Poa nipo kariakoo na nunua helmet ya mama watoto wako na yangu
Umefanikiwa kuzipata hizo helmet?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Poa nipo kariakoo na nunua helmet ya mama watoto wako na yangu
Ndio nimesha mpelekea mama toto wako ukirudi home utaikuta kesho naomba umruhusu mapema mkuuUmefanikiwa kuzipata hizo helmet?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ni mustakbali wa kina mangi sio taifa.Mlioko Dar msituangushe..haya maandamano ni mhimu kwa mstakabali wa taifa letu..hakuna kurudi nyuma.!
Ni mustakbali wa kina mangi sio taifa.
Ndio nimesha mpelekea mama toto wako ukirudi home utaikuta kesho naomba umruhusu mapema mkuu
Wandugu nawaomba viongozi na wanachama wote wa CHADEMA kuachana na suala la maandamano ya DSM nawashauri watii mamlaka zilizopo hata biblia inatuagiza.
Tutaumiza wanachama wetu bure chonde chonde jamani AMANI NI KITU CHA THAMANI KUBWA HAIPATIKANI KWA BEI RAHISI
ndugu yangu waache tu nakumbuka lecturer wangu wa ds aliniambia wanaoandamana daima ni wale wasiokuwa na cha kupoteza
Wandugu nawaomba viongozi na wanachama wote wa CHADEMA kuachana na suala la maandamano ya DSM nawashauri watii mamlaka zilizopo hata biblia inatuagiza.
Tutaumiza wanachama wetu bure chonde chonde jamani AMANI NI KITU CHA THAMANI KUBWA HAIPATIKANI KWA BEI RAHISI
sasa si mmesharuhusiwa maandamano yenu endeleeni kwa uzuriAMANI NI KITU CHA THAMANI KUBWA HAIPATIKANI KWA BEI RAHISI sawa tatizo ni nini? Kwanini wanazuiwa kuandamana wakati ni haki yao,Hiyo amani iwe na thamni kwa upinzani tu lakini kwa ccm hamna tatizo polisi watawalinda hadi mwisho sio?
Je polisi ni kwa ajili ya kulinda usalama au kwa ajili ya kuua upinzani?