Chonde chonde chama changu CHADEMA

Chonde chonde chama changu CHADEMA

Andamaneni muone Afande Kova tayarisha risasi za kutosha atakae katiza mlaze chini hao mambululu wasituletee fujo katika nchi yetu ya amani.
Halafu nyie chama cha mapadri na wachungaji walioasi kondoo wa bwana "Chadema" ingalikua maandamano haya yalipangwa na waislam mungalisikia hapa jinsi wanavyotukanwa,sasa namuomba huyo kibabu chenu aka padri muasi na dj mpiga disko waongoze maandamano
we HATUTAKI stori zako za UDINI hapa majini yako peleka baharini tunaongelea vyama hatuko kidini sie katika suala hilo niko serious sitaki kabisa tupishe sawa usitugawe
 
kaka ben huwezi fananisha ujerumani na tanzania kumbuka kule kulikuwa na utawala dhalimu,,,, mandela alipambana na wakoloni sasa sisi tuko huru tunajitawala wenyewe unajua kuruhusu maandamano hovyo inaweza kutokea ya misri nchi yetu ni changa sana kubeba madhila hayo ni bora tuone mbali bora ungefanyika mkutano bila maandamano

MKUU labda nisaidie maana ya neno maandamano
 
Hiyo post yenyewe imekaa kama kishabiki sana na kitoto sana hivyo ni bora sana kuona kufanya maandamano bila kukoma na kuona watu wote wanashiriki pia
 
By

Tutaumiza wanachama wetu bure chonde chonde jamani AMANI NI KITU CHA THAMANI KUBWA HAIPATIKANI KWA BEI RAHIS



nimeipenda hii
Nimwupenda unafiki wako pia!!ni kama kinyago cha mmasai kwenye jumba la makumbusho,unapompenda adui yako!!!think twice
 
Andamaneni muone Afande Kova tayarisha risasi za kutosha atakae katiza mlaze chini hao mambululu wasituletee fujo katika nchi yetu ya amani.
Halafu nyie chama cha mapadri na wachungaji walioasi kondoo wa bwana "Chadema" ingalikua maandamano haya yalipangwa na waislam mungalisikia hapa jinsi wanavyotukanwa,sasa namuomba huyo kibabu chenu aka padri muasi na dj mpiga disko waongoze maandamano
Udini umetoka wapi tena mkuu?Nia ni kuwaeleza wananchi wanavyonyimwa haki zao kupitia wawakilishi wao bungeni!Kova anatakiwa kutoa ushirikiano wa ulinzi na siyo kujaza mabomu na risasi kwa ajili ya waandamanaji!Polisi wapo kwa ajili ya ulinzi wa raia na siyo kujaza risasi na mabomu kwa ajili ya kuua raia!He can do what ever he want but he will end the normal natural end(death) like others!Auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga.
 
Mnakuja kuleta msongamano wa magari tu na maandamano yenu ya kipuuzi. Huruma za wanadar hamtakuja kuzipata. Tafuteni mbinu zingine.
 
hahaha tofauti yangu mi na wewe ni kwamba wewe umeshajikinai

Lione linavyocheka wakati linaelewa uongozi mgando unavyomkandamiza... Utakua wa mwisho kuelewa... Wacha tuwaoneshe wengine jinsi ya kudai haki ....
 
Andamaneni muone Afande Kova tayarisha risasi za kutosha atakae katiza mlaze chini hao mambululu wasituletee fujo katika nchi yetu ya amani.
Halafu nyie chama cha mapadri na wachungaji walioasi kondoo wa bwana "Chadema" ingalikua maandamano haya yalipangwa na waislam mungalisikia hapa jinsi wanavyotukanwa,sasa namuomba huyo kibabu chenu aka padri muasi na dj mpiga disko waongoze maandamano

Uoga ndio kaburi lako..... Udini haukusaidii lolote!!! Babako ndo DJ
 
Mnakuja kuleta msongamano wa magari tu na maandamano yenu ya kipuuzi. Huruma za wanadar hamtakuja kuzipata. Tafuteni mbinu zingine.

Kesho ni siku ya jumapili huo msongamano utatokea wapi??? ----!!!!
 
umesahau?? morogoro,, arusha nk. halafu kinachotia hofu ni lengo kuu lililobeba hayo maandamano

We jamaa husaidiki, kesho sali siku nzima basi ili kuepusha hizo vurugu unazoziwaza!!! Lazima kuwe na lengo la kuandamana
 
Wandugu nawaomba viongozi na wanachama wote wa CHADEMA kuachana na suala la maandamano ya DSM nawashauri watii mamlaka zilizopo hata biblia inatuagiza.

Tutaumiza wanachama wetu bure chonde chonde jamani AMANI NI KITU CHA THAMANI KUBWA HAIPATIKANI KWA BEI RAHISI

Usi nukuu vifungu usivyo vijua unajua kuwa hata shetani ni mamlaka,Hivyo shetani akikwambia mtukane Mungu utamtii?
 
Lione linavyocheka wakati linaelewa uongozi mgando unavyomkandamiza... Utakua wa mwisho kuelewa... Wacha tuwaoneshe wengine jinsi ya kudai haki ....
wewe unapiga domo tu huna ubavu wa kusogelea kitu chenye ncha kali
 
Nadhani umeongea kinyume mkuu, kwa sababu wenye hofu ni watawala(CCM) walioko madarakani hivi sasa, na hofu yao kubwa ni kunyang'anywa mamlaka, kwa kuwa hawana uhakika juu usalama wa maisha yao pindi watakapokuwa wamenyang'anya mamlaka.

Wanaojirundikia mali ni CCM ndio maana wamekwenda kuzificha Uswiz wengine wanasema ni vijisenti, wameuza wanyama wetu, madini yetu na sasa wanaitaka gesi yetu.

Marejesho wanayotuletea wananchi ni NETI na CONDOM

Dr Slaa hana hofu wala woga wa aina yoyote ndani ya moyo wake, alishasema amewahi kutishiwa uhai mara 3 ya uhakika ila hajatetereka na bado anaendelea na mapambano.

sentesi za mwanzo nilikua nacrush huyo jamaa na tabia ya kutuwekea vifungu vya kidini katika siasa.
Kusema wokovu wa kislaa ni fake nina maana hata hao kina slaa wakikamata madaraka watafanya madudu hayohayo tena kwakuwa wawe wataingia wakiwa masikini hadi wakawe matajiri na wawe na mamilioni uswisi ndo waanze kuwajali wananchi sio leo.
Nchi za kiafrika kama kenya,zambia,malawi walishavitoa vyama tawala kwa ahadi ya kubadili hali za wananchi hadi leo hakuna mabadiliko yeyote,huo ndio uwokovu fake.
Kama leo hii mgombea urais mtarajiwa wa cdm anaweza kujikopesha mamilioni ya pesa za chama kinyemele,vipi akikamata madaraka?
 
By

mbona nanyi hamuumii polisi kuuwawa???????

Ishara nyingine kuwa wewe ni m ccm.
 
Back
Top Bottom