China yasema ipo tayari kuharibu uhuru wa Taiwan kwa njia yoyote

Jeshi la China linasema liko tayari kuharibu harakati za aina yoyote za uhuru wa Taiwan, huku Marekani ikijiandaa kuharakisha uuzaji wa silaha za kujihami kwa demokrasia ya kisiwa kinachojitawala.

Msemaji wa Wizara ya Ulinzi, Kanali Tan Kefei anasema ongezeko la hivi karibuni la mabadilishano kati ya Wanajeshi wa Marekani na Taiwan ni hatua mbaya na hatari.

Tan anasema Jeshi la ukombozi la Watu wa China linaendelea kuimarisha mafunzo na maandalizi ya kijeshi ili kukabiliana na vikosi vinavyounga mkono uhuru na uingiliaji kutoka nje, akimaanisha mshirika wa karibu wa Taiwan, Marekani.

China inadai kisiwa hicho chenye watu milioni 23 kuwa ni eneo lake na kinapaswa kuwa chini ya udhibiti wake kwa nguvu kama itatakiwa kufanyika hivyo.


####

China says ready to ‘smash’ Taiwan self-rule as US prepares major arms package

China is prepared to “resolutely smash any form of Taiwan independence,” its military said Tuesday, as the US reportedly prepares to accelerate the sale of defensive weapons and other military assistance to the self-governing island democracy.

A recent increase in exchanges between the US and Taiwanese militaries is an “extremely wrong and dangerous move,” Defense Ministry spokesperson Col. Tan Kefei said in a statement and video posted online.

Soldiers of China’s People’s Liberation Army (PLA) prepare in front of the Tiananmen Gate ahead of the military parade to mark the 70th anniversary of the end of World War Two, in Beijing, China, September 3, 2015. (Reuters)

China is prepared to “resolutely smash any form of Taiwan independence,” its military said Tuesday, as the US reportedly prepares to accelerate the sale of defensive weapons and other military assistance to the self-governing island democracy.

A recent increase in exchanges between the US and Taiwanese militaries is an “extremely wrong and dangerous move,” Defense Ministry spokesperson Col. Tan Kefei said in a statement and video posted online.

For all the latest headlines follow our Google News channel online or via the app.

China’s People’s Liberation Army “continues to strengthen military training and preparations and will resolutely smash any form of Taiwanese independence secession along with attempts at outside interference, and will resolutely defend national sovereignty and territorial integrity," Tan said, in a reference to Taiwan’s closest ally, the United States.

China claims the island of 23 million people as its own territory, to be brought under its control by force if necessary.

With the world’s largest navy, latest-generation fighter jets and a huge arsenal of ballistic missiles, China has been upping its threats by sending planes and warships into waters and airspace around Taiwan. With more than 2 million members, the PLA also ranks as the world’s largest standing military, although transporting even a portion of the force in the event of an invasion is considered a huge logistical challenge.

Along with daily air and sea incursions around Taiwan, Beijing has held military exercises in and around the Taiwan Strait dividing the sides, seen in part as a rehearsal for a blockade or invasion that would have massive consequences for security and economies worldwide.

Such actions seek to harass Taiwan’s military and intimidate politicians and voters who will choose a new president and legislature next year.

The moves appear to have had limited effect, with most Taiwanese firmly in favor of maintaining their de facto independent status. Politicians and other public figures from Europe and the US have also been making frequent trips to Taipei to show their support, despite their countries’ lack of formal diplomatic ties in deference to Beijing.

Tan’s comments were prompted by a question from an unidentified reporter about reports that US President Joe Biden is preparing to approve the sale of $500 million in arms to Taiwan, as well as sending more than 100 military personnel to evaluate training methods and offer suggestions for improving the island’s defenses.

Taiwan enjoys strong support from both the US Democratic and Republican parties, which have called on the Biden administration to follow through on nearly $19 billion in military items approved for sale but not yet delivered to Taiwan.

Administration officials have blamed the delayed deliveries on bottlenecks in production related to issues from the COVID-19 pandemic to limited capacity and increased demand for arms to assist Ukraine. Biden’s move would allow the export of items from existing US military stockpiles, speeding up the delivery of at least some of the hardware Taiwan needs to deter or repel any Chinese attack.

Among the items on backorder are Harpoon anti-ship missiles, F-16 fighter jets, shoulder-fired Javelin and Stinger missiles and the High Mobility Artillery Rocket System, or HIMARS, a multiple rocket and missile launcher mounted on a truck that has become a crucial weapon for Ukrainian troops battling Russian invasion forces.

Tan’s comments were in line with Beijing’s standard tone on what it calls the “core of China’s core interests.” The two sides split at the end of a civil war in 1949 and Beijing considers bringing Taiwan under its control as key to asserting its sovereignty and territorial integrity.

Attempts to “seek independence by relying on the United States” and “seek independence by military might” are a “dead end,” Tan said.

With China-US relations at a historic low and Taiwanese unreceptive to Beijing’s demands for political concessions on unification, concerns are rising about the likelihood of an open conflict involving all three sides and possibly US treaty allies such as Japan.

China’s diplomatic and economic support for Russia following its invasion of Ukraine has also increased tensions with Washington. Beijing is believed to be closely studying Moscow’s military failures in the conflict, while the Western will to back Kyiv is seen by some as a test of its determination to side with Taiwan in the event of a conflict with China.

Source: Alarabia
Kuna sentensi inasema ""kama itatakiwa ivyo""
 
China iache ngonjera, ivamie muda ni sasa, ikisubiria hadi Ukraine aidhibiti Urusi atakuwa kachelewa.

China kama anajiamini alianzishe hata kesho.

Japo kuna mengi China kajifunza kutokana na vita ya Ukraine.

China atahitaji kuvamia kwa ukubwa usio wa kawaida, maana yake atume ndege zaidi ya 200

Navy na landings kama zote.

Asifanye kosa la Urusi
 
Nyi mmeimarisha kipi? Sera iliyowasiadia ni sera ya Den Xiaoping na wachina kujituma kwa kufanya kazi kwa bidiii.

Sera ileile iliyowasiaidia mwanzoni saivi Xi ndo anaivunja. Mtateseka sana tupo hapa ngoja tuone mtakachofanya. Vita ya Taiwan itagharimu mamia ya mamilion ya wachina na kuicha China in deep economic problems.

Mpaka kuja kurecover ni miongo 6 mpaka 10 huko. Tuko hapa tutaona
Hiyo sera iliyo kuwa proposed na Deng Xiaoping na kuwa carried out na party na government ambayo imevunjwa na General secretary Xi ni ipi ?
 
Una andika vitu usivyo na uelewa navyo. unafikri China ili kuwa pale ilipo kwa huruma.

Imarisheni nchi yenu na bara lenu mambo mazuri yatakuja yenyewe tu.
Wewe fyongo kweli, sasa wewe naye utajiita una uelewa juu ya lolote lile? Kama hili dogo tu limekushinda.
 
Wazee wamekatwa pensheni zao hadi more tha 40% hakuna mzee anaeitamani CCP anymore.

China pensheni inakava mafao ya Afya na uzeeni kwa sasa wazee wakienda mahospitalini wanakumaban ma majanga ya kukuta pensheni zao za kukava Afya zimepungua.

Wafanyakazi wa selikari wamekuta pesa zao za kishahara zimekatwa upto 35% yaani kama ulikuwa unalipwa milion 1 utaanza kulipwa laki 6 mpaka 7

Janga la covid 19 kwa sasa China ndo kama limeanza, watu wanaugua maambukizi yameanza kuzidi kila mahali china

Taarifa tunazo mzeebaba...
 
Wazee wamekatwa pensheni zao hadi more tha 40% hakuna mzee anaeitamani CCP anymore.

China pensheni inakava mafao ya Afya na uzeeni kwa sasa wazee wakienda mahospitalini wanakumaban ma majanga ya kukuta pensheni zao za kukava Afya zimepungua.

Wafanyakazi wa selikari wamekuta pesa zao za kishahara zimekatwa upto 35% yaani kama ulikuwa unalipwa milion 1 utaanza kulipwa laki 6 mpaka 7

Janga la covid 19 kwa sasa China ndo kama limeanza, watu wanaugua maambukizi yameanza kuzidi kila mahali china

Taarifa tunazo mzeebaba...
SI KWELI

Hujui chochote kuhusu China habari zako unazitoa kwa sources uchwara zinazoendeshwa na watu wa magharibi wanaosambaza propaganda kuhusu China
 
China iache ngonjera, ivamie muda ni sasa, ikisubiria hadi Ukraine aidhibiti Urusi atakuwa kachelewa.

China kama anajiamini alianzishe hata kesho.

Japo kuna mengi China kajifunza kutokana na vita ya Ukraine.

China atahitaji kuvamia kwa ukubwa usio wa kawaida, maana yake atume ndege zaidi ya 200

Navy na landings kama zote.

Asifanye kosa la Urusi
Tatizo lenu mnawaza haya mambo kwa hisia zenu binafsi pasipo kufikiri faida wala hasara za maamuzi hayo.

Maamuzi lazima yapitie hatua muhimu ili yapate kukubalika na chama na serikali
 
Kama China amechoka kuimarisha uchumi wake aseme atajibiwa kadri atakavyokuja.

Hajifunzi kwa mwenzake vita vimemuelea Sasa hv hajui atatokaje pale alipovamia.
Urus vita yake na ukraine anayefirisika mdororo wa kiuchumi ni usa na washirika wake nato
Ndo kila siku maandamano

Lakini hatusikii urus vitu kupanda bei
Hatusikii maisha kuwa gharama urus kwann

Usa ajichange kwa ukraine ajichange tena kwa mchina

Iran yuko pale

Hatoweza

Bunge la usa limesema katika dola trilion 48 tayar 42 zimetumika vitan na hakuna matokeo yaliyotarajiwa

Usa ameanza kuchoka kwa sasa mbaya zaid red army ya russia haijaingia vitan ni makampuni binafs ya ulinz wagner pmc
 
Jeshi la China linasema liko tayari kuharibu harakati za aina yoyote za uhuru wa Taiwan, huku Marekani ikijiandaa kuharakisha uuzaji wa silaha za kujihami kwa demokrasia ya kisiwa kinachojitawala.

Msemaji wa Wizara ya Ulinzi, Kanali Tan Kefei anasema ongezeko la hivi karibuni la mabadilishano kati ya Wanajeshi wa Marekani na Taiwan ni hatua mbaya na hatari.

Tan anasema Jeshi la ukombozi la Watu wa China linaendelea kuimarisha mafunzo na maandalizi ya kijeshi ili kukabiliana na vikosi vinavyounga mkono uhuru na uingiliaji kutoka nje, akimaanisha mshirika wa karibu wa Taiwan, Marekani.

China inadai kisiwa hicho chenye watu milioni 23 kuwa ni eneo lake na kinapaswa kuwa chini ya udhibiti wake kwa nguvu kama itatakiwa kufanyika hivyo.


####

China says ready to ‘smash’ Taiwan self-rule as US prepares major arms package

China is prepared to “resolutely smash any form of Taiwan independence,” its military said Tuesday, as the US reportedly prepares to accelerate the sale of defensive weapons and other military assistance to the self-governing island democracy.

A recent increase in exchanges between the US and Taiwanese militaries is an “extremely wrong and dangerous move,” Defense Ministry spokesperson Col. Tan Kefei said in a statement and video posted online.

Soldiers of China’s People’s Liberation Army (PLA) prepare in front of the Tiananmen Gate ahead of the military parade to mark the 70th anniversary of the end of World War Two, in Beijing, China, September 3, 2015. (Reuters)

China is prepared to “resolutely smash any form of Taiwan independence,” its military said Tuesday, as the US reportedly prepares to accelerate the sale of defensive weapons and other military assistance to the self-governing island democracy.

A recent increase in exchanges between the US and Taiwanese militaries is an “extremely wrong and dangerous move,” Defense Ministry spokesperson Col. Tan Kefei said in a statement and video posted online.

For all the latest headlines follow our Google News channel online or via the app.

China’s People’s Liberation Army “continues to strengthen military training and preparations and will resolutely smash any form of Taiwanese independence secession along with attempts at outside interference, and will resolutely defend national sovereignty and territorial integrity," Tan said, in a reference to Taiwan’s closest ally, the United States.

China claims the island of 23 million people as its own territory, to be brought under its control by force if necessary.

With the world’s largest navy, latest-generation fighter jets and a huge arsenal of ballistic missiles, China has been upping its threats by sending planes and warships into waters and airspace around Taiwan. With more than 2 million members, the PLA also ranks as the world’s largest standing military, although transporting even a portion of the force in the event of an invasion is considered a huge logistical challenge.

Along with daily air and sea incursions around Taiwan, Beijing has held military exercises in and around the Taiwan Strait dividing the sides, seen in part as a rehearsal for a blockade or invasion that would have massive consequences for security and economies worldwide.

Such actions seek to harass Taiwan’s military and intimidate politicians and voters who will choose a new president and legislature next year.

The moves appear to have had limited effect, with most Taiwanese firmly in favor of maintaining their de facto independent status. Politicians and other public figures from Europe and the US have also been making frequent trips to Taipei to show their support, despite their countries’ lack of formal diplomatic ties in deference to Beijing.

Tan’s comments were prompted by a question from an unidentified reporter about reports that US President Joe Biden is preparing to approve the sale of $500 million in arms to Taiwan, as well as sending more than 100 military personnel to evaluate training methods and offer suggestions for improving the island’s defenses.

Taiwan enjoys strong support from both the US Democratic and Republican parties, which have called on the Biden administration to follow through on nearly $19 billion in military items approved for sale but not yet delivered to Taiwan.

Administration officials have blamed the delayed deliveries on bottlenecks in production related to issues from the COVID-19 pandemic to limited capacity and increased demand for arms to assist Ukraine. Biden’s move would allow the export of items from existing US military stockpiles, speeding up the delivery of at least some of the hardware Taiwan needs to deter or repel any Chinese attack.

Among the items on backorder are Harpoon anti-ship missiles, F-16 fighter jets, shoulder-fired Javelin and Stinger missiles and the High Mobility Artillery Rocket System, or HIMARS, a multiple rocket and missile launcher mounted on a truck that has become a crucial weapon for Ukrainian troops battling Russian invasion forces.

Tan’s comments were in line with Beijing’s standard tone on what it calls the “core of China’s core interests.” The two sides split at the end of a civil war in 1949 and Beijing considers bringing Taiwan under its control as key to asserting its sovereignty and territorial integrity.

Attempts to “seek independence by relying on the United States” and “seek independence by military might” are a “dead end,” Tan said.

With China-US relations at a historic low and Taiwanese unreceptive to Beijing’s demands for political concessions on unification, concerns are rising about the likelihood of an open conflict involving all three sides and possibly US treaty allies such as Japan.

China’s diplomatic and economic support for Russia following its invasion of Ukraine has also increased tensions with Washington. Beijing is believed to be closely studying Moscow’s military failures in the conflict, while the Western will to back Kyiv is seen by some as a test of its determination to side with Taiwan in the event of a conflict with China.

Source: Alarabia
China kazungukwa kila kona, Australia, South Korea, Japan, Filippine wote hao adui zake yaani atapigika upside down, atulie tu na biashara zake kutengeneza baiskeli na Cherahani
 
SI KWELI

Hujui chochote kuhusu China habari zako unazitoa kwa sources uchwara zinazoendeshwa na watu wa magharibi wanaosambaza propaganda kuhusu China
Tunaona selikari ya China inavyohaha kuimarisha mahusiano na USA kwa kuiomba mazungumzo hivi majuzi coz wanajua bila soko la Marekani na Europe hakuna China anymore wanalijua hilo
 
What is a Chinese dream? Ambayo Xi anaiimba kila siku.

What is your target on 2049?

Au unaona watu ni mabogus hatujui kinachoendelea
Huo mpango wa 2049 ni nchi kuwa Modern socialist country na kuwa self reliance in almost everything.

Mpaka sasa hiyo sera iliyokuwa abolished by General secretary Xi ambayo ilikuwa introduced na Deng Xiaoping hauja iandika watu waifahamu ?
 
Back
Top Bottom