Chombezo: Nelly Muosha Magari Wa Posta

Chombezo: Nelly Muosha Magari Wa Posta

SEHEMU YA 15

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale mhudumu alipofika katika meza waliyokaa Nelly na Atu kisha kutikisa chupa zilizokuwa na kilevi na kubaini kilibaki kidogo ndipo alimwuliza Nelly kama awaongeze, kijana huyo akamwambia alete mbili kwa kila mmoja na ziwe za moto kama za mwanzo.


Je, kilifuatia nini? Songa mbele na utamu huu….


YULE mrembo aliposikia Nelly kaagiza aletewe bia zingine mbili na kwa vile alikaa muda mrefu bila kupata ‘gambe’ akafurahi na kujisemea moyoni akimaliza kinywaji alichoagiza asingeendelea.


Bia zilipoletwa wakaenda kula na kukata maji, kwa kuwa mlo walioagiza ulikuwa tofauti kila mmoja akawa anachanganya, Nelly akichukua kipande cha ulimi, yule mrembo ananyofoa mnofu wa kuku, ikawa burudani ya aina yake.


Walipomaliza kula, wakaendelea kukata maji ndipo bia za moto walizokuwa wanakunywa zikaanza kupanda kichwani, mrembo akaanza kuongeza spidi ya maongezi na kuchekacheka hata kama Nelly hakuongea ishu ya kuchekesha.


“Yap! Chezea bia wewe, tayari kashakolea, kwa mwendo huu lazima alipe fadhila za mfadhiliwa, mimi ndiyo Nelson a.k.a Nelly mzee wa kuwatungua!” Nelly alijisemea moyoni.


Hakutaka tena kumchelewesha, alizidi kumfanyia vimbwanga ili azidi kumuongezea mihemko, akamuomba msichana huyo asogeze kiti chake karibu akidai kuna jambo flani alitaka kumwambia.


“Wewe si niambie tu jamani kwani mpaka tusogeleane?” msichana huyo aliyeitwa Atuganile aliyependa kukatisha jina lake na kujiita Atu alimwambia Nelly kwa sauti iliyozidiwa kwa kilevi.


“Kwani Atu kuna tatizo gani ukisogea hebu sogea bwana,” Nelly alimwambia msichna huyo mwenye shepu f’lani hivi ‘amazing’. Atu alipoambiwa hivyo akasema isiwe tabu akasogeza kiti chake na kukigusanisha na cha Nelly ndipo Nelly akampiga kibao cha mahaba shavuni ambacho kilimfurahisha Atu.


“Ila wewe unajua ni mchokozi sana, sawa tu!” Atu alimwambia Nelly.


“Mimi wala siyo mchokozi ila ukitaka nikuchokoze nitakuchokoza, unaniruhusu?” Nelly alimwambia Atu.


“Hebu nichokoze niuone huo uchozi wako,” Atu alimwambia Nelly na kuanza kucheka. Nelly aliyekuwa amebanwa na haja ndogo aliinuka na kumwambia ngoja akajisaidie kwanza akitoka huko ndiyo atajua uchokozi wake, akaenda uani. “Hana ujanja, ngoja nifanye fasta asije akatokea mtu akaenda kunipindua maana wanaume wakaware wa hili jiji ni hatari,” Nelly aliwaza.


Baada ya kumaliza kupunguza maji alirejea walipokuwa wameketi na kusimama nyuma ya Atu aliyekuwa na kifua kilichobeba viembe bolibo vitamu sana, si akamwinamia mabegani na kuingiza mkono wake wa kulia ndani ya kitopu alichovaa Atu na kuishika embe bolibo ya kulia. Kutokana na embe hiyo kuwa ya moto, Atu alipata raha sana na kwa upande wa Nelly ilikuwa hivyo, kijana wa Kisukuma alilitumia vyema giza lililokuwepo kuichezea embe hiyo hasa ncha yake, Atu akaanza kutoa mhemko wa raha!


Nelly alipogundua mashetani ya Atu yalikuwa eneo hilo, kwa akaingiza mikono yake yote kifuani kwa mrembo huyo ambapo kila mmoja ulishika embe bolibo ya upande wake akawa anazipekecha, mara kuzifinya na sijui kuzifanyaje bwana, Atu akapiga yowe! Kufuatia uyowe alioupiga Atu, Nelly aligundua kwamba mashetani ya dada huyo yalikuwa jirani hivyo kama angeendelea kumpagawisha, angweza hata kuangua kilio na watu kupigwa butwaa!


Alichokifanya kijana huyo sharobaro, alichomoa mikono yake kifuani kwa Atu ambaye licha ya kuwepo kigiza Nelly aliweza kuyaona macho yake yalivyokuwa yamelegea na kwenda kukaa kwenye siti yake.


Baada ya kukaa aliupitisha mkono wa kushoto maungoni mwa Atu na kumpa pole kwa alichomfanyia ndipo msichana huyo akamwambia muda ule alikuwa yupo katika hali mbaya. “Hali mbaya kivipi?” Nelly alimwuliza swali la kizushi.


“Eti unaniuliza hali mbaya kivipi, kwani ulikuwa unafanyaje na kifua changu?” Atu alimwuliza. Kufuatia dada huyo kutoa kauli hiyo, Nelly naye alimwambia hata yeye alikuwa katika wakati mgumu ndipo aliuchukua mkono wa Atu na kuupeleka kwenye makazi ya ‘mkuu wa kaya’.


Mtoto wa kike alipomgusa mkuu huyo wa kaya, akapatwa na hali ambayo nashindwa kuielezea kwani alipitisha muda mrefu bila ya kukutana naye, akaishia kusema; “jamani wewe mbona mtundu namna hiyo.”


Nelly alipogundua kwamba hata kwa namna gani kwa atua aliyofikia Atu asingeweza kumchomolea kama


angehitaji mkomboti, alimuaga kwamba anakwenda msalani na kwenda moja kwa moja upande uliokuwa na vyumba a.k.a machinjio ambako alilipia rumu moja.


Baada ya kufanya hivyo alimfuata Atu na kumuomba msamaha kwamba wahamie eneo la ndani ambalo lilikuwa tulivu kwa wao kufanyiana chochote kuliko pale walipokuwa wamekaa.


Kutokana na pombe kumpanda kichwani, kujumlisha na jinsi mwili ulivyomchemka kihisia, dada wa watu hakubisha alinyanyuka na kumfuata nyuma Nelly kama mwanakondoo aliyekuwa akipelekwa malishoni.


Walipofika ndani ya rumu, Atu alijibwaga kitandani jambo lililompa raha Nelly aliyejisemea moyoni kwamba; “Umekwisha kiumbe wewe, kumbe wala siyo msumbufu!”


Je, kilifuatia nini? Usikose uhondo huu wa aina yake Jumatatu ijayo.
 
SEHEMU YA 16



Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale sharobaro Nelly alipomuomba Atu aliyekuwa kalewa ainuke kisha amfuate kwenda chumbani alikotaka wakakae faragha ambapo dada huyo alinyanyuka na kumfuata kwa nyuma kama mwanakondoo aliyekuwa akipelekwa malishoni. Je, baada kuingia chumbani nini kilifuatia? SONGA MBELE NA UTAMU HUU…


Baada ya kuingia chumbani, Nelly aligundua kwamba alibaki na fedha kidogo ambazo zisingetosha kulipia chumba, akamuacha Atu akiwa kajibwaga kitandani na kumfuata mhudumu wa mapokezi.


Alipofika aliomba amwazime simu yake, alipopewa akampigia fundi Yassin na kumuomba amuongezee shilingi elfu kumi na tano kwani bila kufanya hivyo angeumbuka mtoto wa kiume.


Kufuatia ombi hilo, Fundi Yassin aligundua kuwa Nelly alikuwa amepungikiwa na fedha ndipo akamuuliza hizo fedha angemtumiaje wakati hakuwa na simu akamwambia atume kupitia namba ile ya mhudumu.


Baada ya kuhakikishiwa atatumiwa fedha hizo, Nelly alifurahi na kupata nguvu za kwenda kumuumiza kiumbe wa watu, alipomaliza kuzungumza na Fundi Yassin alimfahamisha mhudumu kwamba fedha hizo zikitumwa akate shilingi elfu saba ya rumu kisha nyingine atazichukua akimaliza kazi iliyokuwa mbele yake.


Alipotoa kauli hiyo, mhudumu aliishia kucheka ndipo sharobaro Nelson a.k.a Nelly alikwenda chumbani alikomuacha mtoto mzuri Atu ambapo alimkuta akiwa kajibwaga kitandani akisubiri kukabiliana na chochote ambacho angeambiwa na Nelly.
Kitendo cha sharobaro Nelly kumuona Atu akiwa amejibwaga kitandani kilimpa raha sana, akajisemea moyoni:


“Umekwisha kiumbe wewe, kumbe wala siyo msumbufu!”
Kufuatia nafasi hiyo ya dhahabu aliyoipata Nelly si naye akamfuata mtoto huyo wa kike, kwa utaalam wake akaanza kugusa kila eneo la hatari la Atu.


Kutokana na mautundu aliyofanyiwa na Nelly, Atu alikosa utulivu akawa anahema, akijipinduapindua huku na kule kama nyoka aliyemwagiwa mafuta ya taa jambo lililompa Nelly burudani ya aina yake.


Nelly alipomuona mtoto ameshalainika kama mlenda na anahema kwa fujo na yule hakuwa dada yake, akamnyonyoa manyoya yote naye akanyonyoa yake, akamchumu shavuni Atu kisha wakaanza kula mua a.k.a denda.


Walikwenda sambamba na zoezi hilo na kujikuta wakiwa katika ulimwengu mwingine, si sharobaro Nelly mpenda sifa sijui alimbanaje bwana mtoto wa watu, Atu akajikuta akipiga kigelegele cha raha na kupasua dafu lake ndipo naye Nelly akapasua lake na kumnywesha dada wa watu maji matamu yanayopendwa na watu wengi duniani na wewe msomaji ukiwa mmoja wao.


“Ila wewe mkaka ni balaa!” Atu alimwambia Nelly.
“Balaa la nini?” Nelly alimuuliza kwa kumtega.
“Sijapata kuona, yaani mh!” Atu aliishia kuguna.


“Kwani nimefanyaje si kawaida tu?” Nelly alimuuliza Atu.
Msichana huyo ambaye tangu aanze malovee hakuwahi kukutana na mwanaume mtundu kama alivyo Nelly, alimfagilia kwa namna alivyomfanyia na jinsi alivyoweza kupasua madafu mawili kabla hata ya mtanange na la mwisho lililokwenda sambamba na la Nelly.


Nelly aliishia kucheka na kumsifia msichana huyo kwamba naye alikuwa mjuvi wa malovee kisha akazivamia tena embe bolibo zake za mviringo na ndogondogo, akaanza kuziminya atakavyo na kumpagawisha kabisa mtoto wa watu akaibugia moja mdomoni na kuanza kuifyonza.


Kufuatia Nelly kumfanyia hivyo Atu, msichana huyo alikosa utulivu kabisa, akawa anahema na kuyazungusha macho pande zote za dunia huku kidole chake akiwa kaking’ata kama ananyonya pipi ya kijiti.


Sharobaro Nelly ambaye kitabia alikuwa hatofautiani na masharobaro wengine wanaopenda mambo ya mademu na kuvaa pamba za kijanja, alifurahishwa sana na mapozi ya Atu aliyekuwa amemdhibiti vilivyo.


Kijana huyo alipogundua angeweza ‘kumuua’ mtoto wa watu aliyekuwa kazidiwa kupita kiasi kwa utaalam wake wa malovee sijui alifanyaje bwana, si Atu akajikuta akilia kufuatia mziki mnene aliopewa na Nelly!


Nelly ambaye alijua kulicheza kandanda kwa mwendo kasi na wa haraka alimpelekesha Atu mpaka binti wa watu akajikuta akipasua dafu ndipo naye akalipasua lake na kumnywesha maji matamu tena yaliyomfanya avute pumzi na kuzishusha kisha akajilaza huko baada ya kuishiwa nguvu.


“Ila wewe mkaka noma!” Atu aliyekuwa kachoshwa kwa maji ya dafu aliyonyweshwa kitaalam na Nelly alimfungukia sharobaro huyo.


“Kwa nini unasema hivyo?” Nelly alimuuliza Atu.
“Da! Sijapata kuona, wewe ni mtaalam wa wataalam!” Atu alimwambia Nelly.
Kufuatia kauli hiyo, Nelly alimwambia utaalam wake ulikuwaje ndipo msichana huyo akamwambia aelewe tu kwamba alikuwa mtaalam jambo lililomfanya Nelly kumwambia;


“Jamani unaongea kwa mafumbo, utaalam gani?” Nelly alimwuliza Atu kwa kumtega.
Alipoulizwa hivyo, Atu alimsifia jinsi alivyokuwa anajua kufanya maandalizi na alivyompelekesha puta na kumtegea mpaka wakafika pamoja mwisho wa safari tena mara zote mbili.


“Kumbe umeinjoi eh?” Nelly alimuuliza Atu.
“Sana tena sana, yaani tangu nilipoanza haya mambo wewe ni mtu wa pili kunipa raha hiyo, da! Unaweza kwa kweli,” Atu alizidi kumfagilia sharobaro Nelly.


Kufuatia burudani aliyopewa, Atu alimuomba Nelly kama hatajali awe mtu wake wa kudumu ambapo sharobaro huyo alimuuliza itakuwaje kwa jamaa aliyekuwanaye?
 
SEHEMU YA 17


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Nelly alipompagawisha vya kutosha Atu ambaye kutokana na vionjo vitamu vya kijana huyo alimuomba kama hatajali awe mtu wake wa kudumu. Je, baada ya Nelly kuambiwa hivyo alisemaje? Ungana nami katika uhondo huu usioisha hamu…


“Jamaaa yangu kwa sasa hayupo nchini kaenda kusoma Marekani, sina mtu ndiyo maana nakuomba kama hutajali uchukue nafasi yake,” Atu alimwambia Nelly.
Nelly alifurahi sana kupata habari hiyo njema alimkubalia Atu na kumwambia aonde shaka watakuwa pamoja lakini moyoni alijiuliza itakuwaje dada huyo aliyeelewa Nelly alikuwa mambo safi atakapobaini kumbe alikuwa kibarua aliyekuwa akimsaidia fundi ujenzi kubeba zege.


“Hili si litakuwa soo hili?” Nelly alijisemea moyoni.
Hata hivyo, alipanga kutumia ujanja wa hali ya juu ili Atu asigundue kama hakuwa na kazi na baada ya maongezi ya kusifiana walivyopeana raha yalipoisha walikwenda kuoga.


Baada ya kumalizika kwa zoezi hilo, walitoka mle gesti wakiwa wepesi ambapo Atu alitangulia nje na kumuacha Nelly akimalizana na mhudumu wa ile gesti.
Wawili hao waliondoka pale gesti kila mmoja akiwa amefurahia walichokuwa wamekifanya bila kujali kama walikuwa na maradhi kwa sababu hawakutumia kinga jambo ambalo lilikuwa hatari.


Nelly alikuwa akielekea Tandika, walipofika kituo cha daladala, kijana huyo kabla ya kuagana na Atu aliyekuwa akielekea karibu alitaka kumpatia shilingi elfu tano lakini msichana huyo alikataa.


Hata hivyo, kabla ya Nelly kupanda gari walipanga kukutana tena siku ya Ijumaa jioni kisha kijana huyo akapanda kwenye daladala la Tandika akiwa mwenye furaha kufuatia kujiburudisha na Atu baada ya kumkosakosa Doreen.


Alipofika Tandika breki ya kwanza ilikuwa nyumbani kwa fundi Yassin kwa nia ya kumpa mchapo wa kilichojiri akiwa na Atu na kumshukuru kwa sapoti ya hela alizomtumia.


Bahati nzuri alipofika kwa fundi huyo alimkuta akiwa amesimama kibarazani, Nelly aliyekuwa na furaha alimshukuru fundi wake kwa kampani nzuri aliyompa na kumweleza kila kitu kilichojiri na Atu.


“Mi nilijua tu yule mtoto asingechomoa maana wewe ni mtaalam wa vimwana wakali,” fundi Yassin alimwambia Nelly wakaishia kucheka.


“Kaka siyo siri, mtoto nimemkubali na yeye kanikubali vilevile yaani kanifagilia kinona kwamba hakuwahi kukutana na mtu kama mimi, hata hivyo kwa mambo niliyomfanyia ana haki ya kutoa ufagio,” Nelly alimwambia fundi Yassin, wakacheka.


Fundi Yassin alipogundua mkewe angesikia maongezi yao ya kipuuzi alimwambia Nelly kwamba siku iliyofuata wataongea kwa kirefu ili ampe mchapo wote ndipo kijana huyo ambaye alikuwa kalewa kwa mbali alimuaga lakini akakumbuka harufu ya pombe ingemuumbua kwa wazazi wake.


Baada ya kubaini hivyo, alikwenda kwenye genge la kijana mmoja wa Kimakonde aliyezoeleka kuitwa Chinga aliyekuwa akichelewa kufunga biashara yake akamwambia ammenyee tango.


Kwa kuwa Chinga huyo alikuwa akifahamu kwamba tango linakata kilevi pamoja na harufu akamtania kwamba alikuwa akiogopa so kwa washua wake nini, Nelly akacheka na kumwuliza alijuaje!


“Jamani niuze matango nisijue pia kama yanakata kilevi?” Chinga alimwambia Nelly, wakacheka.


“Tena kula na ndizi hii mbivu hakuna atakayekushtukia kabisa,” Chinga alimwambia Nelly na kumpa ofa ya ndizi moja mbivu.
“Na ndizi zinakata kilevi?” Nelly alimwuliza.


“Tena fasta,” Chinga alijibu kisha kumkabidhi Nelly tango alilokuwa amelimenya na kumwambia akipenda anaweza kula huku akitoweza kwenye chumvi.
Wawili hao waliendelea kupiga stori za hapa na pale na Nelly alipomaliza kula tango alimlipa Chinga shilingi mia mbili kisha akamuaga na kwenda kwao, ambapo aliwakuta wazazi wake wakiangalia runinga.


Baada ya salamu, baba yake alimuuliza habari za kazi aliyokwenda kuifanya akawaambia ilikuwa nzuri na kuwaelezea jinsi watu walivyokuwa wakijenga majumba ya kifahari pande za Madale.


“Kwa hiyo mwanangu na wewe leo umefanya kazi anazofanya baba Hadija?” mama yake Nelly alimwuliza kijana wake.


“Tena hapa nilipo hadi mgongo unaniuma kwa ajili ya kuchota mchanga, yaani tulipofika walinipangia kazi ya kuhamisha mchanga kwa kuuzoa na chepe,” Nelly aliwaambia wazazi wake ambao walicheka kwani hawakutegemea kama kijana wao sharobaro angeweza kufanya kazi hiyo.
“Lakini umeifurahia hiyo kazi?” baba yake Nelly mzee Reli ya Uhuru alimwuliza kijana wake.


“Sana tu, kwani nimeweza kufika eneo ambalo sikuwahi kufika, nimefahamina na vijana wawili mmoja anaitwa Zakayo na mwenzake anaitwa Haruni wanaomsaidia baba Hadija kazi, hata kesho nitaenda,” Nelly aliwaambia wazazi wake.


Baada ya kuzungumza na wazazi wake ambao hawakugundua kama kijana wao alikuwa ametoka kufanya mambo yasiyofaa na Atu na alikuwa amekunywa pombe, Nelly alikwenda chumbani kwake.


“Mama Nelly umemsikia mwanao mpenda usmati alivyosema kafanya kazi ya kuhamisha mchanga kwa chepe, kweli hiyo ni habari njema na huko ndiko kujifunza maisha,” baba Nelly alimwambia mkewe.


“Nami kaniacha hoi, nahisi leo alipewa kazi nyepesi, tusubiri siku atakayotuambia kabeba zege akituambia ataendelea hapo nitaamini kweli kaamua kujishughulisha,” mama Nelly alimwambia mumewe.


Kule chumbani Nelly aliendelea kumuwaza Atu hasa alivyokuwa akiyazungusha macho yake mazuri na alivyokuwa akihema, akajikuta akisema peke yake kwamba watakapokutana Ijumaa waliyokubaliana atampa mambo matamu zaidi.


Hata hivyo, kutokana na ulevi aliokuwanao kichwani hakuchukua muda mrefu alipitiwa na usingizi hata mama yake alipokwenda kumuamsha ili akale hakumsikia.


“Baba Nelly, kweli mwanao leo kachoka, nimemwita mpaka nikapata wasiwasi, nilipoingia kumwangalia yaani kalala fofofo,” mama huyo alimwambia mumewe.
“Ndivyo inavyotokea kwa mtu ambaye hajazoea kufanya kazi ngumu, muache akiamka atakula,” mzee Reli ya Uhuru alimwambia mkewe bila kujua Nelly licha ya kuchoshwa na kazi lakini zaidi ni kwa vile alitoka kumdungua kiumbe na pombe aliyokunywa.
 
SEHEMU YA 18


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale wazazi wa Nelly walipokuwa wakimzungumzia kijana wao huyo ambaye ilikuwa mara yake ya kwanza kwenda kufanya kazi za ujenzi na walipomuuliza kama angeendelea nayo akawaambia atafanya hivyo. Je, kilifuatia nini? Endelea na utamu huu…


Kule chumbani Nelly aliendelea kumuwaza Atu hasa alivyokuwa akiyazungusha macho yake mazuri na alivyokuwa akihema, akajikuta akisema peke yake kwamba watakapokutana Ijumaa waliyokubaliana atampa mambo matamu zaidi.


Hata hivyo, kutokana na ulevi aliokuwanao kichwani, hakuchukua muda mrefu alipitiwa na usingizi hata mama yake alipokwenda kumuamsha ili akale hakumsikia.


“Baba Nelly, kweli mwanao leo kachoka, nimemwita mpaka nikapata wasiwasi, nilipoingia kumwangalia yaani kalala fofofo,” mama huyo alimwambia mumewe.


“Ndivyo inavyotokea kwa mtu ambaye hajazoea kufanya kazi ngumu, muache akiamka atakula,” mzee Reli ya Uhuru alimwambia mkewe bila kujua kwamba Nelly licha ya kuchoshwa na kazi lakini zaidi ni kwa vile alitoka kumdungua kiumbe na pombe aliyokunywa.


Mpaka wazazi wake wanakwenda kulala, Nelly hakuamka hadi kulipokucha akawa wa kwanza kuamka na kujiandaa kwenda site na fundi Yassin, akiwa anaoga mama yake naye aliamka.


Alipomaliza kuoga na kutoka bafuni alimkuta mama yake akiwa anaweka mkaa jikoni kwa ajili ya kumwandalia chai baba yake, wakasalimiana ndipo mama mtu akamwuliza jana yake alikuwa kachoka sana?


“Yaani mama nilichoka balaa, lakini ndiyo kazi na maisha hayana njia ya mkato,” Nelly alimwambia mama yake.


“Nilijua tu ulichoka maana nilikuandalia chakula nikaja kukuamsha lakini hukunisikia kabisa, vipi nikupashie moto wali utakula alfajiri hii?”


Baada ya mama mtu kumwambia hivyo mwanaye, Nelly alimwambia asiwe na wasiwasi atakunywa site, mama hakuwa na la zaidi ndipo kijana huyo akaingia chumbani kwake kujiandaa.


Baada ya kujiandaa wakati anataka kutoka alikutana na baba yake wakasalimiana kisha alimuaga ndipo mzazi wake akamtakia kazi njema, Nelly akatoka na kuelekea kwa fundi Yassin.


Alipofika alimkuta fundi huyo akimsubiri na baada ya salamu wakaondoka bila kuwa na mzigo wowote kuelekea kupanda daladala la Mwenge, kwa bahati walikuta DCM tatu zikiwa zinasubiri abiria, wakapanda na kukaa siti ya pamoja.


Gari lilipojaa wakaanza safari ndipo fundi Yassin aliyekuwa na shauku ya kujua kilichojiri kati ya Atu na Nelly akaomba ampe mchapo huo, Nelly akaanza kumsimulia kwa sauti ya chini ili abiria wengine wasisikie.


“Wewe dogo sikuwezi, unatisha kuliko hata moto wa gesi,” fundi Yassin alimwambia Nelly baada ya kijana huyo kumpa mchapo wote na wakati huo walikuwa wamefika Magomeni.


“Kiasi tu bro, unajua wakati mwingine tunajenga heshima kwani huwezi kumuona mtoto mzuri kama yule halafu umuache tu, hivi unajua unaweza kulaumiwa hata huko mbinguni?” Nelly alimwambia fundi Yassin, wakacheka.


Hata hivyo, Fundi Yassin alimwambia Nelly aache utani wa kuhusisha mambo maovu na mbinguni, Nelly akagundua kosa lake na kutengua kauli yake, ambapo fundi Yassin akasema hapo sawa.


Kwa kuwa wakati walipokuwa wakipeana michapo walikuwa bize na jambo hilo, Nelly hakuwaona mabinti wawili wakali waliokuwa wamepandia Kigogo ambao walikosa siti hivyo kusimama pembeni yake.


Baadaye akawaona moyo ukamdunda pa kisha akambonyeza pajani fundi Yassin, fundi alipogeuka akamnong’oneza.“Wewe ndiyo unawaona muda huu, mbona wamepandia Kigogo?” fundi Yassin alimwambia Nelly kwa sauti ya kunong’ona pia.


“Sikuwaona mkuu, da watoto wakali sana hawa hasa huyu aliyevaa suruali ya jinzi, ana kifua kama ninavyovipenda.” Wakati wakiendelea na mazungumzo hayo, yule dada mwenye suruali ya jinzi alimuona na kubaini Nelly alikuwa kadatishwa na uzuri wake kwa makusudi mazima akajigeuza ili kumuonesha Nelly kiwowowo chake tata.


Baada ya msichana huyo aliyesimama pembeni ya kiti cha Nelly kujigeuza, Nelly akajikuta damu zikimwenda mbio kwani kihisia alimvua ‘viwalo’ dada huyo na kupata picha kama vile walikuwa chimbo, akapagawa kabisa.


Hata hivyo, Nelly alizidi kuumia kwani alishindwa hata kumsemesha mrembo huyo hadi walipoteremka kituo cha Vijana Kinondoni jambo lililomuweka Nelly katika wakati mgumu kwani alipanga kama wangefika mwisho wa safari lazima angeomba namba yake ya simu.
“Kaka leo umefeli, watoto wameshuka hata hai hujatoa!” fundi Yassin alimtania Nelly.
“We acha tu mkubwa wangu, ila tungefika mwisho ungeona ambavyo ningepewa namba yake kirahisi si unanijua lakini mi mdogo wako?” Nelly alimwambia fundi Yassin wakacheka.


Wawili hao waliendelea na stori hadi walipofika Mwenge wakapanda gari la Tegeta, wakiwa kwenye gari hilo Nelly akiwa anamuwaza Doreen ghafla fundi Yassin akamkatisha kwa kumuuliza alijisikiaje kufanya kazi za kifundi.


“Bro bwana! Kazi ni kazi tu na mtoto wa kiume hapaswi kuchagua kazi!” Nelly alimjibu fundi Yassin.
 
SEHEMU YA 19


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale sharobaro Nelly alipoulizwa na fundi Yassin alijisikiaje kufanya kazi ya ufundi ambapo kijana huyo alimwambia alijisikia vizuri kwani mtoto wa kiume hapaswi kuchagua kazi. Je, kilifuatia nini? Songa mbele na utamu huu…


“Kama ni hivyo, poa sana tena kadiri tutakavyokuwa pamoja nitakufundisha kazi kibao,” fundi Yassin alimwambia Nelly.


Kwa kuwa gari lilikuwa likienda kwa kasi, kufumba na kufumbua walifika Tegeta ambapo walipanda basi la kuelekea Kisauke na hawakuchukua muda mrefu wakawasili site.


Kama kawaida, fundi alipofika getini alibonyeza kitufe cha kengele na baada ya dakika kama moja geti likafunguliwa. Ingawa ilikuwa kawaida kufunguliwa na Anne, siku hiyo likafunguliwa na Doreen.


Sharobaro Nelly na Doreen walipokutanisha macho kila mmoja akaachia tabasamu lakini fundi Yassin kwa umahiri mkubwa alijifanya anaangalia nyuma ili wasibaini kama aliona jinsi walivyotabasamu.


“Shikamoo fundi?” Doreen alimwamkia fundi Yassin.
“Marahaba, hujambo Doreen?” fundi Yassin alimsalimia Doreen.
“Sijambo fundi!” Doreen aliitikia.


“Mambo yako?” Doreen alimsalimia Nelly na kuachia tabasamu pana lililoonwa tena na fundi Yassin lakini fundi alijifanya hakuliona.


“Nzuri, za hapa?” Nelly aliitikia salamu ya mtoto huyo wa kishua.
“Poa!” Doreen aliitikia ndipo fundi Yassin akamuuliza kama akina Zakayo na Haruni walikwishafika.


“Wamefika lakini siyo zamani sana wako kule ndani, nahisi watakuwa wameanza kazi,” Doreen aliyekuwa kafurahi sana kumuona sharobaro Nelly aliwajibu.


Baada ya salamu msichana huyo ambaye mpaka muda huo alikuwa hajafunga geti alilifunga kisha akaanza kutembea kuelekea ndani lakini kabla hajaingia aliangalia nyuma na kugongana macho na ya Nelly, wote wakatabasamu.


“Yaani huyu kijana kanivutia sana, nitafanya kila liwezekanalo lazima nifurahi naye tena leo sijui kama itapita na nilivyo na hamu we acha tu!” Doreen aliwaza akiwa amejibwaga sofani.


Wakati Doreen anawaza hivyo, kama vile waliambiana na Nelly naye alikuwa amepanga kufanya ukomandoo wake kuhakikisha anamchinja mtoto huyo palepale kwao ili kujenga heshima.


“Kumuacha mtoto kama huyu aliyeonesha dalili zote za kunikubali ni kosa kubwa kuliko hata walilofanya mafisadi waliokwepa kulipa kodi za makontena bandarini, huyu namhesabia kama siyo dakika basi saa lazima niwe nimempa mambo,” Nelly aliwaza.


Nelly aliyekuwa akiwaza mambo ya kuduu tu alishtuka baada ya kumsikia fundi Yassin akisalimiana na Haruni na Zakayo, kisha Zakayo ambaye alikuwa mkubwa kuliko akina Nelly alimsalimia Nelly kwa kusema;


“Vipi dogo za tangu jana?”
“Poa bro, vipi hali yako?”
“Mi nipo fiti, nilidhani leo hautakuja kwa jinsi ulivyochoka jana maana naona hizi kazi hujazizoea?” Zakayo alimtania Nelly.


Nelly alimwambia atazizoea kadiri siku zinavyokwenda, kwa kuwa walikuwa bado hawajasalimiana na Haruni walipeana hi kisha fundi Yassin alimwambia Nelly akaendelee na kazi aliyokuwa akiifanya jana yake.


Nelly aliyefikiria siku hiyo angepangiwa kazi nyingine, alipoambiwa hivyo alifurahi sana kwani alijua ingekuwa rahisi kupiga stori na Doreen na hata kuingia ndani kwao.


Baada ya kupangiana majukumu, Nelly alibadili nguo na kwenda kuendelea na kazi huku fundi Yassin na akina Zakayo wakiendelea na kazi ya kuweka marumaru ndani.


Kwa kuwa akili yake ilikuwa kwa mtoto mkali Doreen, kabla hata ya kuanza kazi aligeuza shingo na kuangalia dirishani si akamuona Doreen akiwa anamtazama kwa jicho linalosema ‘jamani wewe kaka na uzuri wote huo unafanya kazi ya ujenzi!’
Kitendo cha wawili hao kutazamana, walitabasamu kwa pamoja ndipo Doreen alimuuliza Nelly kama alifungua kinywa, kwa kuwa hakunywa hata maji alimwambia bado.


Msichana huyo alipojibiwa hivyo alimwambia Nelly aingie ndani kwa kupitia mlango wa uani ili amwandalie chai, Nelly bila woga akafuata maelezo na kwenda moja kwa moja kukaa kwenye sebule ya kishua.


“Vipi Yule dada mwingine sijui Anne hayupo?” Nelly alimuuliza Doreen.
“Unajua yule licha ya kwamba ni dada wa kazi baba anamsomesha chuo cha kompyuta kwa hiyo ameshaenda chuoni kwao mapema sana, hapa nimebaki peke yangu,” Doreen alimwambia Nelly.


Je, kilifuatia nini?
 
SEHEMU YA 20


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale sharobaro Nelly apomuuliza Doreen, Anne alikwenda wapi ndipo msichana huyo alimfahamisha kwamba licha ya Anne kuwa ni msichana wa kazi, baba yake alimpeleka chuo cha kompyuta na pale nyumbani alibaki peke yake. Je, kilifuatia nini? Songa mbele na utamu huu…


“Da! Kumbe baba yako ana roho nzuri sana, anamsomesha hata hausigeli?” Nelly alimwambia Doreen lakini ukweli ni kwamba alikuwa amefurahi kutokuwepo kwa Anne.
“Yea, hapendi akitoka hapa kwetu akaendelee kufanya kazi za ndani ndiyo maana kaamua kumsomesha,” Doreen alimwambia.


Baada ya mazungumzo hayo, Doreen akiwa anachekacheka alikwenda kuchukua chupa iliyojaa maziwa, mkate wa bofro, jam na kumuandalia chai Nelly, Nelly alifungua kinywa kama vile alikuwa mtoto wa tajiri.


Alipomaliza kunywa chai, Doreen alimtazama Nelly na kumrembulia macho na kumwambia jana yake alimuweka katika wakati mgumu sana, Nelly akamwuliza kivipi!
“Muone kwanza vimacho, eti unaniuliza kivipi si vile ulivyonifanyia yaani usiku sikulala mwenzako da!” Doreen alimwambia Nelly kwa sauti f’lani ya kuhamasisha malovee.


Nelly aliposikia mtoto wa kike wa ushuani akilalamika, akajisemea moyoni kwamba pale alikwenda kazini lakini kufanya kazi na dawa halikuwa kosa, akamuuliza Doreen alitakaje?


“Jamani eti ninatakaje, wewe sijui ukoje?” Doreen alimwambia Nelly na kumpiga kibao cha uchokozi shavuni, Nelly akaachia tabasamu lakini tayari mwili wake ulishapata moto.


Nelly alipokitazama kipensi cha kubana hipsi alichokivaa Doreen na kitopu kilichoonesha michomoko ya viembe sindano vya mtoto huyo akaona ni halali kabisa inzi kufia juu ya kidonda, yaani alikuwa tayari fundi Yassin amtimue site lakini siyo kuidhulumu nafsi yake.


Kijana huyo aliyekuwa na hamu ya kumchinjia baharini Doreen, alikivamia kifua chake na kuanza kumfanyia vurugu zilizokwenda sambamba na denda ambalo a.k.a yake linaitwa kula mua mpaka mtoto wa watu macho yakamuiva mithili ya tunda damu.


Wakati mtoto huyo wa kishua akijibu mashambulizi ya kumshika Nelly maeneo mbalimbali ya mwili wake hususan makazi ya rais mpenda raha, Nelly akadata kabisa.


Alichokifanya kijana huyo ni kumuuliza Doreen eneo ambalo lingekuwa salama kwao kuzitafuna tende kama siyo harua, Doreen akamshika maungoni na kumkokota kwenda naye chumbani kwake.


Kwa kuhofia fundi Yassin au Zakayo angetoka na kukuta hayupo, wawili hao walipofika ndani Nelly hakuona sababu ya kuremba kwa sababu Doreen hakuwa dada yake, akampunyua kila kitu kisha akajipunyua pia, haikupita hata dakika moja uwanja waliokuwa wapo juu yake ulichimbika balaa.


Sharobaro Nelly hakuwa na huruma na mtoto wa watu, alimvuruga kweli Doreen ambaye alikuwa amemisi kuvurugwa kwa muda mrefu na kwa utaalam wa kuchimbua visiki wa kijana huyo wote walijikuta wamegota mwisho wa safari pamoja.
Baada ya kumaliza kazi nzito iliyokuwa mbele yake, Nelly hakutaka kuendelea kukaa mle chumbani, aliingia bafuni akajimwagia maji na kutoka haraka lakini ile anatokeza sehemu aliyotakiwa kuhamisha mchanga akamuona Zakayo akiwa amesimama.


Nelly ambaye wakati huo hakujali chochote kufuatia kumkwangua mtoto mzuri Doreen ambaye aliumbika haswa na kumhamasisha mwanaume yeyote rijali, akawa anacheka.
Zakayo aliyefahamu kwamba Nelly hakuwa mfanyakazi zaidi ya usharobaro, alimkata jicho na kuingia ndani ambako fundi Yassin alikuwa akiendelea na kazi.


“Kaka mkubwa kama ambavyo nilikuwa nakuambia, huko nje hakuna kazi inayofanyika, nilipokwenda kumuangalia huyo dogo uliyetuletea nimemkuta akitokea jikoni kwa bosi,” Zakayo alimwambia fundi Yassin.


“Acha masihara bwana! Yaani bado hajaanza hata kazi?” fundi Yassin alimwuliza Zakayo.


“Ndiyo maana yake, yaani chepe kalichomeka juu ya mchanga nahisi tayari kisha kuwa mwenyeji kutupita wenyeji, kweli hawa vijana masharobaro wana mambo,” Zakayo alimwambia fundi wake.


Kufuatia kauli ya Zakayo, fundi Yassin anayemuelewa vizuri Nelly akaishia kucheka ndipo Haruni akamwuliza Zakayo kwa nini alisema Nelly alikwishakuwa mwenyeji kuliko wao.


“Hivi sisi tangu tulipoanza kazi hapa miezi miwili sasa na ushee tumewahi kuingia hata jikoni kwa bosi?” Zakayo alimwuliza Haruni.


Je, kilifuatia nini?
 
SEHEMU YA 21



Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Haruni aliyeshangazwa na tabia ya usharobaro wa Nelly alipomwambia Zakayo kwamba alihisi Nelly alikwishakuwa mwenyeji kuliko wao ndipo Zakayo akamwuliza alimaanisha nini?


Je, alipewa jibu gani?


Songa mbele na utamu huu…


“Hivi sisi tangu tulipoanza kazi hapa miezi miwili sasa na ushee tumewahi kuingia hata jikoni kwa bosi?” Haruni alimwuliza Zakayo.


Zakayo alimwambia hawakuwahi kisha alimfahamisha kwa jinsi alivyomuona, Nelly alikuwa ametoka ndani kwa bosi wao na ilivyoonesha hata chai alikuwa kanywa.
Alipowaeleza hivyo, fundi Yassin na Haruni waliishia kucheka kisha fundi akasema ndiyo mambo ya mjini yalivyo, ukiwa shapu mambo yatakunyokea na ukizubaa itakula kwako.


“Unamaanisha nini kaka mkubwa?” Zakayo akamwuliza fundi Yassin.
“Si nyie tangu mfike hapa mmejaa uoga sasa dogo kaja kishamzoea mtoto wa bosi na chai tena nzito kaanza kunywa,” fundi Yassin aliwaambia akina Zakayo walioishia kucheka.


Baada ya maongezi mafupi kuhusiana na Nelly, wakasikia mchanga ukilia tii wakajua dogo kishaanza kazi, kweli fundi Yassin alipokwenda kuangalia akamkuta Nelly akichota mchanga na kuusogeza sehemu aliyomwelekeza.


Kwa kuwa alitokea kwa nyuma, Nelly hakuweza kumuona akamwita, Nelly alipogeuka akacheka sana na kumwambia fundi wake kwamba pale ilikuwa kazi tu, fundi akaangua kicheko pia.


“Poa kaka, hapo kazi tu! Wewe endelea na kazi na sisi tunaendelea na kazi huku ndani,” fundi Yassin hakutaka kumweleza chochote alichoambiwa na Zakayo.


Fundi Yassin na vijana wake wakiwa wanaendelea na kazi, Zakayo aliyekuwa kama ameamka ghafla akamwambia fundi Yassin kwamba siku si nyingi Nelly angewaletea balaa pale site.


“Kwa nini unasema hivyo?” fundi Yassin alihoji.
“Kaka mkubwa huyu dogo hajatulia, siku bosi akirudi na kubaini anaingia ndani kwake na kunywa chai si atajua ana uhusiano na binti yake, wewe unafikiri tutapona kweli kama siyo kufukuzwa hapa?” Zakayo akamwambia.


Maneno ya kijana huyo yalimwingia vilivyo fundi Yassin aliyetegemea kupewa kazi kibao na bosi wake aliyekuwa kasafiri, lakini hakutaka kujibu chochote.


“Kwanza huyo dogo siyo mfanyakazi, tangu alipokuja hapa jana hakuna kazi aliyofanya, sasa ni hivi mkubwa, kama ataendelea kuja hapa site mimi naona ni bora niache kazi tu, yaani naiona hatari mbele yetu,” Zakayo alipiga mkwara.


“Poa Zakayo nimekuelewa sana, naomba kazi hiyo niachie mimi niliyemleta,” fundi Yassin alimwambia Zakayo.


“Lakini kaka mkubwa, nami naungana na mawazo ya Zakayo, mwenendo wa huyu dogo utatuponza, yeye kaja jana tu nyumba yote ya bosi kishaizoea na chai nzito ya kishua anakunywa!” Haruni naye akachombeza.


Kule chumbani, Doreen alikuwa kajilaza chali kitandani kwake kufuatia vionjo vya uhakika alivyopewa na Nelly, akapanga siku hiyo kumpa zawadi kama asante yake.
“Huyu kaka siyo siri anajua mapenzi, kama kwa muda mfupi tu niliokuwanaye kanipa raha namna hii, je tungekaa zaidi ya saa nne si ingekuwa balaa, huyu lazima nimpe zawadi,” Doreen aliyekuwa kavaa nguo ya mwisho pekee alijisemea moyoni.


Msichana huyo ambaye kwenye droo yake alikuwa na shilingi 200,000 alijiuliza ampatie laki moja au kwa kuwa Nelly hakuwa na simu ampatie simu yake ambayo alikuwa haitumii.


“Pesa hapana, kwa ninavyomuona anaweza asinunue simu ya maana ili zingine afanyie kazi nyingine, nampa simu,” Doreen aliwaza kisha aliinuka pale kitandani.


Kwa kuwa mbele yake palikuwa na kabati kubwa la kujipambia lililokuwa na kioo, wakati anajongea kwenye kabati hilo akacheka sana baada ya kuangalia kufuli alilokuwa amevaa na jinsi macho yalivyokuwa yamemlegea baada ya kulishwa tende na Nelly.


“Da! Huyu kaka kajua kunilegeza mtoto wa kike, zawadi inayomfaa ni simu tu ya kisasa,” Doreen akajisemea moyoni na kufungua droo ya kabati na kuchukua boksi la simu na kuliweka juu ya kitanda.


“Hii ndiyo zawadi pekee inayomfaa, kijana mzuri namna hii ataishije bila kuwa na simu, tena itarahisisha sana kuwasiliana naye kwani nitakapotaka kukutana naye hata nje ya hapa ni suala la kumpigia na kumwambia sehemu ya kumiti,” Doreen alijisemea moyoni.


Je, nini kilifuatia?
 
SEHEMU YA 22


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale binti wa kishua Doreen alipopanga kumpatia simu sharobaro Nelly aliyejua kumpa raha na kujisemea moyoni kwamba simu hiyo itawafanya wawasiliane kirahisi hasa pale atakapomuhitaji ni suala la kumpigia na kumwelekeza sehemu ya kumiti. Je, kilifuatia nini? Jipatie uhondo sasa…


Baada ya kuwaza hivyo, alijifunga kanga na kwenda kwenye chumba ambacho dirisha lake lilikuwa sehemu ambayo Nelly alikuwa akihamisha mchanga, lengo lake ni kutaka kumtazama tu kijana huyo aliyempenda ghafla.


“Kweli hii dunia saa ingine haina usawa, huyu kijana alifaa awe anafanya kazi kwenye ofisi kubwa akicheza na kompyuta muda wote kama siyo laptop a.k.a kompyuta mpakato, sasa anafanya kazi ya kusomba mchanga, sikubali,” Doreen aliwaza kwa huzuni.


Wakati msichana huyo akiwaza hivyo, Nelly aliendelea kuchota mchanga na kila aliporusha chepe kadhaa alipozi na kujishika kiuno na kujinyoosha kuashiria kwamba ile kazi hakuizoea.


Doreen aliyekuwa akimtazama alimuonea huruma akajikohoza ndipo sharobaro Nelly akageuka kumtazama, walipogongana macho Nelly aliachia tabasamu.
“Pole mpenzi kwa hiyo kazi ngumu!” Doreen alimwambia Nelly.


Kitendo cha Nelly kuitwa mpenzi, kilimfurahisha sana na kichwa kumvimba kama puto, akamwambia asante ndipo mtoto huyo wa kishua akamwambia kabla ya kuondoka alihitaji kuzungumza naye jambo f’lani.


“Mbona unanipa kimuemue jamani, si niambie hilo jambo sasa hivi my d?” Nelly alimwambia Doreen.


Doreen alipoambiwa hivyo na kuitwa my d na Nelly, alijisikia raha na kutamani kama ingewezekana warejee tena kugaragara kwenye uwanja wa fundi seremala na kijana huyo aliyeyajua mapenzi utafikiri aliletwa duniani kwa kazi hiyo.
“Kama hakutakuwa na soo kwa fundi toroka uje huku ndani mara moja nikwambie jambo,” Doreen alimwambia Nelly.


Kitendo cha kijana huyo kuambiwa hivyo, NelZy ambaye mwili ulikuwa ukitiririka jasho hakuremba akaamua kuzama ndani kwa akina Doreen kwa kupitia mlango uleule wa jikoni.


Ile kuingia tu jikoni wakakutana na Doreen aliyekuwa kavaa kanga nyepesi iliyoonesha kufuli jeupe aina ya bikini alilovaa, Nelly akasisimkwa sana kama siyo aliyezila tende tamu za binti huyo muda mfupi uliopita.


Wakati Nelly akiwa katika hali hiyo, Doreen naye kitendo cha kumuona kijana huyo aliyemwingia moyoni kwa muda mfupi akajikuta akilihitaji tena penzi lake tamu si akamkumbatia bila kujali jasho lililomtiririka!


Kufuatia Nelly kukumbatiwa, naye akaizungusha mikono yake maungoni mwa binti wa kishua Doreen kisha wakaanza kula mua ambalo wengine huliita denda kwa dakika moja na vipointi hivi.


Walipoachiana kila mmoja macho yake yalikuwa mekundu na malegevu kuashiria kwamba kilichotakiwa kufanywa na vijana hao ambao damu zao bado zilikuwa zinakimbia ni kugaragazana tu hili kuzitendea haki nafsi zao.


Alichokifanya Doreen ambaye muda huo embe zake bolibo zilikuwa zimepata moto hadi kumsimama ni kumkokota Nelly hadi chumbani kwake, huko alimpunyua viwaro vyake kisha kuifungua kanga aliyovaa na kumalizia kiwalo cha mwisho wakawa kama walivyokuja katika ulimwengu huu wenye raha na karaha.


Mtoto wa kike alipokiona chombo cha Nelly jinsi kilivyokuwa kimechangamka akatabasamu, kwa kuwa walikuwa wamejibwaga kwenye uwanja wa fundi seremala na alivyokuwa kapagawa, akaamua kujisevia chakula hicho kisicho na muda maalum wa kukila.


Nelly aliyekuwa kawa kichaa kwa alivyopagawishwa na Doreen, hakukumbuka kabisa kwamba alikuwa eneo lile kikazi badala yake kazi ikawa ni kumpa mambo mazito mtoto wa kishua aliyeishia kulia kwa midadi maana Nelly alijua kumbana kiume.


Kitendo cha Doreen kutoa kilio hicho cha ushirikiano, kilimfanya sharobaro Nelly kuwa kichaa zaidi na vile alipenda sana kusifiwa alimvuruga kisawasawa mtoto wa watu ambaye alijikuta akipasua madafu mfululizo na kunywa maji yake.


Sharobaro Nelly alipobaini mtoto wa kishua alipasua karibu madafu matatu ndipo naye akapasua lake moja lenye ujazo mzuri kwa ufundi wa hali ya juu na kumnywesha maji matamu Doreen.
Je, kilifuatia nini?
 
SEHEMU YA 23


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Nelly aliyekuwa chumbani kwa Doreen wakipiga stori baada ya kugarazana na kukabidhiwa simu, alipoanza kuitwa tena na fundi Yassin. Je, kilifuatia nini? Songa mbele na utamu huu…


Sharobaro Nelly alipomsikia fundi Yassin akimwita alipaniki na kutaka kuitika lakini Doreen akamkataza kwa ishara na kumwambia atulie pale kitandani.


Kama alivyoshauriwa, alitulia ndipo Doreen akaangua kicheko cha chini na kumwambia Nelly kumbe alikuwa muoga namna ile, Nelly akaachia tabasamu.
“Ndiyo maana yake, wewe hujui kama kunguru muoga huishi miaka mingi?” Nelly alimwambia Doreen kwa sauti ya chini.


Doreen alipoambiwa hivyo, alicheka na kumweleza Nelly kwamba kumbe alikuwa mtaalam wa methali, Nelly akamwambia alikuwa zaidi ya mtaalam, mtoto wa kike akacheka.


Wakati wakiendelea kuzungumza, fundi Yassin aliendelea kumwita na alipobaini Nelly hakuwemo ndani akarudi ndani huku akicheka maana mambo ya kijana wake huyo licha ya kumsikitisha yalimchekesha pia.


“Sasa si unaona, kakuita mpaka kachoka kaamua kwenda kuendelea na kazi, ungeitika ungeharibu kila kitu,” Doreen alimwambia.


“Da! Wewe ni zaidi ya wajanja, nashukuru kwa kunizuia kuitika maana tungefanya bonge la misteki mpenzi wangu,” Nelly alimwambia Doreen.
Doreen alimwambia asijali na kumweleza kuwa muda ule ulikuwa mwafaka kumtoa mle chumbani, kauli ambayo iliungwa mkono na Nelly ambaye moyoni alisema hata kama fundi Yassin atammaindi ilikuwa poa tu!


Msichana huyo wa kishua ambaye moyo wake ulikuwa kwatu kwa kupewa raha na Nelly, alifungua mlango wa uani ambao ulikuwa haufunguliwi mara kwa mara, Nelly akatoka.
Kama alivyopewa ujanja, alipotoka alikwenda kwenye duka moja la jirani akanunua soda tatu na maji chupa moja na kurejea getini, akaanza kugonga huku akimwita Zakayo amfungulie.


Kufuatia geti kugongwa na kuitwa jina lake, Zakayo aligundua aliyekuwa akimuita alikuwa Nelly, akamwambia fundi Yassin kwamba mtu aliyewapelekea ndiye aliyekuwa akigonga geti.


“Unasema kweli?” fundi Yassin alimwuliza.
“Kaka mkubwa bwana na huyo dogo wako unachekesha, ila ni kama nilivyokwambia bila ya kumuondoa mimi naacha kazi tusije wote tukaonekana tunashabikia vitendo vyake maana kwa ninavyomfahamu bosi akibaini ujinga wake atatutimua,” Zakayo alimwambia.


Fundi Yassin alipoelezwa hivyo, alipata hasira akaamua kwenda kufungua geti na kweli alipofanya hivyo akamkuta Nelly kasimama huku akitabasamu na mkononi akiwa na mfuko.


“Nelly naona umeshindwa kazi, ingia ndani uchukue vitu vyako urudi nyumbani mambo mengine tutazungumza huko,” fundi Yassin alimwambia kwa hasira.


“Kwani bro nimefanya kosa gani, wakati naendelea na kazi nilibanwa na kiu nikaamua kwenda kununua maji, hata nyinyi nimewaletea soda hizi hapa,” Nelly alimwambia huku akimuonesha zile soda.


Kitendo cha dogo huyo mpenda mademu wazuri kuongea kwa upole na kumuonesha zile soda, fundi Yassin akajikuta akicheka na kumwambia alikuwa na bahati kwani alitaka kumtimua.


“Bro bwana, sasa unitimue kwa kosa gani, kwenda kununua soda?” Nelly alimwambia.
Kabla fundi Yassin hajajibu, Nelly alitoa soda moja ya kopo akampatia kisha alifunga geti na kuongozana kwenda ndani walikokuwa akina Haruni na Zakayo.


Walipofika fundi Yassin aliwafahamisha kwamba Nelly hakutegea kazi ila alikwenda kununua soda, sharobaro huyo akatoa soda zilizobaki akawapatia akina Zakayo.


“Ila wewe dogo una mambo mengi kama unga wa ngano, hii kazi haikufai, wewe ulifaa uwe mwanamuziki wa Bongo Fleva,” Haruni alimwambia Nelly, wote wakacheka.
Wakati wakizungumza, hakuna kati yao aliyejua dogo huyo kwenye mfuko wake wa nyuma kulikuwa na simu ya kisasa aliyopewa na Doreen.


“Ulichokiongea Haruni nakiunga mkono kwa asilimia mia moja, huyu alifaa awe msanii wa Bongo Fleva, huku kaja kwa bahati mbaya,” Zakayo naye alidakia.
Mafundi hao walifanya kazi hadi jioni ambapo hata hivyo Nelly hakuweza kumaliza kuhamisha mchanga, kama ilivyokuwa kawaida ya fundi Yassin kumuona Doreen kwa ajili ya malipo alimwita msichana huyo.


“Vipi fundi mnataka kuondoka?” Doreen alimwuliza fundi Yassin.
“Ndiyo, nafikiri tukija kesho tutamalizia kuweka marumaru kule vyumbani kisha tuhamie subuleni,” fundi Yassin alimwambia.


Alipoambiwa hivyo, Doreen aliyekuwa akimtupia jicho kijanja Nelly aliwapa pole ya kazi kisha alimkabidhi fundi Yassin bahasha ya khaki iliyokuwa imetuna.


Itaendelea
 
SEHEMU YA 24


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale fundi Yassin alipomfahamisha Doreen kwamba kwa siku ile walimaliza kazi ndipo mtoto huyo wa kishua aliwapa pole akaingia ndani alikochukua bahasha ya khaki na kumkabidhi fundi huyo. Je, kilifuatia nini? Songa mbele na chombezo hili lisiloisha utamu…


Kwa vile alijua ulikuwa ‘mpunga’ wa maana, fundi Yassin alitabasamu na kumshukuru Doreen aliyemwambia asijali, kama ilivyokuwa kwa fundi, Zakayo, Haruni na Nelly nao walitabasamu kwani walijua mifuko yao ingetuna.


Baada ya kuagana na Doreen, fundi na vijana wake waliondoka lakini kabla ya kufika kituo cha daladala alifungua ile bahasha na kukuta ilikuwa na shilingi lakini 250,000.
Alimpatia Haruni shilingi 40,000, Zakayo 40,000 na Nelly shilingi 30,000 kisha vijana hao wakiwa na furaha walielekea kituo cha basi walikopanda gari, wa kwanza kuteremka alikuwa Haruni na walipofika Tegeta Kibaoni Zakayo kabla ya kumuaga fundi Yassin alisema:


“Kaka mkubwa kama nilivyokwambia, usipoufanyia kazi ushauri wangu kesho nikija itakuwa mara yangu ya mwisho kufanya kazi.”


Maneno ya Zakayo yalimwingia barabara fundi Yassin ambaye hakuwa tayari kumpoteza dogo huyo mchapakazi aliyekuwa akiijua kazi yake na wakati mwingine alipokuwa na dharura alikuwa akifanya kazi zake bila tatizo.


“Sawa kaka mkubwa nimekuelewa,” fundi Yassin alimwambia Zakayo bila Nelly kujua kama jambo hilo lilimhusu yeye.


“Kaka mkubwa, kwani Zakayo kakupa ushauri gani ambao anasema usipoufanyia kazi kesho ndiyo itakuwa mara yake ya mwisho kufanya kazi?” Nelly alimwuliza fundi Yassin.
“Ni mambo tu ya kawaida, nitakuambia,” fundi Yassin alimwambia Nelly.


Walipofika Kituo cha Kwa Ndevu, Nelly na fundi Yassin walipanda daladala la kwenda Ubungo ili pale waunganishe la Tandika, kwa kuwa walipandia mwanzo walikaa katika siti moja.


Safari yao ilikuwa nzuri sana kwani haikuwa na foleni hadi Ubungo walikopanda gari la Tandika, njiani walikuwa wakizungumza mambo mchanganyiko yakiwemo ya mademu lakini fundi Yassin hakupenda kumuweka wazi kuhusu jambo alilokuwanalo moyoni.


Walipoteremka Tandika, fundi Yassin alimpeleka sharobaro Nelly kwenye baa moja ambapo alimwambia aagize kinywaji chochote alichohitaji pamoja na chakula.


Nelly aliagiza kilevi alichokuwa akitumia pamoja na chipsi na mishkaki mitatu, fundi Yassin aliangiza soda na kongoro pamoja ndizi mbili wakaanza kujiburudisha.
“Dogo, samahani kuna jambo nataka kuzungumza na wewe lakini lichukulie kawaida kwani ndiyo changamoto za maisha,” fundi Yassin alimwambia Nelly.


Nelly alipoambiwa hivyo, alishtuka na kumwuliza fundi Yassin ni jambo gani hilo ndipo akamwambia anashukuru kwa kuwa pamoja naye kule site kwa siku mbili lakini siku ile ilikuwa ya mwisho kuendelea kufanya kazi kule.


Nelly alipoambiwa hivyo alimwuliza kwa sababu gani ndipo fundi huyo akamwambia kila kitu kuhusu uwezo wake kikazi na jinsi alivyomzoea haraka Doreen na nyumba ya bosi wake jambo ambalo lilikuwa hatari kwake.


“Kama ulivyomsikia Zakayo akisema kama sitaufanyia kazi ushauri wake ataacha kazi, jambo lenyewe ndiyo hili ninalokueleza ndiyo maana nimeona nikwambie ukweli mdogo wangu,” fundi Yassin alimwambia Nelly.


“Yaani aliyependekeza unifukuze kazi ni Zakayo si ndiyo?” Nelly alimwuliza fundi wake.
“Siyo kapendekeza, tumeona hatari iliyopo mbele yetu kwa bosi, wewe kuwa mpole kama hela za matumizi nitakuwa nakupa wakati ukiangalia nini cha kufanya,” fundi Yassin alimwambia Nelly.


Pamoja na kauli ya fundi Yassin, Nelly alimmaindi sana Zakayo kwani alijua yeye ndiye aliyemchongea na kujisemea moyoni kwamba ‘watu wengine bwana wana roho mbaya, yaani mimi kuzoeana na mtoto wa bosi kuna ubaya gani?’


“Oke bro kwa kuwa umeamua hivyo poa tu!” Nelly alimwambia fundi Yassin.
“Siyo nimeamua, wewe kuwa mpole kama nilivyokwambia wala usimmaindi mtu yeyote,” fundi Yassin alimwambia.


Kufuatia alichoelezwa na fundi wake, Nelly alikosa raha hata bia aliyokuwa akinywa aliiona chungu, akawa anamfikiria Doreen huku akijisemea moyoni kwamba ndiyo atamkosa.


Kwa vile jambo hilo lilimchanganya akasahau kabisa kama alikuwa amepewa simu na binti huyo wa kishua hadi aliposhtuliwa na fundi Yassin aliyemwita.
“Dogo naona uko mbali kabisa,” fundi Yassin alimwuliza.


“Bro we acha tu, unajua tayari nilishaanza kuizoea kazi na kuifurahia sasa umenikatili sana wewe hujui tu!” Nelly alimwambia fundi Yassin huku moyoni akiwa na lake jambo.
“Usiwaze sana mdogo wangu, nitakapoanza kazi site nyingine tutaenda wote,” fundi Yassin alimwambia.


Je, kilifuatia nini?
 
SEHEMU YA 25


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale fundi Yassin alipomfahamisha Doreen kwamba kwa siku ile walimaliza kazi ndipo mtoto huyo wa kishua aliwapa pole akaingia ndani alikochukua bahasha ya khaki na kumkabidhi fundi huyo. Je, kilifuatia nini? Songa mbele na chombezo hili lisiloisha utamu…


Kwa vile alijua ulikuwa ‘mpunga’ wa maana, fundi Yassin alitabasamu na kumshukuru Doreen aliyemwambia asijali, kama ilivyokuwa kwa fundi, Zakayo, Haruni na Nelly nao walitabasamu kwani walijua mifuko yao ingetuna.


Baada ya kuagana na Doreen, fundi na vijana wake waliondoka lakini kabla ya kufika kituo cha daladala alifungua ile bahasha na kukuta ilikuwa na shilingi lakini 250,000.
Alimpatia Haruni shilingi 40,000, Zakayo 40,000 na Nelly shilingi 30,000 kisha vijana hao wakiwa na furaha walielekea kituo cha basi walikopanda gari, wa kwanza kuteremka alikuwa Haruni na walipofika Tegeta Kibaoni Zakayo kabla ya kumuaga fundi Yassin alisema:


“Kaka mkubwa kama nilivyokwambia, usipoufanyia kazi ushauri wangu kesho nikija itakuwa mara yangu ya mwisho kufanya kazi.”


Maneno ya Zakayo yalimwingia barabara fundi Yassin ambaye hakuwa tayari kumpoteza dogo huyo mchapakazi aliyekuwa akiijua kazi yake na wakati mwingine alipokuwa na dharura alikuwa akifanya kazi zake bila tatizo.


“Sawa kaka mkubwa nimekuelewa,” fundi Yassin alimwambia Zakayo bila Nelly kujua kama jambo hilo lilimhusu yeye.


“Kaka mkubwa, kwani Zakayo kakupa ushauri gani ambao anasema usipoufanyia kazi kesho ndiyo itakuwa mara yake ya mwisho kufanya kazi?” Nelly alimwuliza fundi Yassin.
“Ni mambo tu ya kawaida, nitakuambia,” fundi Yassin alimwambia Nelly.


Walipofika Kituo cha Kwa Ndevu, Nelly na fundi Yassin walipanda daladala la kwenda Ubungo ili pale waunganishe la Tandika, kwa kuwa walipandia mwanzo walikaa katika siti moja.


Safari yao ilikuwa nzuri sana kwani haikuwa na foleni hadi Ubungo walikopanda gari la Tandika, njiani walikuwa wakizungumza mambo mchanganyiko yakiwemo ya mademu lakini fundi Yassin hakupenda kumuweka wazi kuhusu jambo alilokuwanalo moyoni.


Walipoteremka Tandika, fundi Yassin alimpeleka sharobaro Nelly kwenye baa moja ambapo alimwambia aagize kinywaji chochote alichohitaji pamoja na chakula.


Nelly aliagiza kilevi alichokuwa akitumia pamoja na chipsi na mishkaki mitatu, fundi Yassin aliangiza soda na kongoro pamoja ndizi mbili wakaanza kujiburudisha.
“Dogo, samahani kuna jambo nataka kuzungumza na wewe lakini lichukulie kawaida kwani ndiyo changamoto za maisha,” fundi Yassin alimwambia Nelly.


Nelly alipoambiwa hivyo, alishtuka na kumwuliza fundi Yassin ni jambo gani hilo ndipo akamwambia anashukuru kwa kuwa pamoja naye kule site kwa siku mbili lakini siku ile ilikuwa ya mwisho kuendelea kufanya kazi kule.


Nelly alipoambiwa hivyo alimwuliza kwa sababu gani ndipo fundi huyo akamwambia kila kitu kuhusu uwezo wake kikazi na jinsi alivyomzoea haraka Doreen na nyumba ya bosi wake jambo ambalo lilikuwa hatari kwake.


“Kama ulivyomsikia Zakayo akisema kama sitaufanyia kazi ushauri wake ataacha kazi, jambo lenyewe ndiyo hili ninalokueleza ndiyo maana nimeona nikwambie ukweli mdogo wangu,” fundi Yassin alimwambia Nelly.


“Yaani aliyependekeza unifukuze kazi ni Zakayo si ndiyo?” Nelly alimwuliza fundi wake.
“Siyo kapendekeza, tumeona hatari iliyopo mbele yetu kwa bosi, wewe kuwa mpole kama hela za matumizi nitakuwa nakupa wakati ukiangalia nini cha kufanya,” fundi Yassin alimwambia Nelly.


Pamoja na kauli ya fundi Yassin, Nelly alimmaindi sana Zakayo kwani alijua yeye ndiye aliyemchongea na kujisemea moyoni kwamba ‘watu wengine bwana wana roho mbaya, yaani mimi kuzoeana na mtoto wa bosi kuna ubaya gani?’


“Oke bro kwa kuwa umeamua hivyo poa tu!” Nelly alimwambia fundi Yassin.
“Siyo nimeamua, wewe kuwa mpole kama nilivyokwambia wala usimmaindi mtu yeyote,” fundi Yassin alimwambia.


Kufuatia alichoelezwa na fundi wake, Nelly alikosa raha hata bia aliyokuwa akinywa aliiona chungu, akawa anamfikiria Doreen huku akijisemea moyoni kwamba ndiyo atamkosa.


Kwa vile jambo hilo lilimchanganya akasahau kabisa kama alikuwa amepewa simu na binti huyo wa kishua hadi aliposhtuliwa na fundi Yassin aliyemwita.
“Dogo naona uko mbali kabisa,” fundi Yassin alimwuliza.


“Bro we acha tu, unajua tayari nilishaanza kuizoea kazi na kuifurahia sasa umenikatili sana wewe hujui tu!” Nelly alimwambia fundi Yassin huku moyoni akiwa na lake jambo.
“Usiwaze sana mdogo wangu, nitakapoanza kazi site nyingine tutaenda wote,” fundi Yassin alimwambia.


Je, kilifuatia nini?
 
SEHEMU YA 26


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale sharobaro Nelly alipotoka kuzungumza na rafiki yake Ipyana kuhusu kazi ya kuosha magari, aliporejea nyumbani na kumpatia shilingi elfu 15 mama yake na kumwambia za kununulia mboga. Je, kilifuatia nini? Songa mbele…


Wazazi wake walifurahi sana, baba alimsifia na kumwambia kweli alikuwa amekua na kumwuliza aliona faida ya kujishughulisha, akamwambia aliiona.


“Hivyo ndivyo kijana unatakiwa kuwa, wewe unafikiri nisingeshauri utafute kazi ya kufanya leo hii ungempatia mama yako hela ya kukununua mboga, safi sana tena sana,” baba yake Nelly mzee Reli ya Uhuru alimwambia.


Nelly aliwashukuru wazazi wake kisha aliwaaga kwamba alihisi uchovu hivyo anakwenda kulala, wakampa pole na kumtakia usiku mwema akaenda chumbani kwake bila kuwaambia kama fundi Yassin alimwambia asiende site.


“Hawa siwaambii chochote kuhusu ishu ya site, kukicha kesho naenda Posta ila nikitoka huko ndipo nitamwambia mama,” Nelly aliwaza.


Akiwa chumbani, alichukua simu aliyopewa na Doreen, akaweka kadi yake na kuiweka kwenye chaji huku akiwa mwenye furaha kwani hakutegemea kama angepata simu siku za karibuni.
“Tena ikipata chaji kidogo mtu wa kwaza kumpigia atakuwa Doreen, halafu nitampigia Atu na yule demu niliyekutana naye siku ya kwanza wakati tunaenda site,” Nelly aliwaza.


Kijana huyo akiwa kalala chali huku kavaa bukta pekee, alimlaani sana Zakayo kwa kumchongea kwa fundi Yassin na kusababisha kusimamishwa kufanya kazi kule site.“Ningekuwa mchawi ningemrogelea mbali Zakayo aanze kuumwa na kurudishwa kijijini kwao, au ningekuwa namiliki bastola ningempiga risasi za kichwa afie mbali kwa roho yake mbaya,” Nelly aliwaza.


Baada ya kutumia dakika kadhaa kumfikiria Zakayo, alipitiwa na usingizi hadi alipokuja kushtuka ilikuwa saa tano, alipoiangalia simu akakuta imejaa chaji fulu akaamua kumbipu Doreen.
Nelly alifurahi sana alipobaini Doreen alikuwa hewani, akiwa katika hali hiyo simu yake ikaanza kuita na mpigaji alikuwa Doreen akapokea.


“Sema mpenzi wangu, nimefurahi kweli ulivyonibip maana tangu nilipopanda kitandani mawazo yangu yote yalikuwa kwako, si unajua tena ulivyouteka moyo wangu kwa muda mfupi?” Doreen alimwambia.
“Hunishindi mimi, yaani kila nikikumbuka joto lako, mahaba yako na hizo embe zako zinazoshika vizuri, nimeshindwa kulala na simu ilipojaa chaji nikaamua kukupigia, yaani d sijui nikwambieje,” Nelly alimwambia Doreen.


Wawili hao walizungumza kwa muda mrefu kisha Doreen akamwuliza kama simu yake ilikuwa na vocha ya kutosha, Nelly akamwambia alinunua ya mia tano.


“Ngoja nikutumie muda wa maongezi wa kutosha ili tuchati hadi kuna kucha,” Doreen alimwambia.
Kama alivyomuahidi, baada ya kukata simu hazikupita hata sekunde 50 Nelly alisikia mlio wa ujumbe alipofungua akaona ametumiwa muda wa maongezi wa shilingi elfu tano.


“D, asante sana, haya niambie kitu kizuri sana nifurahi usiku huu,” Sharobaro Nelly akamwambia.
“Kitu kizuri ni kwamba nakupenda sana natakamani hata muda huu tungekuwa wote hapa kitandani ukinifanyia mambo yote mazuri ya kunipa raha,” Doreen alimjibu.


“Jamani mpenzi wangu, kwa kuwa uko mbali nami ndiyo hivyo, kama hutajali tukutane hapo kwa njia ya meseji,” Nelly akamwambia Doreen kupitia meseji.Doreen ambaye alikuwa akipenda sana kuchati alimwambia sawa ndipo sharobaro Nelly akaanza kumvurumishia meseji za kimahaba zilizomchanganya mtoto wa kishua na kujikuta yuko hoi.


Doreen alipomwambia Nelly kwamba alikuwa anajisikia ovyo, kijana huyo akaamua kumpigia wakaanza kuzungumza mambo ya malovee na kuhamasishana hadi Doreen akafikia kilele cha mlima wa Kilimanjaro kupitia simu zao.


Kufuatia Doreen kufika kilele cha mlima, alimfagilia sana Nelly kwa kujua kutumia simu yake maana ilikuwa kama walikuwa wote laivu, Nelly naye alimshukuru kwa ushirikiano wake, kisha waliagana kwamba wangekutana kesho yake.


Nelly alimwambia poa lakini hakutaka kumweleza kuhusu fundi Yassin kumzuia kwenda site, alipanga kumpigia simu mishale ya saa tatu ya siku iliyofuata kumweleza jambo hilo.


Kutokana na uchovu, msichana huyo akiwa kama alivyozaliwa akapitiwa na usingizi hadi aliposhtuka saa kumi na moja alfajiri, alipojiangalia na kukumbuka kilichojiri baina yake na Nell wakati wakichati akaishia kutabasamu.


Je, kilifuatia nini kwa wapenzi hao?
 
SEHEMU YA 27


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Doreen aliyekuwa kapagawishwa vya kutosha na Nelly kupitia kwenye simu na kujikuta akifikia kilele cha mlima wa Kilimanjaro alipopitiwa na usingizi, aliposhtuka alifajiri na kukumbuka kilichojiri akaishia kutabasamu. Je, kilifuatia nini? Songa mbele…


Doreen alipoachia tabasamu, akajikuta akijisemea moyoni:


“Mh! Huyu Nelly ni balaa, tukikutana laivu ni moto na kwenye simu pia ni moto zaidi!” Doreen aliwaza.


Msichana huyo aliyekuwa amekolezwa na penzi tamu na sharobaro Nelly aliendelea kumfikiria kijana huyo hadi alipopitiwa tena na usingizi.


Kulipokucha alimsikia Anne akiwa bize kufanya usafi akajiuliza amwambie kuhusu uhusiano wake na Nelly au ampotezee kuhofia huenda naye angelitamani penzi la kijana huyo kutoka Tandika.


“Haina haja, kama atahisi halafu akiniuliza nitamwambia lakini nitampiga mkwara asimzoee na kumtishia siku nikimbamba anajicheketua kwa Nelly ndiyo utakuwa mwisho wa kufanya kazi,” Doreen aliwaza.


Anne alipomaliza kufanya alijiandaa akanywa chai kisha alimuaga Doreen aliyekwishaamka akaelekea chuo, huku nyuma Doreen akawasha runinga na kwenda kukaa sebuleni.


Bintihuyowa kishua alichukua simu yake na kumpigia Nelly kwa lengo la kumjulia hali na kujua muda ule walikuwa wako wapi, cha kusikitisha hakupatikana hewani.


“Huyu atakuwa hajawasha simu yake, ngoja nimsubiri,” Doreen alijisemea moyoni.


Akiwa katika hali hiyo ya kusubiri, akasikia kengele ya getini ikilia akaachia tabasamu, akiwa kava pensi iliyoishia juu ya mapaja yake iliyombana na kuzifanbya hipsi zake zionekane vyema na singilendi iliyozionesha vyema chuchu zake akatoka kwenda kufungua.


Alipofungua akamuona Zakayo, almanusura asonye lakini akapotezea na kumsalimia kisha msaidizi huyo wa fundi akaingia ndani, Doreen akafunga geti na kurudi sebuleni bila kuzungumza zaidi na Zakayo.


“Huyu mtoto jamani kaumbika, sema tu ni haya mambo ya kazi, maana ukijifanya kidume halafu baba yake agundue hakika utalambwa shaba na maiti yako isionekane milele,” Zakayo alijisemea moyoni.


Kule ndani,Doreen alizidi kumuwaza Nelly kwani alitamani sana kumuona ndipo akasikia tena kengele ya getini ikilia, akatoka mbio kwenda kufungua akiwa na imani alikuwa fundi Yassin na Nelly kwani walikuwa na kawaida ya kufika pamoja.


Alipofungua akakutana na Haruni, kama ilivyokuwa awali alitamani kutoa msonyo akajizuia, Doreen akamsalimia ndipo kijana huyo licha ya kumtamani Doreen kwa jinsi alivyokuwa kanona, hakuthubutu kumwangalia mara mbili wala kusema chochote zaidi ya kuelekea eneo la kazi.


Kitendo cha fundi Yassin na Nelly kutowasili, kilimkosesha raha binti huyo wa kishua, hata hivyo hakukata tama kwa kuhisi huenda foleni ilichangia kuchelewa.


Doreen alikwenda mezani akamimina maziwa ya moto kwenye kikombe akachukua na soseji mbili na kurejea sebuleni kusubiri kusikia kengele ya getini ikilia.


Alipokunywa mafunda mawilina nusu soseji, akasikia kengele, aliachia tabasamu pana kwani alikuwa akijua sasa Nelly wake kawasili, akatoka na kwenda kufungua geti, badala ya kumuona Nelly akamuona fundi Yassin.


“Shikamoo fundi!” alimsabahi.
“Marahaba,hujambo Doreen?” fundi Yassin alimsalimia.


“Sijambo!” msichana huyo alimsalimia.


Fundi akiwa ameingia ndani, Doreen alimwuliza Nelly alikuwa wapi akamwambia siku ile asingefika, jibu la fundi lilimnyong’onyesha binti huyo wa kishua aliyemuuliza alikuwa na tatizo gani.


Fundi Yassinhakutakakumwambia ukweli akamdanganya kwamba alimweleza hakujisikia vizuri nahisi kutokana na uchovu wa kazi, kauli hiyo ilimfanya Doreen kumuonea huruma mpenzi wake.


“Jamani pole yake,” msichana huyo alimwambia fundi Yassin kisha akafunga geti na kuelekea ndani kwao akiwa hana raha.


Akiwa ameketi kwenye sofa alijaribu kumpigia simu Nelly lakini hakupatikana ndipo kwa hasira akaenda chumbani kwake na kujitupa kitandani na kuendelea kumuwa za Nelly.


Wakati Doreen akiwa katika hali hiyo, asubuhi Nelly alikwenda nyumbani kwa rafiki yake Ipyana aliyemkuta akimsubiri na baada ya salamu walikwenda kituoni walikopanda daladala la Posta.


Kama ilivyokuwa kawaida ya sharobaroNelly kupenda mademu, alikuwa akimtazama kwa matamanio sistaduu mmoja aliyekuwa amesimama naye karibu kwa sababu wote walikosa siti.
 
SEHEMU YA 29


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale sharobaro Nelly na rafiki ya Ipyana walipowasili Posta na kwenda moja kwa moja kwenye jengo la wizara moja ambapo Ipyana alikuwa akifanya ujasiriamali wa kuosha magari. Je, baada ya kuwasili hapo kilijiri nini? Songa mbele na utamu huu…





Hadi
ilipofika saa tatu na nusu walikwishamaliza kuosha magari manne, kwa gharama ya shilingi 4,000 kwa gari moja na tayari walikuwa wana uhakika wa kupata shilingi 16,000.


“Umeona besti, haya magari manne tayari tuna uhakika wa kupata shilingi 16,000,” Ipyana alimwambia Nelly ambaye alimwambia aliamini ile kazi ililipa.


Wakati wakiwa wanapiga stori wamekaa eneo la kuoshea magari, alikuja dada mmoja wa idara ya uhasibu mwenye shepu matata sana, akawasalimia akina Ipyana.


“Sisi hatujambo da Fatu, vipi kazi?” Ipyana alimsabahi.


Dada huyo ambaye kwa jinsi alivyoumbika na nguo alizovaa kumkaa sawa, Nelly akajikuta anameza tu mafunda ya mate na kujisemea moyoni kwamba wakubwa walikuwa wanafaidi sana.


“Vipi Ipyana, naona leo umetuletea mwenzako, kazi zinakuzidi nini?” Fatu alimwuliza Ipyana kabla hajamweleza shida yake.


“Nimeamua tu kuja na ndugu yangu maana nimeona yupoyupo tu homu,” Ipyana alimwambia.


“Vizuri sana na huo ndiyo urafiki wa kweli, anaitwa nani?” Fatu alimwuliza dada huyo aliyeonekana kuvutiwa na kitu f’lani kwa sharobaro Nelly.


“Nelson, ila wengi wanapenda kumuita jina lake kwa kifupi yaani Nelly,” Ipyana akamwambia.


“Oke, karibu sana Nelly, tena kwa kuwa leo ndiyo mara yako ya kwanza kufika hapa nataka gari langu ulioshe wewe, nitakupa shilingi elfu sita kama ofa ya kukukaribisha,” Fatu alimwambia Nelly, kijana huyo ambaye hakuamini alichokisikia akasema asante.


“Leo Ipyana ni zamu ya rafiki yako mgeni, wewe umekula sana hela zangu, sasa gari langu lile pale nataka kuona rafiki yako atakavyoling’arisha,” Fatu alimwambia Ipyana.


“Dada Fatu bwana kwa visa, haya bwana wewe kaendelee na kazi lakini elewa wadogo zako bado hatujanywa chai,” Ipyana akamtania.


“Kwani mimi ndiye nimewaleta mjini, mtakula jeuri yenu,” Fatu alimtania Ipyana kisha akaingiza mkono kwenye sketi yake iliyombana na kutoa noti ya shilingi 5,000 akampatia Ipyana.


Ipyana na Nelly walimshukuru ndipo dada huyo akaenda kuendelea na kazi, hata hivyo alivutiwa sana na muonekano wa Nelly ambaye alikuwa mrefu wa wastani, maji ya kunde, ana vidiponsi vilivyomfanya anapotabasamu au kucheka vionekane.


“Ukiwa na kijana kama huyo mbona ni raha tupu siyo kama mzee wangu hajiwezi kabisa eneo la kujidai, huyu nitafanya kila njia nimpate,” Fatuma ambaye wengi walipenda kulikatisha jina lake aliwaza.


“Kaka umeona mambo ya Posta hayo? Mpaka muda huu tayari tuna shilingi 21,000 hata saa tano haijafika, halafu una nyota ya kupendwa, si umemuona dada Fatu alivyokuchangamkia na kutoa hela ya chai?” Ipyana alimwambia Nelly.


“Siyo mchezo kaka, halafu dada yupo bomba mbaya, kweli wakubwa wanafaidi da!” Nelly alimwambia Ipyana.


“Siyo wakubwa, hata wewe ukiamua kujitosa mazima unachukua mzigo, hawa madada wa maofisini huwa wanawapenda sana vijana kama sisi,” Ipyana alimwambia Nelly.


“Acha kunitania Ipyana, dada kama yule mwenye hela zake na alivyo vile anaweza kutoka na vijana kama sisi tusio na mbele wala nyuma?” Nelly alimwuliza rafiki yake.


“Kwani unafikiri wana tofauti gani na mtoto wa kishua aliyekupa hadi simu, mapenzi hayanaga sera hizo ni sawa na kipepeo asiyechagua ua la kutua,” Ipyana alimwambia Nelly.


Nelly alifurahishwa na kauli ya Ipyana na kujikuta akicheka na kumwambia hakujua kama alikuwa na maneno mengi namna ile, rafiki yake huyo alimwambia kauli yake ilikuwa kweli tupu!


Kabla hata hawajaenda lilipokuwa gari la Fatuma, alitokea dada mwingine mfupi wa wastani, mweusi wa kung’aa, nyuma ana kiwowowo cha kuleta fujo mjini, miguu ya bia, macho makubwa akikutazama ni kama vile anakukonyeza na midomo f’lani hivi ya mahaba.


Kwa tabia ya kupenda wanawake kuliko hata chakula, Nelly alipomuona tu moyo ukapiga paaa!


Je, baada sharobaro Nelly kupatwa na hali hiyo kilifuatia nini?
 
SEHEMU YA 30


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Jully alipompa Ipyana bahasha yenye shilingi laki tatu na kumweleza ampelekee dada aitwaye Milka aliyekuwa anafanya kazi katika ofisi ya kusajili vizazi na vifo iliyopo mtaa wa Makunganya Posta. Je, kilifuatia nini? Songa mbele na utamu huu…


Baada ya dada Jully kumwagiza hivyo Ipyana alimwangalia Nelly na kumwuliza Ipyana kama alikuwa ndugu yake, akamjibu ndiyo.
“Naye upo naye hapa?” aliuliza.


Ipyana alimwambia atakuwanaye ndipo dada huyo aliyekuwa kavaa sketi nyekundu na blauzi iliyokuwa na maua ya rangi mchanganyiko, mavazi yaliyompendeza sana akamkaribisha Nelly.
Nelly aliposema asante, dada huyo alimwuliza Ipyana ndugu yake alikuwa anaitwa nani, akamwambia Nelly, akacheka na kusema makubwa!


“Makubwa gani tena dada?” Ipyana akamwuliza.
“Si hilo jina lake la Nelly? Yeye Nelly mimi Jully haya mdogo wangu karibu sana hapa!” Jully alimwambia Nelly.


“Asante dada yangu, nafurahi kukufahamu,” Nelly alimwambia.
“Mh! Hawa akina dada wa hapa wana mambo balaa yaani kila anayekuona anakushobokea, hongera kaka kwa zali la kupendwa!” Ipyana alimtania Nelly.


Nelly alipoambiwa hivyo kichwa kilivimba kwa sifa akacheka sana, kwa kuwa alikuwa akipenda sana mademu akamwambia rafiki yake lazima atamtafuna mmoja ili kujenga heshima!
Baada ya mazungumzo hayo, vijana hao walikwenda kuosha gari la dada Fatu kwa ushirikiano. Wakati wakiendelea na zoezi hilo Fatu akiwa ofisini akili yake ilikuwa kwa sharobaro Nelly.


Si kwa Fatu tu, hata Jully naye alikuwa kavutiwa na kijana huyo ambaye ndiyo kwanza alimuona siku hiyo, alivutiwa na Nelly kwani alifanana vitu vingi na serengeti boy wake aliyeitwa Peter aliyekwenda kusoma Canada.
“Huyu kijana utafikiria wako pacha na Peter wangu, lazima nifanye kila kitu nimnase kabla hata hajazoeana na wanawake wa hapa maana nawajua kwa kupenda vivulana,” Jully aliwaza bila kujua Fatu naye alimhitaji sana Nelly.
Baada ya kumaliza kuosha gari la Fatu, walikwenda kunywa chai kisha walirudi ndipo Ipyana akamwambia Nelly kwamba amsubiri anakwenda mtaa wa Makunganya alikotumwa.
“Usijali kamanda wangu we nenda, utanikuta,” Nelly alimwambia Ipyana.
Ipyana alipoondoka, Nelly alikumbuka alizima simu muda mrefu akaiwasha, hakukaa hata sekunde mbili Doreen binti wa ushuani aliyekosa raha tangu alfajiri baada ya kumkosa Nelly kisha kuambiwa na fundi Yassin kwamba asingefika site akapiga.
Nelly alipokea simu hiyo, Doreen alipomjulia hali yake alimwuliza alipatwa na masaibu gani yaliyomfanya asifike site, akamwambia ameambiwa asiende.
“Unasemaje d nani kakuzuia?” Doreen alihoji.
Nelly hakuona sababu ya kumficha akamsimulia kila kitu, msichana huyo alisema atafanya kila awezalo Zakayo aondoke pale kama alivyomfanyia mpenzi wake Nelly.
Baada ya kuzungumza kwa muda, msichana huyo alimbusu Nelly na kumuuliza kijana huyo kama alikuwa na nanafasi siku hiyo wakutane sehemu ili wapeane raha.
“Kwa leo haitawezekana mpenzi wangu, nimepata kazi nyingine,” Nelly alimwambia.
Doreen alipoambiwa hivyo alishtuka na kumuuliza alikuwa akifanya kazi gani na wapi, Nelly alimfahamisha kwamba ni kibarua tu huko Posta, msichana huyo akashangaa.
Wakati wapenzi hao wakizungumza Nelly alimuona mama mmoja mtu mzima akija pale walipokuwa wanakaa kusubiri tenda za kuosha magari, mama huyo akamsalimia.
Nelly akiwa ameiacha simu hewani aliitikia salamu ya mama huyo na kumwamkia kisha akamwambia Doreen asubiri atampigia baadaye, msichana huyo aliyesikia wakati Nelly akimwamkia yule mama akasema sawa.
“Ipyana yuko wapi?” mama huyo ambaye licha ya kuwa mtu mzima alionekana alikuwa moto wa kuotembea mbali enzi zake maana aliumbika haswa alimwuliza Nelly.
Nelly alimfahamisha kwamba alitoka kidogo, akamwuliza kama naye alikuwa akishirikiana naye kufanya kazi, Nelly akamwambia ndiyo.
Mama huyo ghafla akatokea kumpenda Nelly kwani ulipita muda mrefu bila kunjunju.
Je, kilifuatia nini?
 
SEHEMU YA 31



Wiki iliyopita niliishia pale yule mama mtu mzima aliyetokea kumpenda Nelly ghafla alipomwuliza Ipyana alikuwa kaenda wapi Nelly akamfahamisha alitoka kidogo. Hakuishia hapo, akamwuliza kama alikuwa akishirikiana naye kuosha magari akamwambia ndiyo. Je, kilifuatia nini? Songa mbele…


“Ila hujaanza kuja hapa muda mrefu eh?” mama huyo katibu muhtasi aliyefiwa na mumewe miaka minne iliyopita alimwuliza Nelly.
“Nimeanza leo,” Nelly alimfahamisha.


“Oke, akija mwenzako nitarudi nataka munioshee gari langu maana leo ni siku ya tano halijaoshwa,” mama huyo alimwambia Nelly.
“Hakuna shida mama yangu,” Nelly alimfahamisha.


Mama huyo alipogeuka na kuanza kuelekea ofisini, Nelly aliyagandisha macho yake kwenye wowowo lake tata lililokuwa likitikisika na kuonekana kama lilitaka kudondoka.


“Kudadeki kumbe huku Posta ndivyo kulivyo? Kila demu mpaka akina mama wote wazuri, asante besti yangu Ipyana kwa kunitoa uswahili, maana hawa wanawake wazuri ningewaona wapi?” Nelly aliwaza.
Mama huyo alipotoweka kabisa, Nelly aliyekuwa na namba za mademu wote aliokutana nao tangu siku ya kwanza kwenda site Madale, aliamua kumpigia demu huyo.


“Haloo! Halooo nani mwenzangu?” yule msichana wa kwanza waliyeachana na Nelly kituo cha daladala Mwenge alimwuliza Nelly baada ya kupokea simu.


Nelly alipojitambulisha, yule dada alifurahi kumsikia na kumwuliza habari za tangu walipoachana, Nelly akamwambia zilikuwa poa kisha alimfahamisha ile ilikuwa namba yake na alikuwa hewani.
Pamoja na yote, Nelly alimwomba dada huyo kama atakuwa na nafasi waonane, akamwambia haikuwa na shida na kupanga Jumapili iliyofuata wakutane Temeke Mwisho.


Alipopewa jibu hilo, Nelly alifurahi sana na kujisemea demu huyo siku hiyo miadi asingechomoa lazima atatafunwa kisawasawa kwani kama ni fedha alikuwanazo.
Baada ya kumalizana na demu huyo, alimwendea hewani Atu ambaye tangu walipoachana siku ile walipobilingishana katika gesti ya Keko hawakukutana.


Msichana huyo ambaye hakuwa na namba ya Nelly alipomwuliza alikuwa nani, sharobaro Nelly akajitambulisha, Atu alifurahi na kumwambia kwa nini alikuwa kimya namna ile!
“Jamani si nilikwambia simu yangu iliibiwa, hiyo ndiyo namba yangu halafu nahamu mno ya kukutana na wewe,” Nelly aliyeamua kuwashughulikia vilivyo viumbe hao alimwambia.


“Ni wewe tu! Mimi hata ukisema leo nipo tayari!” Atu alimwambia Nelly.
Kitendo cha msichana huyo kumwambia Nelly hata siku ile alikuwa na chansi, kijana huyo mpenda mademu wazuri akaona atafanya kosa kubwa sana kumuachia ndege huyo aliyeingia tunduni mwenyewe.


“Oke! Mimi kwa sasa nipo tauni, nikimaliza mambo ya hapa nitakupigia na kukuelekeza sehemu ya kumiti, au iwe pa siku ile?” Nelly alimwambia Atu aliyesema sawa.
Wakati Nelly akiendelea kuzungumza na Atu, Ipyana alirudi ndipo akamuaga Atu na kumfahamisha kuhusu yule mama mtu mzima aliyejaaliwa bambataa matata.


“Umesema mnene mfupi, kajazia nyuma?” Ipyana alimwuliza Nelly.
“Yeah! Tena akitembea utafikiri mzigo unataka kuanguka wenyewe yaani kaka wanawake wa hapa wazee kwa vijana wote moto kwa kwenda mbele,” Nelly alimwambia Ipyana.


“Mimi naangalia kazi tu, kama ningewaendekeza nisingekuwa nimefanya chochote, hivi unajua kama nimenunua uwanja nataka mwakani nianze kujenga?” Ipyana alimwambia Nelly.


Nelly alipoambiwa hivyo alicheka sana na kumwambia kweli hakuutendea haki ujana, badala ya kufurahia maisha eti anafikiria kujenga wakati mshua wake ana nyumba tatu kali na mbili kapangisha.


“Zile ni za mshua mimi nataka niwe na nyumba yangu,” Ipyana alimwambia Nelly aliyeishia kucheka.
“Ndiyo hivyo, baada ya kumwambia haupo akaniuliza maswali mawili matatu akaniaga na kusema atarudi ukija ngoja tumsubiri,” Nelly akamwambia Ipyana.


“Huyo mama anaitwa mama Maduu alifiwaga na mumewe kitambo tu na siyo bahili wa fedha zake,kwani kuna wakati nikimuoshea gari lake hunipa mpaka shilingi elfu kumi,” Ipyana alimwambia rafiki yake.


Je, kilifuatia nini?
 
SEHEMU YA 32


Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Nelly alipomfahamisha Ipyana kuhusu yule mama mtu mzima aliyefika eneo walilokuwa wakioshea magari. Je, kilifuatia nini? Songa mbele…


“Huyo mama anaitwa mama Maduu alifiwaga na mumewe kitambo tu na siyo bahili wa fedha zake, kwani kuna wakati nikimuoshea gari lake hunipa mpaka shilingi elfu kumi,” Ipyana alimwambia rafiki yake na kuongeza;
“Halafu mama huyo anapenda sana vijana wadogo,” Ipyana alimwambia Nelly ambaye moyo wake ulipiga paa kwa kupata taarifa hiyo.


Wakati wakiendelea na maongezi yao, kumbe mama Maduu ambaye ofisi yake ipo ghorofani aliwaona akatoka na kushuka kwa lifti na kuelekea kwa akina Ipyana.
“Ipyana hujambo?” alimsabahi.
Baada ya salamu alimwambia kwamba alimuona ndugu yake na kumtania kama alikuja kumfundisha kazi ya kuosha magari,” Ipyana akamwambia alikuwa anajua.
Mama huyo alipopewa jibu hilo alimwambia hakuwa na muda mrefu alitaka wamuoshee gari lake na kwamba atafurahi sana kama kazi hiyo nitaifanya mimi, akaahidi liking’aa atanipa zawadi ya kunikaribisha kisha akawa anaelekea ofisini.
“Da! Ukisikia mtu nyota yake inang’aa bila kwenda kwa mganga ndiyo mimi, yaani hata huyu mama inavyoonekana ananitaka, dalili zote zipo wazi,” Nelson Nzamba a.k.a Nelly aliwaza.


“Kaka si nilikuambia kuhusu wanawake wa hapa, umemsikia alivyokuambia mama?” Ipyana alimwuliza Nelly.
“Kaka sina cha kusema ila ndani ya wiki yule sijui dada Jully, Fatu au huyu mama lazima mmoja nitakupa ripoti kwamba nimeua, wewe subiri kwani siwezi kuwaacha viumbe wenye hela zao wajishaueshaue wakati fyekeo ninalo.
Ipyana alicheka sana na kumwambia awe makini lakini kwa sababu pale wizarani ngoma ilikuwa njenje, Nelly akamwambia hakuna binadamu atakayeishi milele acha ale ujana.


Siku hiyo waliosha magari na kupata shilingi 46,000 achilia mbali shilingi elfu kumi aliyopewa Nelly na yule mama Maduu aliyejifanya kampa ofa ya kumuoshea gari lake vizuri kumbe alikuwa na lake jambo!
Kufuatia urafiki wao, baada ya kumaliza kazi Nelly na Ipyana walioga na kuvaa pamba zao na kuelekea kituo cha daladala cha Posta Mpya kupanda basi la Tandika.
Wakiwa kituoni Nelly ambaye mfukoni alikuwa na shilingi elfu 20 alimwambia Ipyana kwamba akifika Keko atashuka anataka kwenda kumuona mshkaji wake mmoja, Ipyana aliyemshtukia kwamba yalikuwa ni masuala ya mademu akacheka sana.
“Mbona unacheka?” Nelly alimwuliza.


“Wewe si useme unataka kwenda kuonana na mtoto unafikiri sikufahamu Nelly?” Ipyana akamwambia.
Kama kawaida yake, Nelly alicheka ndipo Ipyana aliyekuwa akipenda sana maendeleo akafungua waleti yake akachomoa wekundu wawili wa msimbazi akampatia Nelly aliyeishia kuporomosha tabasamu kwani alijua ishu yake ya kukutana na Atu itakwenda vizuri.


Wakiwa pale kituoni basi la Tandika lilifika wakapanda na kukaa siti moja, kama unavyojua pande za Posta kulivyo na mademu wazuri, Nelly akawa macho juu kuwaangalia na kula kwa macho maana aliziona shep za kila aina.
Gari lilipoondoka, akapigiwa simu na Doreen aliyemtaka afanye awezavyo kesho yake waonane lakini Nelly alimwambia amsubiri mpaka wikiendi kwani sehemu aliyoanza kazi walikuwa bize sana.
Doreen hakuwa na jinsi zaidi ya kuwa mpole na kumwomba usiku wakutane kwa njia ya meseji ili amkate kiu kwa kutumia usanii wake kama alivyomfanyia siku ile.
“Usijali mpenzi wangu, nitafanya hivyo,” Nelly alimwambia Doreen.
Gari lilipofika Keko, Nelly alimuaga rafiki yake Ipyana na kumwambia wataonana nyumbani, Ipyana akaishia kucheka na kumtakia Nelly kazi njema.


Nelly alipoambiwa hivyo huku akishuka kwenye gari akawa anacheka kwani alijua alichokimaanisha Ipyana, gari lilipoondoka akiwa pembeni ya barabara alimpigia simu Atu.
“Niambie mpenzi wangu umeshafika?” Atu alimwuliza.
“Yeah! Wewe uko wapi?”
Baada ya kuulizwa hivyo, Nelly alimwambia alikuwa kituo cha daladala ndipo Atu akamwambia kwa kuwa eneo lile watu walikuwa wakimfahamu atangulie katika gesti waliyokutana siku ya kwanza.
Itaendelea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom