Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,278
- 4,683
Nyie payukeni mtakavyo na mpendavyo. Kipigo mlichokipata hamtasahauHawaendi kushirikiana na kundi la wamwaga damu. Walikuwepo kwenye hilo bunge kibogoyo hata miaka mitano iliyopita, kipi kilibadilika?