Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,098
- 1,700
Zilitengenezwa ili zitumike kuua binadamu so ni lazima kuanzisha vita ili ziuzwe.
Mwisho wa kunukuu
Mwisho wa kunukuu
Una andika maneno mengi yasiyo na faida na mahusiano na suala la TaiwanChina ikitaka kupoteza muelekeo wake ijaribu kuivamia Taiwan kijeshi, itavurugika yote.. there will be no China anymore.
Kwasasa tu ndani kunafukuta, hali ya uchumi ni mbaya sana watu wanapata shida kisa sera mbovu. Maandamano yatakayokuja baada ya uvamizi ni makubwa kuliko yale ya covid 19.
Wachina wengi wameichoka CCP. Wazee wamekatwa pesa zao za pension mpaka 40%, wakati watu Duniani tunatangaziwa covid 19 is no more a threat China ndo kwanza mlipuko umezidi na watu kila siku wanakufa.
Wachina wakiamka nakwambia CCP itasambaratika within weeks.
Afanyacho China kinaweza kuhamishwa kikafanyika popote paleChina inategemewa na ulimwengu mzima.
Zaidi ya 75% ya energy products China inaagiza nje na njia kuu ni malaka straight. Hii njia ikifungwa kwa vikwazo China kutakuwa na hali mbaya sana.China inauza bidhaa za viwandani kote duniani sio Afrika pekee
Kwanza hauna uelewa na masuala ya China una andika vile unavyo jua wewe hakuna chairman CPC.Xi ni Ccp chairman na ndie dictator wa China, unachobisha ni nini?
Kwa nini mpaka sasa hakija hamishiwa Afrika ?Afanyacho China kinaweza kuhamishwa kikafanyika popote pale
Marekani akija anasaidia kumbutua mvamiaji.Urusi imefungua Pandora box, sasa itakuwa mwendo wa nchi majirani kuvamiana tu.
Hayana maana yoyote? Unataka kuniambia na Taiwan? Mzozo wa Taiwan umeletwa kutokana na sera zanu mbovu za kimataifa, sera hizo hizo ndizo zinapelekea uchumi wenu kuwa mbovu hivi sasa.... ubovu wa uchumi umepelekea uporaji wa pesa za pensheni za wazee na wafanyakazi pamoja na kushindwa kupambana na covid 19 kwa kushirikiana na mataifa ya nje kusambaza chanjo zenye manufaa badala ya chanjo yenu ambayo ni 45 to 50% effectiveUna andika maneno mengi yasiyo na faida na mahusiano na suala la Taiwan
Tabiri zako kuhusu serikali ya China na CPC hazina maana.
Unataka China iwe na ijiendeshe sawa na mataifa unayo penda haiwezi kuwa hivyoZaidi ya 75% ya energy products China inaagiza nje na njia kuu ni malaka straight. Hii njia ikifungwa kwa vikwazo China kutakuwa na hali mbaya sana.
CCP hawajali wao wanachowaza ni usupa pawa tu. Xi anawaponza mtapotea vibaya sana. Kinachotokea urusi nadhani mnakiona
Your shit is like the police asking us questions, Nigga' we don't know shit.Huo uhuni wana ufanya wapi ?
Ndo uache kutudanganya, ukija hapa uwe unaongea fact sio kuipamba CCPKwanza hauna uelewa na masuala ya China una andika vile unavyo jua wewe hakuna chairman CPC.
Pia sidhani hata kama wafahamu maana ya dictator?!
Huo ni mtazamo wakoHayana maana yoyote? Unataka kuniambia na Taiwan? Mzozo wa Taiwan umeletwa kutokana na sera zanu mbovu za kimataifa, sera hizo hizo ndizo zinapelekea uchumi wenu kuwa mbovu hivi sasa.... ubovu wa uchumi umepelekea uporaji wa pesa za pensheni za wazee na wafanyakazi pamoja na kushindwa kupambana na covid 19 kwa kushirikiana na mataifa ya nje kusambaza chanjo zenye manufaa badala ya chanjo yenu ambayo ni 45 to 50% effective
Mambo huwa hayaendeshwi kwa kukurupuka.Kwa nini mpaka sasa hakija hamishiwa Afrika ?
So kuuwa watu ndio suluhisho na ndio mfumo mzuri wa uendeshaji nchi?Unataka China iwe na ijiendeshe sawa na mataifa unayo penda haiwezi kuwa hivyo
Nimeipamba wapi CPC kwenye hii mada ? Una fikra negative all the time.Ndo uache kutudanganya, ukija hapa uwe unaongea fact sio kuipamba CCP
Una andika vitu usivyo na uelewa navyo. unafikri China ili kuwa pale ilipo kwa huruma.Mambo huwa hayaendeshwi kwa kukurupuka.
Kumbuka hata China hakuwa vile mpaka walipom boost.
The same wao watamshusha na kuhamishia kwingine.
Ukiitaja selikari ya China umeitaja CCP maana mifumo yenu haijui kutengamisha government na political partyNimeipamba wapi CPC kwenye hii mada ? Una fikra negative all the time.
Toka lini CPC ilisema yataka kutawala duniani ? Umejenga fikra zako hasi kuhusu CPC in everythingSo kuuwa watu ndio suluhisho na ndio mfumo mzuri wa uendeshaji nchi?
Hakuna taifa au watu ikiwemo Taiwan watakubaliana na huu ushetani.
CCP ni kama gang la washenzi linalotaka kuitawala Dunia kitu ambacho hawatokiweza kamwe
Nyi mmeimarisha kipi? Sera iliyowasiadia ni sera ya Den Xiaoping na wachina kujituma kwa kufanya kazi kwa bidiii.Una andika vitu usivyo na uelewa navyo. unafikri China ili kuwa pale ilipo kwa huruma.
Imarisheni nchi yenu na bara lenu mambo mazuri yatakuja yenyewe tu.