kifungu chochote tatizo ni hofu juu ya hayo maandamano huenda yakazua vurugu:majani7:
 
Wabunge wa chadema kuweni makini na mbatia huyo atawaharibia huyo anatetea ccm tu mjue,kusema kwamba shuleni hakuna mitaala ya kueundishia hata mmoja ni ujinga mana angeenda shule yoyote angepata angesema michache hapo anatengeneza kitu kuonyesha wapinzani waongo wakati yeye ndo muongo,hatar huyo ni janja ya ccm hyo.takecare.

Hebu nipe maana ya mtaala/mitaala halafu tuendelee.
 
Miaka hamsini ya uhuru wewe bado unasema sisi ni nchi changa????na RWANDA utawaelezaje???tambua kuwa mabadiliko ya kuelekea kwenye ubora wa maisha yana gharama zake hasa kwa tawala kandamizi,uhuru unaosema wewe ni huo wa kutembea popote ilimradi huvunji sheria???kutobughuziwa mtaani kwako,kwenda kibaruani kwako na kurejea nyumbani bila adha???UHURU NI ZAIDI YA HAYO.Kama sio CDM kufichua mambo ya ufisadi mkubwa wa EPA wewe ungeyajulia wapi japo serikali kabla ya hapo iliyakanusha kwa nguvu zote???iwe ni kwa maandamano na mkutano wa hadhara twende temeke uwoga hautakusaidia wewe wala kizazi kijacho.Bunge haliwezi kuendeshwa kama mtu yuko kwenye familia yake.
sasa maandamanop yatabadilisha mwelekeo wa bunge???
 
Hebu nipe maana ya mtaala/mitaala halafu tuendelee.
mtaala is organized rules that govern the provision of education and what should be covered inside or outside the school
 
Na TANU ingesema "hata biblia inatuagiza" tungekuwa wapi?

Asante kiranga,watu wameegemea nguzo wasiyojua uimara wake,tunaishi kwa kudhani,na kuamini visivyoaminika,tunaishi kwa kutegemea miujiza.
 
mkuu tulitangaziwa maandamano

Hata nzi wala sisimizi hatakufa!Ni dhahiri ukipitia historia zote,utawala wowote wenye udhalimu daima hutumia nguvu kuwahadaa na kuwadanganya wananchi na wapigania haki kwa lengo la kujisafisha na kuendelea kutawala!Tukiogopa hilo wataendelea kutunyonya ilhali tutaendelea kuteseka katika umasikini wakati tumejaliwa rasilimali nyingi na utajiri wa kutosha!Ni haki ya kila mtanzania kuandamana kwa amani!Kuzuia hilo ni kumnyima mwananchi haki yake ya kidemokrasia na kikatiba.CHADEMA wako sahihi kabisa.
 
Hata nzi wala sisimizi hatakufa!Ni dhahiri ukipitia historia zote,utawala wowote wenye udhalimu daima hutumia nguvu kuwahadaa na kuwadanganya wananchi na wapigania haki kwa lengo la kujisafisha na kuendelea kutawala!Tukiogopa hilo wataendelea kutunyonya ilhali tutaendelea kuteseka katika umasikini wakati tumejaliwa rasilimali nyingi na utajiri wa kutosha!Ni haki ya kila mtanzania kuandamana kwa amani!Kuzuia hilo ni kumnyima mwananchi haki yake ya kidemokrasia na kikatiba.CHADEMA wako sahihi kabisa.
haya tunayoshabikia siku moja yatatutokea puani
 
mkuu hakivunjwi kifungu chochote tatizo ni hofu juu ya hayo maandamano huenda yakazua vurugu:majani7:

Mkuu kumbe unapiga ramli? Mi nilikuomba awali jambo dogo sana, lakini unakimbia kimbia tu, tutajie mapokezi yapi au basi maandamano yaliyowahi kuibua vurugu! Yaani watu wasitimize haki na wajibu wao wa kikatiba kwa sababu ya hofu za kutengenezwa na CCM wakiwatumia polisi.
 
Mkuu kumbe unapiga ramli? Mi nilikuomba awali jambo dogo sana, lakini unakimbia kimbia tu, tutajie mapokezi yapi au basi maandamano yaliyowahi kuibua vurugu! Yaani watu wasitimize haki na wajibu wao wa kikatiba kwa sababu ya hofu za kutengenezwa na CCM wakiwatumia polisi.
umesahau?? morogoro,, arusha nk. halafu kinachotia hofu ni lengo kuu lililobeba hayo maandamano
 
haya tunayoshabikia siku moja yatatutokea puani

Tufanyeje mkuu,we umeridhia na kukubaliana wanayofanya CCM?Umeridhia kabisa kilichofanyika bungeni?Hatima ya mwananchi iko wapi wakati mawazo yao yanazuiwa?Wapi utashitaki serikali kama siyo kwa wananchi!?Take it easy boy!You will see it tommorow!They can do what ever they want but God is in our side.
 
Asante kiranga,watu wameegemea nguzo wasiyojua uimara wake,tunaishi kwa kudhani,na kuamini visivyoaminika,tunaishi kwa kutegemea miujiza.
hivi tunapigania uhuru au?? wenzetu mbona mnatuchanganya uhuru si tulipata 1961 uhuru wa pili niujuao ni ule wa yesu atakaoleta kutukomboa na madhila ya yule mwovu
 
Tufanyeje mkuu,we umeridhia na kukubaliana wanayofanya CCM?Umeridhia kabisa kilichofanyika bungeni?Hatima ya mwananchi iko wapi wakati mawazo yao yanazuiwa?Wapi utashitaki serikali kama siyo kwa wananchi!?Take it easy boy!You will see it tommorow!They can do what ever they want but God is in our side.
haya kila la heri
 
By mwungwana<br />
mkuu tulitangaziwa maandamano
<br />
<br />
Hata nzi wala sisimizi hatakufa!Ni dhahiri ukipitia historia zote,utawala wowote wenye udhalimu daima hutumia nguvu kuwahadaa na kuwadanganya wananchi na wapigania haki kwa lengo la kujisafisha na kuendelea kutawala!Tukiogopa hilo wataendelea kutunyonya ilhali tutaendelea kuteseka katika umasikini wakati tumejaliwa rasilimali nyingi na utajiri wa kutosha!Ni haki ya kila mtanzania kuandamana kwa amani!Kuzuia hilo ni kumnyima mwananchi haki yake ya kidemokrasia na kikatiba.CHADEMA wako sahihi kabisa.
Andamaneni muone Afande Kova tayarisha risasi za kutosha atakae katiza mlaze chini hao mambululu wasituletee fujo katika nchi yetu ya amani.
Halafu nyie chama cha mapadri na wachungaji walioasi kondoo wa bwana "Chadema" ingalikua maandamano haya yalipangwa na waislam mungalisikia hapa jinsi wanavyotukanwa,sasa namuomba huyo kibabu chenu aka padri muasi na dj mpiga disko waongoze maandamano
 
Back
Top Bottom