Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 17,936
- 43,317
SI KWELIKwasasa tu ndani kunafukuta, hali ya uchumi ni mbaya sana watu wanapata shida kisa sera mbovu. Maandamano yatakayokuja baada ya uvamizi ni makubwa kuliko yale ya covid 19
SI KWELIKwasasa tu ndani kunafukuta, hali ya uchumi ni mbaya sana watu wanapata shida kisa sera mbovu. Maandamano yatakayokuja baada ya uvamizi ni makubwa kuliko yale ya covid 19
What is a Chinese dream? Ambayo Xi anaiimba kila siku.Toka lini CPC ilisema yataka kutawala duniani ? Umejenga fikra zako hasi kuhusu CPC in everything
Mfumo gani huo wa kujiendesha China unao ruhusu kuua watu?
Kuna sentensi inasema ""kama itatakiwa ivyo""Jeshi la China linasema liko tayari kuharibu harakati za aina yoyote za uhuru wa Taiwan, huku Marekani ikijiandaa kuharakisha uuzaji wa silaha za kujihami kwa demokrasia ya kisiwa kinachojitawala.
Msemaji wa Wizara ya Ulinzi, Kanali Tan Kefei anasema ongezeko la hivi karibuni la mabadilishano kati ya Wanajeshi wa Marekani na Taiwan ni hatua mbaya na hatari.
Tan anasema Jeshi la ukombozi la Watu wa China linaendelea kuimarisha mafunzo na maandalizi ya kijeshi ili kukabiliana na vikosi vinavyounga mkono uhuru na uingiliaji kutoka nje, akimaanisha mshirika wa karibu wa Taiwan, Marekani.
China inadai kisiwa hicho chenye watu milioni 23 kuwa ni eneo lake na kinapaswa kuwa chini ya udhibiti wake kwa nguvu kama itatakiwa kufanyika hivyo.
####
China says ready to ‘smash’ Taiwan self-rule as US prepares major arms package
China is prepared to “resolutely smash any form of Taiwan independence,” its military said Tuesday, as the US reportedly prepares to accelerate the sale of defensive weapons and other military assistance to the self-governing island democracy.
A recent increase in exchanges between the US and Taiwanese militaries is an “extremely wrong and dangerous move,” Defense Ministry spokesperson Col. Tan Kefei said in a statement and video posted online.
Soldiers of China’s People’s Liberation Army (PLA) prepare in front of the Tiananmen Gate ahead of the military parade to mark the 70th anniversary of the end of World War Two, in Beijing, China, September 3, 2015. (Reuters)
China is prepared to “resolutely smash any form of Taiwan independence,” its military said Tuesday, as the US reportedly prepares to accelerate the sale of defensive weapons and other military assistance to the self-governing island democracy.
A recent increase in exchanges between the US and Taiwanese militaries is an “extremely wrong and dangerous move,” Defense Ministry spokesperson Col. Tan Kefei said in a statement and video posted online.
For all the latest headlines follow our Google News channel online or via the app.
China’s People’s Liberation Army “continues to strengthen military training and preparations and will resolutely smash any form of Taiwanese independence secession along with attempts at outside interference, and will resolutely defend national sovereignty and territorial integrity," Tan said, in a reference to Taiwan’s closest ally, the United States.
China claims the island of 23 million people as its own territory, to be brought under its control by force if necessary.
With the world’s largest navy, latest-generation fighter jets and a huge arsenal of ballistic missiles, China has been upping its threats by sending planes and warships into waters and airspace around Taiwan. With more than 2 million members, the PLA also ranks as the world’s largest standing military, although transporting even a portion of the force in the event of an invasion is considered a huge logistical challenge.
Along with daily air and sea incursions around Taiwan, Beijing has held military exercises in and around the Taiwan Strait dividing the sides, seen in part as a rehearsal for a blockade or invasion that would have massive consequences for security and economies worldwide.
Such actions seek to harass Taiwan’s military and intimidate politicians and voters who will choose a new president and legislature next year.
The moves appear to have had limited effect, with most Taiwanese firmly in favor of maintaining their de facto independent status. Politicians and other public figures from Europe and the US have also been making frequent trips to Taipei to show their support, despite their countries’ lack of formal diplomatic ties in deference to Beijing.
Tan’s comments were prompted by a question from an unidentified reporter about reports that US President Joe Biden is preparing to approve the sale of $500 million in arms to Taiwan, as well as sending more than 100 military personnel to evaluate training methods and offer suggestions for improving the island’s defenses.
Taiwan enjoys strong support from both the US Democratic and Republican parties, which have called on the Biden administration to follow through on nearly $19 billion in military items approved for sale but not yet delivered to Taiwan.
Administration officials have blamed the delayed deliveries on bottlenecks in production related to issues from the COVID-19 pandemic to limited capacity and increased demand for arms to assist Ukraine. Biden’s move would allow the export of items from existing US military stockpiles, speeding up the delivery of at least some of the hardware Taiwan needs to deter or repel any Chinese attack.
Among the items on backorder are Harpoon anti-ship missiles, F-16 fighter jets, shoulder-fired Javelin and Stinger missiles and the High Mobility Artillery Rocket System, or HIMARS, a multiple rocket and missile launcher mounted on a truck that has become a crucial weapon for Ukrainian troops battling Russian invasion forces.
Tan’s comments were in line with Beijing’s standard tone on what it calls the “core of China’s core interests.” The two sides split at the end of a civil war in 1949 and Beijing considers bringing Taiwan under its control as key to asserting its sovereignty and territorial integrity.
Attempts to “seek independence by relying on the United States” and “seek independence by military might” are a “dead end,” Tan said.
With China-US relations at a historic low and Taiwanese unreceptive to Beijing’s demands for political concessions on unification, concerns are rising about the likelihood of an open conflict involving all three sides and possibly US treaty allies such as Japan.
China’s diplomatic and economic support for Russia following its invasion of Ukraine has also increased tensions with Washington. Beijing is believed to be closely studying Moscow’s military failures in the conflict, while the Western will to back Kyiv is seen by some as a test of its determination to side with Taiwan in the event of a conflict with China.
Source: Alarabia
Huyo hajui lolote kuhusu ChinaUna andika vitu usivyo na uelewa navyo. unafikri China ili kuwa pale ilipo kwa huruma.
Hiyo sera iliyo kuwa proposed na Deng Xiaoping na kuwa carried out na party na government ambayo imevunjwa na General secretary Xi ni ipi ?Nyi mmeimarisha kipi? Sera iliyowasiadia ni sera ya Den Xiaoping na wachina kujituma kwa kufanya kazi kwa bidiii.
Sera ileile iliyowasiaidia mwanzoni saivi Xi ndo anaivunja. Mtateseka sana tupo hapa ngoja tuone mtakachofanya. Vita ya Taiwan itagharimu mamia ya mamilion ya wachina na kuicha China in deep economic problems.
Mpaka kuja kurecover ni miongo 6 mpaka 10 huko. Tuko hapa tutaona
Ana andika vitu asivyo na uelewa wala elimu yakeHuyo hajui lolote kuhusu China
Wewe fyongo kweli, sasa wewe naye utajiita una uelewa juu ya lolote lile? Kama hili dogo tu limekushinda.Una andika vitu usivyo na uelewa navyo. unafikri China ili kuwa pale ilipo kwa huruma.
Imarisheni nchi yenu na bara lenu mambo mazuri yatakuja yenyewe tu.
Nimekuwa nikiangalia uchambuzi wake uelewa wake ni mdogo sanaAna andika vitu asivyo na uelewa wala elimu yake
Wazee wamekatwa pensheni zao hadi more tha 40% hakuna mzee anaeitamani CCP anymore.SI KWELI
India bado iko nyuma sana kwa China mkuuUyu anae sumbuliwa kichwa na india ndo aingie vitani
SI KWELIWazee wamekatwa pensheni zao hadi more tha 40% hakuna mzee anaeitamani CCP anymore.
China pensheni inakava mafao ya Afya na uzeeni kwa sasa wazee wakienda mahospitalini wanakumaban ma majanga ya kukuta pensheni zao za kukava Afya zimepungua.
Wafanyakazi wa selikari wamekuta pesa zao za kishahara zimekatwa upto 35% yaani kama ulikuwa unalipwa milion 1 utaanza kulipwa laki 6 mpaka 7
Janga la covid 19 kwa sasa China ndo kama limeanza, watu wanaugua maambukizi yameanza kuzidi kila mahali china
Taarifa tunazo mzeebaba...
Tatizo lenu mnawaza haya mambo kwa hisia zenu binafsi pasipo kufikiri faida wala hasara za maamuzi hayo.China iache ngonjera, ivamie muda ni sasa, ikisubiria hadi Ukraine aidhibiti Urusi atakuwa kachelewa.
China kama anajiamini alianzishe hata kesho.
Japo kuna mengi China kajifunza kutokana na vita ya Ukraine.
China atahitaji kuvamia kwa ukubwa usio wa kawaida, maana yake atume ndege zaidi ya 200
Navy na landings kama zote.
Asifanye kosa la Urusi
Urus vita yake na ukraine anayefirisika mdororo wa kiuchumi ni usa na washirika wake natoKama China amechoka kuimarisha uchumi wake aseme atajibiwa kadri atakavyokuja.
Hajifunzi kwa mwenzake vita vimemuelea Sasa hv hajui atatokaje pale alipovamia.
Yes India yupo katika njia ndefu ya kufika alipo China kama ikiwezekana kuwa mbele zaidi ya ChinaIndia bado iko nyuma sana kwa China mkuu
Basi kumbe huijui chinaSema inategemewa na Dark contenent kama afrika kuja kumwaga toys zao huku
China kazungukwa kila kona, Australia, South Korea, Japan, Filippine wote hao adui zake yaani atapigika upside down, atulie tu na biashara zake kutengeneza baiskeli na CherahaniJeshi la China linasema liko tayari kuharibu harakati za aina yoyote za uhuru wa Taiwan, huku Marekani ikijiandaa kuharakisha uuzaji wa silaha za kujihami kwa demokrasia ya kisiwa kinachojitawala.
Msemaji wa Wizara ya Ulinzi, Kanali Tan Kefei anasema ongezeko la hivi karibuni la mabadilishano kati ya Wanajeshi wa Marekani na Taiwan ni hatua mbaya na hatari.
Tan anasema Jeshi la ukombozi la Watu wa China linaendelea kuimarisha mafunzo na maandalizi ya kijeshi ili kukabiliana na vikosi vinavyounga mkono uhuru na uingiliaji kutoka nje, akimaanisha mshirika wa karibu wa Taiwan, Marekani.
China inadai kisiwa hicho chenye watu milioni 23 kuwa ni eneo lake na kinapaswa kuwa chini ya udhibiti wake kwa nguvu kama itatakiwa kufanyika hivyo.
####
China says ready to ‘smash’ Taiwan self-rule as US prepares major arms package
China is prepared to “resolutely smash any form of Taiwan independence,” its military said Tuesday, as the US reportedly prepares to accelerate the sale of defensive weapons and other military assistance to the self-governing island democracy.
A recent increase in exchanges between the US and Taiwanese militaries is an “extremely wrong and dangerous move,” Defense Ministry spokesperson Col. Tan Kefei said in a statement and video posted online.
Soldiers of China’s People’s Liberation Army (PLA) prepare in front of the Tiananmen Gate ahead of the military parade to mark the 70th anniversary of the end of World War Two, in Beijing, China, September 3, 2015. (Reuters)
China is prepared to “resolutely smash any form of Taiwan independence,” its military said Tuesday, as the US reportedly prepares to accelerate the sale of defensive weapons and other military assistance to the self-governing island democracy.
A recent increase in exchanges between the US and Taiwanese militaries is an “extremely wrong and dangerous move,” Defense Ministry spokesperson Col. Tan Kefei said in a statement and video posted online.
For all the latest headlines follow our Google News channel online or via the app.
China’s People’s Liberation Army “continues to strengthen military training and preparations and will resolutely smash any form of Taiwanese independence secession along with attempts at outside interference, and will resolutely defend national sovereignty and territorial integrity," Tan said, in a reference to Taiwan’s closest ally, the United States.
China claims the island of 23 million people as its own territory, to be brought under its control by force if necessary.
With the world’s largest navy, latest-generation fighter jets and a huge arsenal of ballistic missiles, China has been upping its threats by sending planes and warships into waters and airspace around Taiwan. With more than 2 million members, the PLA also ranks as the world’s largest standing military, although transporting even a portion of the force in the event of an invasion is considered a huge logistical challenge.
Along with daily air and sea incursions around Taiwan, Beijing has held military exercises in and around the Taiwan Strait dividing the sides, seen in part as a rehearsal for a blockade or invasion that would have massive consequences for security and economies worldwide.
Such actions seek to harass Taiwan’s military and intimidate politicians and voters who will choose a new president and legislature next year.
The moves appear to have had limited effect, with most Taiwanese firmly in favor of maintaining their de facto independent status. Politicians and other public figures from Europe and the US have also been making frequent trips to Taipei to show their support, despite their countries’ lack of formal diplomatic ties in deference to Beijing.
Tan’s comments were prompted by a question from an unidentified reporter about reports that US President Joe Biden is preparing to approve the sale of $500 million in arms to Taiwan, as well as sending more than 100 military personnel to evaluate training methods and offer suggestions for improving the island’s defenses.
Taiwan enjoys strong support from both the US Democratic and Republican parties, which have called on the Biden administration to follow through on nearly $19 billion in military items approved for sale but not yet delivered to Taiwan.
Administration officials have blamed the delayed deliveries on bottlenecks in production related to issues from the COVID-19 pandemic to limited capacity and increased demand for arms to assist Ukraine. Biden’s move would allow the export of items from existing US military stockpiles, speeding up the delivery of at least some of the hardware Taiwan needs to deter or repel any Chinese attack.
Among the items on backorder are Harpoon anti-ship missiles, F-16 fighter jets, shoulder-fired Javelin and Stinger missiles and the High Mobility Artillery Rocket System, or HIMARS, a multiple rocket and missile launcher mounted on a truck that has become a crucial weapon for Ukrainian troops battling Russian invasion forces.
Tan’s comments were in line with Beijing’s standard tone on what it calls the “core of China’s core interests.” The two sides split at the end of a civil war in 1949 and Beijing considers bringing Taiwan under its control as key to asserting its sovereignty and territorial integrity.
Attempts to “seek independence by relying on the United States” and “seek independence by military might” are a “dead end,” Tan said.
With China-US relations at a historic low and Taiwanese unreceptive to Beijing’s demands for political concessions on unification, concerns are rising about the likelihood of an open conflict involving all three sides and possibly US treaty allies such as Japan.
China’s diplomatic and economic support for Russia following its invasion of Ukraine has also increased tensions with Washington. Beijing is believed to be closely studying Moscow’s military failures in the conflict, while the Western will to back Kyiv is seen by some as a test of its determination to side with Taiwan in the event of a conflict with China.
Source: Alarabia
Tunaona selikari ya China inavyohaha kuimarisha mahusiano na USA kwa kuiomba mazungumzo hivi majuzi coz wanajua bila soko la Marekani na Europe hakuna China anymore wanalijua hiloSI KWELI
Hujui chochote kuhusu China habari zako unazitoa kwa sources uchwara zinazoendeshwa na watu wa magharibi wanaosambaza propaganda kuhusu China
Huo mpango wa 2049 ni nchi kuwa Modern socialist country na kuwa self reliance in almost everything.What is a Chinese dream? Ambayo Xi anaiimba kila siku.
What is your target on 2049?
Au unaona watu ni mabogus hatujui kinachoendelea