Vijana wananza sex toka wame baleghee sa unafikiria wataenda miaka mingapi...afu wengine wana fanya sex kama sifa yani akimpata mwanamke mpaa ampige vinane au tisa kwa siku ndo anajiona dume sa wakisha anza kufika kwenye 40+ wanasingizia vyakula :biggrin:kwanini hizi nguvu siku hizi zimekua gumzo?
Kwa mwenye uthibitisho jamani, je kuna ukweli wowote kuwa ulaji wa chips unasababisha upungufu wa nguvu zakiume?
Sababu Kuu 9 za upungufu wa nguvu za kiume
Zipo sababu nyingi zinazosababisha wanaume kupungua nguvu za kiume katika hizo ni hizi zifuatazo:
1.ubugiaji wa tumbaku .
2.uvutaji wa sigara.
3.utafunaji wa mirungi.
4.unywaji wa pombe.
5.kupooza kwa mwili kunakosababishwa na maradhi.
6.ugonjwa wa kisukari.
7.kujisaidia kwa njia ya mkono. (Kupiga Punyeto)
8.kuwa na mawazo kupita kiasi.
9.kufanya kazi ngumu.
TIBA YAKE:
chukua mbegu za tikiti maji zikaange halafu zitwange ili zitoe unga, chukua juici ya kitunguu thaumu lita moja na asali lita moja changanya pamoja juisi ya kitunguu thaumu na asali weka na vijiko kumi vikubwa vya unga wa tikiti maji koroga vizuri na uwe unakunya dawa hii kikombe kimoja cha kahawa mara tatu kila siku kwa muda wa wiki moja.
DAWA YA NGUVU ZA KIUME KWA MWENYE KUTAKA BONYEZAHAPA.https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawaza-nguvu-za-kiume-kwa-anaye-taka.html#post3340821
Asante bibie afrodenzi mimi sio Mganga wa jadi mimi ni Herbalist Mtaalamu na Mchunguzi wa Dawa za asili za mitishamba.katika familia yangu wapo wanaumwa na huwa nawapa ushauri wa kutumia dawa za mitishamba na wengiMkuu Mzizi Mkavu , watu kwenye familia yako
wanaumwaga kweli ? Maana unatiba na unaadawa yako ya kuzuia magonjwa ..
Je we ni mganga wa Jadi ?
"The first-thing-in-the-morning drink [of water] ~ preferably warm ~ flushes out the kidneys, prepares the stomach for food by stimulating the glands on its walls, and helps the bowels move regularly and naturally. This ritual has been a real lifesaver for many families, usually making illness minor and rare." |
"The longer food remains in the intestines, the more likely it is to begin to decay rather than to be promptly dispatched by normal digestive processes. This and the likelihood of intestinal impaction or hard bowel movements raise the chances for disease and often contribute to intestinal fistulas or hemorrhoids." |
"Cleansing the body internally is equally important. (He had been talking about cleansing it *externally.*) Fruit juice or the water in our foods does not adequately replace plain, clear water." "Children should be taught early to enjoy drinking plentiful amounts of water, never [the plentiful amounts] with meals, but often between meals, beginning a half hour or more before breakfast. Water at mealtime dilutes the gastric juices and slows digestion." "A drink of cool water ~ not cold ~ is the best method of staving off hunger until meal time, since it depresses the activity of the digestive system." "Very cold, or very hot drinks are not usually good for the digestive system at any time. When they vary too greatly from body temperatures, they may cause shock to the system. Dentists warn against very cold food or liquids on the teeth. Physicians note that those who are habituated to very hot drinks are more likely to develop throat cancer and digestive difficulties." |
kwanini hizi nguvu siku hizi zimekua gumzo?
Kwa mwenye uthibitisho jamani, je kuna ukweli wowote kuwa ulaji wa chips unasababisha upungufu wa nguvu zakiume?