Wabunge 19 wa CHADEMA wagoma kuipigia kura ya ndio bajeti

Bajeti ni nzuri na inapita bila shida yoyote.
Halima mdee ni mkombozi na shujaa ambae JMT haitakuja kumsahau
 
Upigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa Chadema na ACT wakisema hawana maamuzi

Najiuliza ni kwa nini hawaonyeshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?
Bajeti ni ya serikali au ya chama?
 
Upigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa Chadema na ACT wakisema hawana maamuzi

Najiuliza ni kwa nini hawaonyeshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?
Kweli tupu wanatakiwa kuishukuru CCM kwa maovu yao
 
Upigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa Chadema na ACT wakisema hawana maamuzi

Najiuliza ni kwa nini hawaonyeshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?
Hapo ndiyo ujue kuwa hao wabunge wa Chadema, weshaona kuwa wenzao wa CCM, weshawatosa!

Kwa hiyo nao wameamua kuwapa mkono wa bye-bye, kwa kusema kuwa bajeti yao, hawajafanya maamuzi
 
Bajeti ni nzuri na inapita bila shida yoyote.
Halima mdee ni mkombozi na shujaa ambae JMT haitakuja kumsahau
Naam, na 2025 itabidi tumpe fomu agombee urais kupitia Umoja Party, maana ndiye pekee anayeweza kuendeleza legacy ya JPM, CCM ya sasa ni ya mafisadi...
 
Upigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa Chadema na ACT wakisema hawana maamuzi

Najiuliza ni kwa nini hawaonyeshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?
Wanaonesha kuwa wao ni wapinzani ikizingatiwa kuwa kutokana na uchache wao, kura yao haina madhara maana walioipigia kura ya kuikubali (CCM) ni wengi zaidi. Wako kimkakati zaidi!!!
 
Hii nchi bhana! Yaani watu kama Babu Tale, Alexender Mnyeti, Joseph Kasheku 'msukuma', Deo Sanga 'Jah People', Livingstone Lusinde 'Kibajaj', Jesca Msambatavangu, na wengineo wengi!

Ndiyo wanao amua hatma ya maisha yetu eti!! So sad.
 
Upigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa Chadema na ACT wakisema hawana maamuzi

Najiuliza ni kwa nini hawaonyeshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?

Unawasema kama ni watoto yatima. Tatizo la nchi masikini kama yetu siasa ni kazi!!
 
Kisu cha kukata kamba kimebaki kwa Mama, wanachofanya ni kutaka kufurahisha anti-covid 19 na pro-covid 19 yani wamebaki NEUTRAL!
 
Upigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa Chadema na ACT wakisema hawana maamuzi

Najiuliza ni kwa nini hawaonyeshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?
hawana madhara
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom