Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 671
- 702
Hayo maswali machache alioulizwa nilioyajibu unaweza yagoogle na wewe ukafananisha historia na chionda anayosemamkuu unajuaje kuwa anapotosha watu?
Wewe una uhakika gani kuwa hutopot
Hayo maswali machache alioulizwa nilioyajibu unaweza yagoogle na wewe ukafananisha historia na chionda anayosemamkuu unajuaje kuwa anapotosha watu?
Wewe una uhakika gani kuwa hutopot
Haya ya nini? Kufundishwa kuhusu historia ya dini mbalimbali na mke wangu?Wewe muislamu na mkeo ni mkristo,
Wewe ume mfundisha uislamu na yeye kakufundisha ukristo,
Nilipomaliza kusoma sehemu hii nikaona wewe huna elimu yoyote,
Kwanza huoni hata haya kuongea maneno haya mbele ya hadhara?
Kwenye dhana ya dunia duara ni hoja gani kwako haijibiki?Mimi bado sijapata conclusion kwamba Dunia ni flat ama duara, bado naona kuna hoja hazijibiki kwa flat earther's na kuna hoja hazijibiki kwa dunia tufe
Hahaha mkuu mimi sio mwalimu mzuri mkuu, tafuta walimu wazuri wapi wengi tu mastaasawa kiongozi
naomba nije unipige pindi
Suala la eli kupotea baharini sio kwa sababu ya dunia duara bali ni sababu ya Uoni wa macho.Kwenye dhana ya dunia duara ni hoja gani kwako haijibiki?