China yajiandaa na vita dhidi ya Marekani

China yajiandaa na vita dhidi ya Marekani

China haina ubavu wa kupigana na Marekani kijeshi. Ila inapenda sana marekani iwe na migogoro mingi ya kijeshi na nchi nyingine kusudi ididimize uchumi wake huku ule wa China ukiendelea kupaa. Trump ni kete nzuri sana kwa China, ni kama ambavyo George Bush alivyokuwa kete nzuri wakati huo ambapo China ilipaa kiuchumi kutoka nchi ya nne hadi kuwa ya pili kiuchumi.
 
China Vs US......sina jambo kubwa la kuongea lakin ukweli kabsa .....US hana uwezo wa kuipga China.........Iraq tuu ilimsumbua....achilia mbali Vietnam miaka hyo......Sidhan US anaweza kupambana na China......labda kama anataka US ipasuke na kwa mara ya kwanza wapate majanga makubwaa......
 
Uzuri wachina hata wakiiishiwa na siraha wanatumia uninja ..kwanza hao maninja wa jeshi la china wanauwezo kutembea kwa miguu kutoka Shanghai mpaka Washington dc
 
China Vs US......sina jambo kubwa la kuongea lakin ukweli kabsa .....US hana uwezo wa kuipga China.........Iraq tuu ilimsumbua....achilia mbali Vietnam miaka hyo......Sidhan US anaweza kupambana na China......labda kama anataka US ipasuke na kwa mara ya kwanza wapate majanga makubwaa......

Iraq haikuisumbua marekani kivita, bali iliisumbua kuistabilize baada ya kuwa imesambaratisha. Iwapo lengo lilikuwa ni kuisambaratisha na kuiacha bila mbele wala nyuma, basi vita hiyo ingeisha tangu mwaka 2004. China na marekani kupigana watakuwa wanataka kusambaratishana tu, na huo ubavu wa China kuissmbaratisha Marekani hawana kabisa. Vita ya Vietnam ndiyo iliyofanya jeshi la marekani libadilike na kuwa imara sana. China haijapigana vita yoyote duniani hapa, na wala hawajui machungu ya vita; ukiwakutanisha na masugu wa vita marekani utakuwa unawaonea tu.
 
Jamani hii habari yaweza kuwa ya kweli maana imeandikwa na ikitokea Marekani watashindwa, vita ya tatu ya dunia sasa inanukia heheheheheheh.
 
Wapigane tu wamalizane wote, watatusaidia kupunguza manyanyaso wanayotupa! Tukarithi majengo waliyojenga kwa dhuluma na damu za babu zetu!
 
Iraq haikuisumbua marekani kivita, bali iliisumbua kuistabilize baada ya kuwa imesambaratisha. Iwapo lengo lilikuwa ni kuisambaratisha na kuiacha bila mbele wala nyuma, basi vita hiyo ingeisha tangu mwaka 2004. China na marekani kupigana watakuwa wanataka kusambaratishana tu, na huo ubavu wa China kuissmbaratisha Marekani hawana kabisa. Vita ya Vietnam ndiyo iliyofanya jeshi la marekani libadilike na kuwa imara sana. China haijapigana vita yoyote duniani hapa, na wala hawajui machungu ya vita; ukiwakutanisha na masugu wa vita marekani utakuwa unawaonea tu.
China walipigana na nchi za magharibi ikiwemo marekani kwenye Vita ya Korea
 
Uzuri wachina hata wakiiishiwa na siraha wanatumia uninja ..kwanza hao maninja wa jeshi la china wanauwezo kutembea kwa miguu kutoka Shanghai mpaka Washington dc
haa haaa ha mkuu umenifanya nicheke kwa sauti
Uzuri wachina hata wakiiishiwa na siraha wanatumia uninja ..kwanza hao maninja wa jeshi la china wanauwezo kutembea kwa miguu kutoka Shanghai mpaka Washington dc
 
China Vs US......sina jambo kubwa la kuongea lakin ukweli kabsa .....US hana uwezo wa kuipga China.........Iraq tuu ilimsumbua....achilia mbali Vietnam miaka hyo......Sidhan US anaweza kupambana na China......labda kama anataka US ipasuke na kwa mara ya kwanza wapate majanga makubwaa......
Mdomo mali yako. Hata mimi hapa sioni kama Barcelona inaweza kupambana na Mbeya City. Barcelona itapigwa vibaya
 
Siku hizi Jf imevizidi hata vijiwe vya kahawa vya mtaani.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Uzuri wachina hata wakiiishiwa na siraha wanatumia uninja ..kwanza hao maninja wa jeshi la china wanauwezo kutembea kwa miguu kutoka Shanghai mpaka Washington dc
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sikie

Acheni kubishia uzoefu na kukariri...
Marekani ni mtoto kwa China..

Msichukulie marekani kujipendekeza ovyo ovyo kwenye vita huko masharki ya kati,Syria na kwingineko ndio ananguvu..
Ila tatizo anakiherehere pia sifa..

Marekani hana silaha nzito kama za uchina..
Ila hajaamua uchina kuzitumia hizo silaha yani hana kihelehele kama cha marekani.

China ina satellite ambayo ipo katika./juu ya ardhi yenye uwezo mkubwa...

Pia ni nchi yenye kituo pekee cha kijeshi angani so usijalibu kulinganisha na landbase za marekani..

China wana uwezo mkubwa wa cytology so kudecrypt na encryptions na uwezo wa kujua keys zilizotumika ni mkubwa....

China wanauza software nyingi za kijeshi na device zake kwa nchi nyingi ikiwemo marekani so hata kuzitengua hawezi shindwa..

N.K.
Inshort wanauwezo mkubwa hatari wat wa uchina...

Tumieni elimu zenu vizuri,hasa watu wa IT,computer science,cytologist, n.k

Ahsanteni ila usipopenda pita kushoto.
Seeing is believing.
mkuu cytology ndo nini? Na assume ulikuwa Na maanisha cryptology.China hawana uwezo mkubwa wa cryptology kuliko marekani.In fact naona una wa underestimate sana NSA
 
Yaani kuna watu wanaijua Marekani kuzidi wamarekani wenyewe
 
mkuu cytology ndo nini? Na assume ulikuwa Na maanisha cryptology.China hawana uwezo mkubwa wa cryptology kuliko marekani.In fact naona una wa underestimate sana NSA
Yes nilikuwa na maana hiyo ya cryptology, typing error tu hapo..
Ni kweli!
 
Acha uwongo duh father of technology copy china [emoji15]
Kati ya watu waongo humu JF mmojawapo ni 'Elungata'...Huyu jamaa ni mtaalamu sana wa kutengeneza uwongo kichwani na kuumwaga hadharani utafkir ni kweli...Hhahaha,eti marekani anatumia software za mchina,yaani US ni wa kutumia that chinese dump trash?,Mchina kila siku anahangaika ku copy technologia za marekani,hasa fighter jets.Mfano mzuri ni hii J-20,yaani ni copy cat ya F-22 reptor,vindege vyenyewe ni vibovu had wakaagiza SU-35 za russia.Yaani china na uwezo wake wote bado wanatumia imported jets kutoka Russia,Why do they do that kama wanaziamini hizo J-20?...Simply b'cose ni ndege mbovu na hawaziamini...China yuko vizuri kwenye jeshi la ardhini,Na pia sasa hivi chinese navy ina develop vizuri tuu,Kwa miaka ijayo wachina watakuwa na jeshi la maji imara sana.Ila kwenye Air force wachina bado sana na ndicho kitu wanachomuhofia sana U.S.A..
 
Back
Top Bottom