Chit-chat Ladies Help Me! Only Ladies Please!

Chit-chat Ladies Help Me! Only Ladies Please!

Wewe si mwanaume wewe...!? umefuata nini huku. mi mwenzio sichangii kitu japo mleta mada anapenda kusikia majibu ya kujifariji..
Asante Baba V, magatecrasher kumbe yako kila mahali!
 
Last edited by a moderator:
Mkague kule kwenye mtandao mwingine,inawezekana wenzio walishaanza kupiga simu siku nyingi sana!

Eti hutaki ushauri wa Me,tunakupa ushauri utake husitake!Unategemea wadada wenzie watakwambia haya niliyokwambia,thubutu,sana sana watasema ni rangi ya kucha
 
mwambie akuelekeze amenunua duka gani la vipodozi nawewe umaknunulie wifi yake maana anachunusi!
na akupeleke!!!
Paloma acha longolongo.Eleza kama KY Jelly ni bidhaa ya urembo au la! Umeshaitumia?
 
Last edited by a moderator:
Mkague kule kwenye mtandao mwingine,inawezekana wenzio walishaanza kupiga simu siku nyingi sana!

Eti hutaki ushauri wa Me,tunakupa ushauri utake husitake!Unategemea wadada wenzie watakwambia haya niliyokwambia,thubutu,sana sana watasema ni rangi ya kucha
Ana simu tatu. Mitandao anayotumia ni zantel, airtel na voda.Anapigiwa simu nyingi sana na rafiki zake.Kwa mada hii,
ME hawana ushauri wowote ila ni kejeli na masihara tu.
 
Napekua mpaka papuchi. Ndo itakuwa mkoba/pochi?
Mwanaume rijali alofundwa hapekuwi mikoba ya wanawake wewe....We ungefurahia upekuliwe wallet yako??Heshimu privacy ya mwenzako ndo uhusiano wenu utadumu...
 
Ninavyojua mimi hio KY JELLY inatumika kama sexual/surgical lubricant...Hayo mambo ya chunusi mi sijui mhhh!!!
Sexual lubricant mimi49? Ooooh! Napata kitu hapo! Asante.
 
Last edited by a moderator:
Kama umeamua kumpenda chunia tu.. vinginevyo ni ya kumchunguza bata ukashindwa kumla..
Baba V, kama vile unanificha kitu. Kwa nini nichunie na kuna kitu sikielewi? Ukichunguza bata utafahamu anavyovihitaji kwa hiyo unamtimizia vyote!
 
Last edited by a moderator:
Hayo mafuta niyawa2miaj wa 0713 jifanye cku1 unamuomba umeckia nipazur bt uwe criaz uone atariact vp
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom