gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
jamani na mie nipo
la la la la la la la la.
Naomba taarabu ya Isha Mashauzi, DJ tafadhali.
Mi nataka wa 2Pac ule wa "To live and Die in LA.."
jamani na mie nipo
la la la la la la la la.
Naomba taarabu ya Isha Mashauzi, DJ tafadhali.
BADILI TABIA unadhani kazi huwa zinaisha ...pole sana
Hahahahaha!! afrodenziHasira za nini wewe baba, wataka kuniua bure babaaaThe Finest
yule si wangu na miii sii wako chuki ya nini kati yangu mimi na weweee
BAGAH huyo mganga aache hiyo kazi yake....... Erickb52 FirstLady gambachovu The Finest afrodenzi naona mnazimua...nyie pigeni vyombo tu ila mjue zikiisha kichwani stress zenu ziko pale pale...
eti nimeona mahali mganga katangaza dawa ya kuacha pombe...inawezekana eeeh!?
Hahaha!! Inabidi nipate darasa maana hizo za ufuta sijui zikoje, kwanza leo mtaani lazima nitafute ufuta aisee sijauona siku nyingi...lolHeheheh inaonyesha wewe hupendi chapati ......
Shurti kuna za kusukuma, za maji na za ufuta......Wazijua wewe?
Hahahahaha!! afrodenzi
Lol...kibinda nkoi cha Mugabe aisee...hahahaha afrodenziMugabe, Bush, Blair and Tsvangirai have a Boogy! - YouTube
The Finest nani ana kibinda nkoi kati ya hao wakulu hapo??? hahahha lol
Hahaha!! Inabidi nipate darasa maana hizo za ufuta sijui zikoje, kwanza leo mtaani lazima nitafute ufuta aisee sijauona siku nyingi...lol
Mi nataka wa 2Pac ule wa "To live and Die in LA.."
Hasira za nini wewe baba, wataka kuniua bure babaaaThe Finest
yule si wangu na miii sii wako chuki ya nini kati yangu mimi na weweee
Lol. Gaijin hapa The Boss mzee wa masizi anahusika sanaWatokea wapi wewe hata mkate wa ufuta huujui?! Hapa The Boss anahusika sana kuja 'kukuingiza mjini Bandari Salama"
Donge lote ukanipa kinyama mkononi kuonja,
Donge lote ukanipa kidogo mkononi kuonja,
Daktari huyo yuwaja, daktari huyo yuwaja, aja kitia dawa kidonda ............halooooooo
Space Unit Feat. Mariam Hamisi - Kidani - YouTube
lol @ The Boss mzee wa masizi
Ngoja nimpoze kwa hiki Kinyaunyau manake atasema tunamrushia ndege wake :biggrin1: